Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Muda mwingi Huwa nasema kama huna Elimu na Kitu ni bora kunyamaza kwani Unatengeneza Tabia kichwani kujiona Kama unakijua kumbe hta robo hujui..

Ndugu Mhaya Pengine nikuambie kwamba huitaji elimu kubwa sana kuhusu Uislamu ili kujua ulichoandika Sio sahihi hata kidogo..
Unanasibisha Makundi ya kigaidi na uislamu kitu ambacho sio sahihi japo yanaongozwa na baadhi ya waislamu wasio kuwa na Nia nzuri na uislamu ila haibadilishi dhamira nzima ya Uislamu kwa jamii..

Uislamu hairuhusu kamwe kumwaga damu ya Mtu yoyote na Mtu atakayemwaga hata damu ya mtu mmoja huhesabiwa ni kama amefanya mauaji ya Dunia nzima..
na yoyote atakayefanya Kazi ya kumuokoa mtu mmoja ni kama ameokoa Dunia nzima.. Kwa kuanzia yaani kwa wewe kama basic kasome Suratul Maida aya 32


KUHUSU WANAWAKE..
Huwa nasema hivi Dini zote zenye imani ya ibrahim zote zima sheria zinazofanana kuhusu Wanawake..
Japo kwa sheria za Kikristo zimezidi ukandamizi kuliko Dini zote (Jaribu kusoma biblia),Utagundia kwamba wanawake hawakuhesabiwa kitu na walionekana kama kituko mtu kuzaa wanawake na alionekana kidume mtu kuzaa wanaume..
Kabila la 13 La yakobo Huwezi kulisikia popote wala mtoto wa 13 huwez kumsikia popote akitajwa kwa sababu tu Dina alikuwa ni mwanamke ..
Na sehemu nyingi sana mwanamke amekandamizwa na kuonekana asiye na thamani....

Hilo swala liko tofauti katika upande wa uislamu kwani nyumba ya mtume Inayoitwa Tukufu (ahulul bayt) Imetokana na Mtoto wa mtume Fatma ambaye ni mtoto wa kike katika uislami mwanamke kapewa favor kubwa sana..

kuhusu ugaidi kuna makundi mengi sana ya kikristo ya ugaid as same as muslim

Nitajie makundi matatu tu ya kigaidi ya kikristo?
 
Zipo nchi za, ki Islam na, zimeendelea Sana, Qatar, Saudia,Turkey, kuufanya uislam kama mfumo wa kisiasa ndio huwa shida, kama umemsoma baba wa taifa LA uturuki, Mustafa ataturk, aligundua hii kitu, akajenga secural, society inayofata uislam, Ila, alizuia, political islam kuendesha nchi, na maisha ya watu, uturuki, wapo wanaovaa hijab, asietaka poa, sio, kama Iran, ambapo usipovaa hijabu, unakula mijeredi balabalani,
Kilichopo Afghanistan Somalia, Iran, ni mfumo wa hovyo Sana wa dini(kwa vigezo vya west), dini kama dini haileti maendeleo, sie huku Afrika mashariki, na mifumo yetu kristo, tuliyoiga Magharibi, imetuletea nini zaidi ya wizi, umaskini, siasa mbovu,rushwa,Iran ni industrial economy, inatengeneza siraha, za, kivita, Urusi anaomba Masada kutoka Iran wa, siraha, sie na Christianity system zetu,tunaenda kuomba unga na mafuta!
Bottom line, kinachoitwa demokrasia global North, hakiwezi kuwa sawa, na kinachoitwa democrscy global South,
China, UK, USA, Iran, Urusi, ni super powers, lakini wana mifumo tofsuti ya kisiasa, kama inaleta tija kwa jamii husika, inatosha,
 
Uislamu ingekuwa Dini nzuri sana endapo baadhi ya Tabia zinazohusushwa na Dini zingeachwa. Siongelei huu uislamu wa gongo la mboto, waislamu jina. Naongelea wakulungwa wenyewe.

