Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Mkuu hiyo huwezi onyeshwa Kama nilivyokuambia Just go and search those christian Terrorist Group
Tuletee evidence hapa za Mkristo akijitoa muhanga kwa jina la YESU
 
Mkuu hiyo huwezi onyeshwa Kama nilivyokuambia Just go and search those christian Terrorist Group
Tuletee evidence hapa za Mkristo akijitoa muhanga kwa jina la YESU
 
😂😂😂Toa hoja bana kwani lazma uwe kilema ili utetee haki zao. Mbona unakuwa kama mtoto mdogo

hawa wanaume wanaotetea haki za wanawake ni wapuuzi sana, yani wanachangia kabisa sisi kubenwa, Ulaya maisha ya mwanmme ni magumu sana. Na sisi tupo njiani keshi kutwa tutaanza kuambiwa tuwalipe mishahara kwa wapuuzi kama hawa mleta mada.
 
Ajabu uislamu ndio dini inayokua kwa kasi sana hapa ulimwenguni tujiulize wakristo tunakosea wapi hasa wakatoliki.
inakuwa vipi tuoneshe rate ya watu wanao silimu kwa mwaka au ukiona waisalamu wengi ulaya unadhani dini imekuwa wale ni wakimbizi wa nchi za kiarabu.
 
ao wote waarabu wamekaa kimabavu kwenye ardhi ya mwafrika yenye utajiri wa gesi, mafuta, dhahabu, almasi na vingi sana,, ni vile tu muafrika sio mtu wa kisasi..
 
hawa wanaume wanaotetea haki za wanawake ni wapuuzi sana, yani wanachangia kabisa sisi kubenwa, Ulaya maisha ya mwanmme ni magumu sana. Na sisi tupo njiani keshi kutwa tutaanza kuambiwa tuwalipe mishahara kwa wapuuzi kama hawa mleta mada.
Haimaanishi ndo uwachukulie wanawake Kama ng'ombe
 
ao wote waarabu wamekaa kimabavu kwenye ardhi ya mwafrika yenye utajiri wa gesi, mafuta, dhahabu, almasi na vingi sana,, ni vile tu muafrika sio mtu wa kisasi..
Still bado tunavyo tele tumeshindwa
 
Umeandika mengi ambayo nayasikia kupitia kwa rafiki yangu muislam ila hilo suala la kuolewa kwamba mwanamke ndiyo anaamua sijui kama nikweli maana kuna dogo yupo Dubai wamemuolea mke huku na kumtumia kama kifurushi,hajawahi kufahamiana wala kujuana na huyo mume wake, Kaka mtu kaoa kwa niaba ya dogo na dogo katumiwa tu,huku wazazi tu walikubaliana.
 
Alafu hata mimi hawa watu siwaamini kabisa kuhusiana na suala la wanawake hawataki waongoze kabisa, hawachelewi kutaka hata Bibi Mkubwa hasifike 2030. Daaaaa hii hatari sana
 
Umeandika facts tupu mkuu

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Unatetea ujinga mtupu suala la kuchinja watu ushaona Imani nyingine kama sio waislamu? Mnachinja watu huku mkirekidi hakika hii ni Imani ya kishetani kabisa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…