Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Umejazwa ujinga ukakujaa. Uislam hauna ukatili na wala haufundishi ukatili.

Mnajazwa ujinga na mashetani ili msiusome Uislam.

Wanasema mwanamke wa kiislam kuutetea uislam hana tofauti na kuku kuitetea KFC ikiungua kwa kuizima na maji[emoji16][emoji16].

Kwama eti wewe mama uso wako ni nyeti ila wa mumeo ni bango la soko la hisa,wauone tu.
 

Useja mtu anaamua mwenye kuingia,anajitoa sadaka kwa Mungu wake sio Mungu wako.

Mtu hawezi kuwa kifaa cha majaribio,uoe mtoto wa watu usakue utakavyo uje uachie wengine makombo eti hanifai!!!Huwezi kugundua humpendi mtu baada ya kumla hiyo ni janja ya muhammad katika harakati zake za kusakua papuchi.

Hatuwezi waachia waislam mambo yao maana yana athali mpaka kwa jamii zisizo za kiislam,leo hii hapa tunavumiliana sababu wewe umeamua kuvunja baadhi ya maamrisho ya dini yako,ila ukiamua kusimama kama inabyotaka ntakuchukulia kama tatizo kwa jamii kama hao jamaa wa tareban.
 
Namuunga mkono mleta Mada. Mtakao mpinga zingatieni ameandika siyo huu uislamu wa bonyokwa Bali uislamu wa Tawala za kiarabu. (Islamic State)
 
Namuunga mkono mleta Mada. Mtakao mpinga zingatieni ameandika siyo huu uislamu wa bonyokwa Bali uislamu wa Tawala za kiarabu. (Islamic State)
Unausemea Uislam unauelewa? Au mradi tu ubawaje na kuhororoja kwa usiyoyajuwa?

Ungelifahamu kuwa Uislam ndiyo ulioleta haki za mwanamke, usingeongea utubo wako huo.
 
𝐔𝐢𝐬𝐥𝐚𝐦 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐝𝐢𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐡𝐚𝐤𝐢 𝐮𝐤𝐢𝐜𝐡𝐮𝐧𝐠𝐮𝐳𝐚 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐦𝐦 𝐧𝐚𝐰𝐞𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐩𝐢𝐚
 
Sema waislam wanazaa sana kuliko wakristo. mtu una wake 4 alafu kila mmoja watoto 7 na kuendekea.
Kuna tatizo hapo?

Imeandikwa zaeni mkaijaze nchi. Nchi bado haijajaa
 
Umesma ubalozi wa nini? Nilifikiri utasema wamebomowa jengo la serikali ya Tanzania.

Kwenu Dar? Ubalozi wa USA?

Unafahamu kuwa mchaga tena mkristo ndiye alitengeneza lile bomu na kuliunda kwenye gari iliyoripuliwa nalo?
Wamarekani wana haki ya kuulowa eeeeh
 
Hee, mbona uislamu inasemekana ni dini ya amani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…