Mfano: Tabia ya kufinya haki za wanawake, kwenye dini ya uislamu mwanamke ni kiumbe kinachopewa daraja la chini sana kwenye karibia baadhi ya mambo kwenye familia hadi jamii, kuanzia kwenye maamuzi na utendaji wa kazi, ambapo mwanaume amejisimika ufalme kwenye kila mambo.

Nchi nyingi zinazoongozwa na Uislamu zinapinga uongozi wa wanawake, kuendesha magari japo juzi kati ndipo walianza kuruhusu, mtindo wa maisha na mambo kadha wa kadha yanayowahusu wanawake.

Kuchukua sheria mkononi: hapa siongelei puchu au mgalala, la ashah, hapa nazungumzia sheria nyingi za Uislamu zinaamuru kujichukulia sheria mkononi endapo mtu ataenda kinyume na matakwa ya uislamu mfano; mtu akitaka kuhama Dini ya kiislamu anaweza kuuliwa, mtu akidhini au kuchepuka apigwe mawe mpaka kufa, ukimkubatia mwanamke si wako uchapwe viboko 99.

Juzi tu umeona mchezaji mpira Cristiano Ronaldo akimkumbatia msichana mlemavu baada ya kumletea zawadi ya picha hiko Iran, lakini serikali ya Iran inayoendeshwa chini ya uislamu ikaamuru Ronaldo akirudi tena Iran atandikwe viboko 99 kwa kosa la kumkumbatia yule dada mlemavu kama shukurani. Yapo mambo mengi ya kujichukulia sheria mkononi ya kuua au kumdhuru mtu endapo hatafata sheria za Uislamu.

Wazee wa Suicide mission: Hapa sizungumzii ile Movie ya Suicide Squad ya Will Smith, hapa nazungumzia wale wakulungwa wa Imani kali wanaoanzisha vikundi vinavyojulikana kama vikundi vya Jihad kama Islamic State (IS), Balochistan Liberation Army (BLA), Al-Qaida, Al-shabab, Jumaat Nusrat Al-Islam wal Muslimeen (JNIM), Islamic State Khorasan (ISK), Islamic State Sinai (ISS) na vikundi vya namna hiyo huko Africa magharibi (Islamic State West Africa) kama Boko Haram na vinginevyo vya imani kali ambavyo lengo lao ni kusambaza Uislamu kwa nguvu na kupambana na serikali zisizo za kidini.

Hawa wazee wanajulikana kwa mashambulizi yao dhidi ya raia na serikali ikiwemo majeshi, na kuua watu bila sababu zenye mashiko, wengine wamejizolea umaarufu kwa kujitoa muhanga na kuua watu wengi bila kujali kwamba wanafamilia au hawana. Na pia Al-Qaida walikuwa wanafahamika kwa kuchinja raia wa Kimarekani na wa nchi za Ulaya, kupelekea nchi za Mashariki ya Kati kuogopwa kutembelewa na wageni kutoka nchi nyingine.

Ukijaribu kuwagusia hawa waislam wa Bonyokwa wanakwambia Uislamu unakataza mambo hayo, lakini ukifuatilia kwenye vitabu vyao ukatili wa aina hiyo umeandikwa kwenye kitabu chao kama kuchampa mtu viboko, kuua kama aendani na itikadi za kiislamu na mambo kadha wa kadha.

Hata hawa waislam wa Bonyokwa washukuru tu kwa sababu wanaishi Tanzania na sio nchi ya kidini ila wangekuwa wanaishi huko Iran au Afaghanstan, wangeelewa shoo.

Juzi kati tu ndege ya Marekani ya kijeshi ilivyokuwa inaondoka Afaghanstan, Waafaghan wengi walitaka kuondoka nayo kuonesha hawataki kubaki nchini kwao kupelekea watu wengine kuanguka na kufa, inaonesha hata nchi nyingi za Uarabuni haziruhusu wananchi wao kuondoka hovyo hovyo bila sababu, wanabanwa na kunyimwa passport.

