Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

FYI hakuna watu peace kama waislamu. Waislamu wa ukweli ni wapole kama walokole

The Quran’s Sura 5:33 says about infidels, “They shall be slain or crucified, or have their hands and feet cut off.” Sura 9:5 says, “Slay the infidels wherever you find them ... and lie in wait for them ... and establish every stratagem (of war against them).” Sura 47:4-9 promises paradise to whoever cuts off the head of an infidel.
 
ALLAAH HUMUACHA APOTEE AMTAKAYE NA HUMUONGOA ANAYEELEKEA KWAKE.

The Quran’s Sura 5:33 says about infidels, “They shall be slain or crucified, or have their hands and feet cut off.” Sura 9:5 says, “Slay the infidels wherever you find them ... and lie in wait for them ... and establish every stratagem (of war against them).” Sura 47:4-9 promises paradise to whoever cuts off the head of an infidel.
 
Hujui uislamu kaaa pembeni 😅😅 unalazimisha kitu wakati elimu huna hata kusoma Qur an hujui.


Kafiri kaaa pembeni hauna unalojua.!!
 
Za kwako ndio porojo, huoni hata haya waislam wote wanatetea ugaidi wa juzi kule Israel?

Jambo lingine, waislam sio waelewa kabisa...mmejazwa chuki sana
Ulivyokuwa mjinga huoni kama wapalestina wanauliwa miaka kwa miaka kule haswa watoto ,wewe husemi kichaa nn?
 
Hizo aya umezikata, weka kiukamilifu wake.
 
Hujui uislamu kaaa pembeni 😅😅 unalazimisha kitu wakati elimu huna hata kusoma Qur an hujui.

Kafiri kaaa pembeni hauna unalojua.!!
Nijue planatory and space science nishindwe kuujua uislamu ama kusoma quran? Kitabu kilichoandikwa na watu ambao hawakusoma hata vidudu ama chekechea?

Ni mtu asie na akili timamu tu anaweza kuichukulia quran na yaliyomo serious.
 
Nijue planatory and space science nishindwe kuujua uislamu ama kusoma quran? Kitabu kilichoandikwa na watu ambao hawakusoma hata vidudu ama chekechea?

Ni mtu asie na akili timamu tu anaweza kuichukulia quran na yaliyomo serious.
= Planetary

Kwa maandiko yako tu, huna unalolijuwa.
 
Nijue planatory and space science nishindwe kuujua uislamu ama kusoma quran? Kitabu kilichoandikwa na watu ambao hawakusoma hata vidudu ama chekechea?

Ni mtu asie na akili timamu tu anaweza kuichukulia quran na yaliyomo serious.
Planatory na space science gani? hamna ulichogundua zaidi ya kukariri wala wwe sio msomi ni wale waizi wa mitihani .


Unaijua space science hata kwenda angani ulishaenda zaidi ya kudanganywa na hauna kitu ,kaa hapa makumbusho upige winga na ushamba wako.

Hujawahi kusoma wala kuelewa Qur an kaa pembeni 😅...
 
Vipi kwenye bible Mungu alipo mwambia Joshua na jeshi lake waue watu wote ?

Soma kitabu cha Samuel wa kwanza na Samuel wa pili uone idadi ya watu alio waua King David ambae alikuwa kipenzi cha Mungu halafu ndio uje uwaseme waislamu
 
Vipi kwenye bible Mungu alipo mwambia Joshua na jeshi lake waue watu wote ?

Soma kitabu cha Samuel wa kwanza na Samuel wa pili uone idadi ya watu alio waua King David ambae alikuwa kipenzi cha Mungu halafu ndio uje uwaseme waislamu
Ukichukua bible imeminya haki za wanawake imekataa viongozi wa kike na papa Francis ndio anajadili pia wamekataa hata mwanamke kuuliza swali kanisani ...Ubaya ni kwamba wakristo hawafuati bible yaani wanavyoenda na maandiko vipo tofauti kabisa 😅😅.

Ukisoma bible yao Mungu kamaliza watu wengi ,hukumu atakayeua kwa upanga utauliwa kwa upanga yaani mambo kibao ila hwafanyi wanafuata wazungu badala ya bible.
 
Mtoa mada upo sahihi, in short dini ya kiislamu ina Mambo mengi mazuri sana ila weakness yake kubwa ipo aggressive sana.....

hata km mtu atakataa lakini ukwel upo hivyo
 
Wewe sio Mkristo. Hilo neno NAUTETEYA ni neno la ki Madrassa
 
Usijifiche kwenye dini za wenzako.
 
Huwa namuona mjinga sana mtu anaeleta porojo za kitua sichokijua hasa kwnye dini
Hizi dini tuziache tu maana tumeletewa kama zilvyo ukiona yako au ya mwenzako. Huielww kataana nayo basi sio porojo

Uislamu haujawah kuwa kandamizi kw mwnamke

Naona weng hoja zenu wote mnakamblia uislamu unamdidimiza mwnmke hili ushawah kuulza kwa wtu wnaoijua dini au mnakurupuka

Uislam ndy dini imempa majukumu mazito mwanmume na kumuwekea mazngra rafiki na rahisi zaidi mwnamke

Uislam unatoa maelekezo juu ya kumtunza mwnmke ni wajbu kwa mume hata kama anafanya kaz huyo mwnmke

Mwnmke anapaswa kuhudumiwa na mumew kw kula kitu
Ila ukilefa kw haki za binadamu et maisha kusaidiana hii haipo kwnye dini hii