Endapo waislamu wangeacha hayo mambo ya ukatili wangekuwa Dini moja safi sana ulimwenguni.
Papa amewaambia mffirran"e ili mittaco yenu ilegee
 

Attachments

  • Screenshot_20231003-230402.png
    Screenshot_20231003-230402.png
    59.6 KB · Views: 5
kizuri upgwa mawe,sheria ni za mungu zote hzo ukiiba unakatwa kiganja ukirudia mkono huoni kuwa ndyo watu wataogopa!?kutoka kwenye imani ni kifo sababu hatufanyi mchezo wala biashara ya dini,.vikundi vya kigaidi ni ajenda za mmarekani baada kuona dini inakuwa kwa kasi ya 45g
 
The Taliban barred women from campuses last December, triggering global outrage. Girls had been banned from school beyond sixth grade soon after the Taliban returned to power in August 2021. Afghanistan is the only country in the world with bans on female education.
Je taliban Ni Quran au taliban ni Ishara ya quran
 
Vipi kuhusu Akon mkuu..
Ndo maana nikasema kila sehemu na Taratibu zake Iran ni nchi inayoendeshwa kwa sheria za kiislamu..

Kwa sheria za kiislamu sio kukumbatia tu hairuhusiwi hata kushika mikono na Mwanamke ambaye afaa kuwa mke wako
Sawa sheikh
 
kizuri upgwa mawe,sheria ni za mungu zote hzo ukiiba unakatwa kiganja ukirudia mkono huoni kuwa ndyo watu wataogopa!?kutoka kwenye imani ni kifo sababu hatufanyi mchezo wala biashara ya dini,.vikundi vya kigaidi ni ajenda za mmarekani baada kuona dini inakuwa kwa kasi ya 45g
Sheria za Mungu ulimsikia akizisema au muarabu mmoja kaota pangoni na nyie mmeamini
 
Uislamu ingekuwa Dini nzuri sana endapo baadhi ya Tabia zinazohusushwa na Dini zingeachwa. Siongelei huu uislamu wa gongo la mboto, waislamu jina. Naongelea wakulungwa wenyewe.

Mfano: Tabia ya kufinya haki za wanawake, kwenye dini ya uislamu mwanamke ni kiumbe kinachopewa daraja la chini sana kwenye karibia baadhi ya mambo kwenye familia hadi jamii, kuanzia kwenye maamuzi na utendaji wa kazi, ambapo mwanaume amejisimika ufalme kwenye kila mambo.

Nchi nyingi zinazoongozwa na Uislamu zinapinga uongozi wa wanawake, kuendesha magari japo juzi kati ndipo walianza kuruhusu, mtindo wa maisha na mambo kadha wa kadha yanayowahusu wanawake.

Kuchukua sheria mkononi: hapa siongelei puchu au mgalala, la ashah, hapa nazungumzia sheria nyingi za Uislamu zinaamuru kujichukulia sheria mkononi endapo mtu ataenda kinyume na matakwa ya uislamu mfano; mtu akitaka kuhama Dini ya kiislamu anaweza kuuliwa, mtu akidhini au kuchepuka apigwe mawe mpaka kufa, ukimkubatia mwanamke si wako uchapwe viboko 99.

Juzi tu umeona mchezaji mpira Cristiano Ronaldo akimkumbatia msichana mlemavu baada ya kumletea zawadi ya picha hiko Iran, lakini serikali ya Iran inayoendeshwa chini ya uislamu ikaamuru Ronaldo akirudi tena Iran atandikwe viboko 99 kwa kosa la kumkumbatia yule dada mlemavu kama shukurani. Yapo mambo mengi ya kujichukulia sheria mkononi ya kuua au kumdhuru mtu endapo hatafata sheria za Uislamu.

Wazee wa Suicide mission: Hapa sizungumzii ile Movie ya Suicide Squad ya Will Smith, hapa nazungumzia wale wakulungwa wa Imani kali wanaoanzisha vikundi vinavyojulikana kama vikundi vya Jihad kama Islamic State (IS), Balochistan Liberation Army (BLA), Al-Qaida, Al-shabab, Jumaat Nusrat Al-Islam wal Muslimeen (JNIM), Islamic State Khorasan (ISK), Islamic State Sinai (ISS) na vikundi vya namna hiyo huko Africa magharibi (Islamic State West Africa) kama Boko Haram na vinginevyo vya imani kali ambavyo lengo lao ni kusambaza Uislamu kwa nguvu na kupambana na serikali zisizo za kidini.