Pia mnazngumzia mirathi et mwanmke anapew kias kidgo anazidiwa mara mbili na mwanamume ni kwl hili
Ila nilazma muulze n Kwann hvi si kuropoka

Mwnamke hata akiwa na mirathi yake bado atatakiwa alelew na kuhudumiwa na kaka yake bila kutumia hata shilingi ya mirathi yake mpaka pale atakapoolewa na

ikitoea kaachika, amefiwa ama kwa namna yeyote amerud nyumban atarud kw kaka ake na kulelew nae ni wajbu wa ndguye huyo mwnamume kumlea sas hapo amekandamizwa

nin ni saw na kusema kapewa mali yake na anatumia mali ya kaka ake

Mwnmke kapew daraja kubwa mno kwnye dini ya uislam amemzd daraja 3 mwnmume kwnye uzazi yaan baba yukO

chini ya mama kw daraja 3 hili nilfafanue kidogo mnaeza msinielew yaan hzo daraja ni saw na umuhm.. kat ya mama na baba, wote n muhm ila kwnye kupanga zaidi ni mama mara 3 juu ya baba yan ukiwakuta wazaz baw hat kwnye

magum kias gan wakmsaidia wa kwanza ni mama kama huna uwezo w kusaidia kidgo chako wote, na iktokea umemkosea mama ako na kumfedhehesha mpka akakosa

radhi nawe basi ww ni mkosaj mkubw na ngum kusamehew na mung ispokuw mama ako mwnywe

Wengne wnazngumzia uongoz kwnge uongoz sio quran hata biblia ilshakataza kabsa mwnmke kuongoza

nashangaa ukaidi wetu tu na wakat dini zote znakataza hili

hapo mm siongei sana pitia makatazo hayo kwmba mwbmke hata kwnye kundi la watu weng haruhusiw kupaza sauto hili limo mpka kwnye biblia sio qoran tuh

Ila hawa watu wa hak za binadamu ndy wmmekuja kulazmsha mamb ya ajabu natuanfata tu ila wnywe mnaelewa hili, NA mjiulze tu nabii mwnmke ameandkwa

kitabu gan au mung akuwaona hawa dada zetu

Mungu almfnya mwnmke msaidiz wa mwnmume sio kiongoz jaman sas ww pingana na mungu, rejea sababu ya kuumbea kw hawa kutoka kwnye ubavu wa adamu!!!!

Na uislamu sio ugaidi wngne wnazngumzia ugaidi na uislam haw ni wajina na ni wajinga sna

Shida ni kuwa kuna baadh ya watu wnamlengo wa kisiasa na wanausngzia usilamu kuhalalisha hilo angalia makundi yote hayo sjui nan alshabab sjui isis yote mlengo wao ni

kuteka dola ya nchi ila mwamvuli ni wa dini kama kama kuua wao n wauaji namba 1 kubaka , kuteka nyara raia na

kupora mali zao sas jiulze uislamu unahalalisha hayo

Utagndua ni ujinga wa wachache wnye tamaa za madaraka

wna tembelea upepo wa dini kusahawshi na kukusanya

vijana na kuwaingza mkenge

islamu unafata sana misingi iliowekwa na baadhi ya sheria zilwekwa tangu mwanzo zlikuwaga hvyo sababu hakukuwa

na miundo madhubut ya kiserkal kuna sheria za zaman zilkuw hvyo kutokana na mazngra na utawala mfano sheria

za dini ya kiislamu znasema na kuhimza kutii mamlaka

Pia watu wnazngumzia swala la kipga watu mawe mpaka kufa kw wazinzi hii sheria ni ya zaman na ilkuwapo mpka

kwnye bibilia na pia kw waislam kuna makundi kama wakristo vle vle kuna makund mengne yanafuata sheria za zaman mpka leo kama walvyo wakristo n am not in

position kusema wapi wnaokosea hapa ila
Hii iko kw watu wnye kosa la uzinzi sasa ukiangalia hawo wnaopga mawe watu mpka kufa wao hawjawah zini?? Na

dini inasema ukmtaman mwnmke hata kwkumuangalia
umezini je watu wote wngepona?? Hio ilkuw saw kipnd

wnwke wnajfnika muda wote na kuvaa maguo makubw na

kujfungia ndani kusubr wazaz ama wame zao sheria haikuw kandamiz kpnd hiko ila wakat huu wa ytndawazi wnwke wnatmbea uchi mno kutaman ni swala la asbuh je hii sheria ita work answer is no ndy mana aitekelezek kabsa hii

All in all tusuangalia tabia na makosa ya watu tukaubebesha dini fulan HILI NI KOSA UISLAMU NI DINI YA AMANI NA HAKI MNO
nb nmeandka bila kuiproof read i ddnt hv much of a time

sorry kwa uandishi humo naiman ujumbe umefka
 
Naona upepo wa JF sasa umegeuka. Toka nyuzi za kuushambulia Ukristo kila saa sasa imegeukia upande wa pili. Sisi waangalizi wa Kimataifa ngoja tuendelee kuangalia na kujifunza tu.
 
Unachoongea ni uongo kwa asilimia kubwa
Mfano;- saudi arabia ni kosa la kifo kwa raia wake kubadilisha dini kama uislamu unajiamin kwa nini unatishia wanaotaka kubadilisha dini

Mfano mwingine;- Taliban imepiga marufuku wanawake kusoma na kufanya kazi na wanasema wanafuata quran
We subiria ukifa ukapewe mizigo 72 mabikira
Swali la kujiuliza wanawake watapewa nini huko ahera na allah
 
Doh.
 
Ungekuwa umekufa. Uko hai kwa sababu ya vitisho na ukatili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…