Hawa wazee wanajulikana kwa mashambulizi yao dhidi ya raia na serikali ikiwemo majeshi, na kuua watu bila sababu zenye mashiko, wengine wamejizolea umaarufu kwa kujitoa muhanga na kuua watu wengi bila kujali kwamba wanafamilia au hawana. Na pia Al-Qaida walikuwa wanafahamika kwa kuchinja raia wa Kimarekani na wa nchi za Ulaya, kupelekea nchi za Mashariki ya Kati kuogopwa kutembelewa na wageni kutoka nchi nyingine.

Ukijaribu kuwagusia hawa waislam wa Bonyokwa wanakwambia Uislamu unakataza mambo hayo, lakini ukifuatilia kwenye vitabu vyao ukatili wa aina hiyo umeandikwa kwenye kitabu chao kama kuchampa mtu viboko, kuua kama aendani na itikadi za kiislamu na mambo kadha wa kadha.

Hata hawa waislam wa Bonyokwa washukuru tu kwa sababu wanaishi Tanzania na sio nchi ya kidini ila wangekuwa wanaishi huko Iran au Afaghanstan, wangeelewa shoo.

Juzi kati tu ndege ya Marekani ya kijeshi ilivyokuwa inaondoka Afaghanstan, Waafaghan wengi walitaka kuondoka nayo kuonesha hawataki kubaki nchini kwao kupelekea watu wengine kuanguka na kufa, inaonesha hata nchi nyingi za Uarabuni haziruhusu wananchi wao kuondoka hovyo hovyo bila sababu, wanabanwa na kunyimwa passport.

Endapo waislamu wangeacha hayo mambo ya ukatili wangekuwa Dini moja safi sana ulimwenguni.
Wenyewe watakubishia.
 
Tunazungumzia kuhusu ukamilifu wake na dosari yake, ITABIDI WANAZUONI WAINGILIE KATI WAINDOSHE VIFUNGU KATILI NDANI YA KURAAN. ILI IWE DINI BORA ZAIDI.
Kwani Mwamed anasemaje kuhusu ukatili,uharamia,utekaji,uzalikishaji wanawake,kuoa vibinti vidogo,kulipa visasi na ubaradhuli.
 
Nitajie makundi matatu tu ya kigaidi ya kikristo?
Bila shaka mkuu na sio matatu ntakutajia hata kumi...

  • Lord's Resistance Army (LRA) Hiki kundi lipo au linafanya kazi sana Uganda,Sudan na DRC wanajiita wao wametumwa na Mungu kuzuia Utawala wa kiovu kwa kuua
  • Army of God hawa mzee ndo chinja chinja wao kuua na kuchoma nyama mtu kumla hawaoni shida wapo marekani hawa mzee wanasema aanasimamia sheria za yehova..
  • Ku Klux Klan (KKK) lililokuwa nchini marekani siku hizi halina kashi kashi sana
  • Eric Rudolph kama utakuwa na umri mrefu sana utamkumbuka huyu jamaa aliyelipua olympiq park atlanta marekani mwezi wa Saba mwak 1996
  • The Phineas Priesthood hawa wanafnya domestic terrorist sana na wanasema kwamba wao ndo kabila liliopotea la israel
  • Hutaree (Ambao kwa mujibu wa wao Wanasema maana yake ni Mashujaa wa Yesu) ni kundi la wanamgambo wanaofuata itikadi kama Christian Patriot, kundi hilo lilianzishwa mapema mwaka wa 2006.
  • The Concerned Christians,The sword ,The convenants ,Jesuits ....
  • knight templar
Naomba niishie hapo maana ni mengi sana mkuu..
Umajua kwanini hayatajwi tajwi kwa sababu yanaua wale watu ambao Marekani wanataka wauwawe...
Ndo maana imeonekana kama UGAIDI UKO UARABUNI TU LAKINI KIFUPI NI KWAMBA KWA Wazungu kuna Ugaidi mwingi kulilo uarabuni kwa kigezo cha Dini
 
Bahati mbaya pia hata Hujui kuhusu Historia ya Elimu dah kweli kazi ipo Hapa kwako....

Unazungumzia elimu ya juzi ya kina Plato mkuu Are you serious?
Education has been a fundamental aspect of human society for thousands of years. Kuhusu Ancient civilizations,
Ilianza Tangu enzi za Mesopotamia, Misri , China, na kwa wahindi huko na wali-establish well educational systems ambayo ina predate the time of Plato, ambaye aliishi miaka ya 427-347 BCE.
Ukianza na Misri wao walifundishwa hesabu,Elimu ya dini na kuandika na elimu zingine vivyo hivyo na wengine...

Mind you Mesopotamia ndo irani,Iraq na Jirdan ya leo..

Na kwa kukukumbusha tu Hata Paulo baada ya kujiita kuwa amepata Utume kutoka kwa Yesu alienda kwanza uarabuni akakaa huko kwa muda usiopungua miaka mitatu ndo akaenda Yerusalem (Alienda kule kula nondo za civilization and how to tackle things)

Soma wagalatia 1;16-17View attachment 2782592
kipindi hiko muhammad hakua hata amezaliwa na hata quran haikuwepo kumbuka qurani alishushiwa muhammad
 
Bila shaka mkuu na sio matatu ntakutajia hata kumi...

  • Lord's Resistance Army (LRA) Hiki kundi lipo au linafanya kazi sana Uganda,Sudan na DRC wanajiita wao wametumwa na Mungu kuzuia Utawala wa kiovu kwa kuua
  • Army of God hawa mzee ndo chinja chinja wao kuua na kuchoma nyama mtu kumla hawaoni shida wapo marekani hawa mzee wanasema aanasimamia sheria za yehova..
  • Ku Klux Klan (KKK) lililokuwa nchini marekani siku hizi halina kashi kashi sana
  • Eric Rudolph kama utakuwa na umri mrefu sana utamkumbuka huyu jamaa aliyelipua olympiq park atlanta marekani mwezi wa Saba mwak 1996
  • The Phineas Priesthood hawa wanafnya domestic terrorist sana na wanasema kwamba wao ndo kabila liliopotea la israel
  • Hutaree (Ambao kwa mujibu wa wao Wanasema maana yake ni Mashujaa wa Yesu) ni kundi la wanamgambo wanaofuata itikadi kama Christian Patriot, kundi hilo lilianzishwa mapema mwaka wa 2006.
  • The Concerned Christians,The sword ,The convenants ,Jesuits ....
  • knight templar
Naomba niishie hapo maana ni mengi sana mkuu..
Umajua kwanini hayatajwi tajwi kwa sababu yanaua wale watu ambao Marekani wanataka wauwawe...
Ndo maana imeonekana kama UGAIDI UKO UARABUNI TU LAKINI KIFUPI NI KWAMBA KWA Wazungu kuna Ugaidi mwingi kulilo uarabuni kwa kigezo cha Dini
Hao uliowataja hawafikii hata asilimia 10 ya madhila waliofanya al qaeda, boko haram, hamas, na al shababy

Warabu kila siku wanakimbilia ulaya in search of better life kwanini hawakimbilii uarabuni kwa ndugu zao
 
Mbona humzungumzii Rais wa Socaa kma sikosei Hispania aliyemkumbatia na kumbusu mchezaji wa kike baada ya kushinda hukumu yake?
Unaandika vitu havifanani.

Mi naongelea adhabu ya Iran. Kwani yule Rais wa Hispania Iran imemuambia nini?
 
Hao uliowataja hawafikii hata asilimia 10 ya madhila waliofanya al qaeda, boko haram, hamas, na al shababy

Warabu kila siku wanakimbilia ulaya in search of better life kwanini hawakimbilii uarabuni kwa ndugu zao
Hawafiki kwa sababu Huambiwi wala huwatajaribu "kukukalukuletia" Athari walizosababisha kwa sababu itaenda kinyume na mipango hao Ya NWO
 
Back
Top Bottom