Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Kitu kibaya ni kwamba hujui kuhusu uislamu na huo ndio mtazamo wako ,sikulaumu na ulichoongea hakina ukweli kwa asilimia zote .

Mbaya wengi wanaosma uislamu ndio wanasilimu ,uliloongea hapo halina ukweli kabisa zote ni nadharia za kimagharibi.

Uislamu umempa mwanamke cheo hata tunaamini pepo ipo chini ya nyayo ya mama(mwanamke) na sio baba ,kuna sehemu inafundisha katikq daraja nne basi tatu anabeba mwanamke katika wazazi(mama na baba) kwamba mama ana daraja 3 na baba ana moja.

Ukienda kweny kusoma hata utume alimpendelea binti ,sasa njoo kweny mirathi ndio utajua yaani mwanamke anapewa mirathi yake ila bado kaka yake anahusika kumlea kwa nguvu zake mpaka atakapoelewa huku akiwa hatumii hata thumni ya mirathi yake (Mwanamke).....Mwanamke huyo ndie ambaye hata mahari anataja yeye na sio mzazi na maamuzi ya kuolewa ni yeye....Mwanamke katika uislamu ukiangalia majukumu ya ndoa hata akizaa akinyonyesha mtoto wako wewe mwanaume unatakiwa kumlipa na hakuna sehemu imeonyesha kwamba mwanamke ni mama wa kufanya kazi za nyumbani....Ni mengi nikikutajia hapa hata nikuambia mwanamke anapewa stare ili kumpa thamni nyie mnasema haki za binadamu ila akitembea uchi ndio uhuru🙄.


Hakuna ugaidi na kama hukumu zipo kisheria mbona hata bible imetoa hukumu nyingi ,bible ilisema mwanamke hawezi kuwa kiongozi wala hatakiwi kuuliza swali kanisani ila anaenda kumuuliza mmewe nyumbani 😅😅haya hamyaon?...Sababu uislamu upo practical tukichambua hapa utajua sheria nyingi zinafana ila ukristo umathirika na wazungu ndio maana kwa sababu hata vipedo kanisani havikuhusu na utashangaa sanamu la maria na masister wamevaa hijabu ila waumini hawavai..😅


Hakuna hukumu uislamu kama dhambi tunasema haijalishi nan kafanya ..

Uislamu unakosa Torelance kama ililiyopo katika Ukristo au Torelance aliyonayo Mungu, Ni dhambi ngapi watu wanafanya lakini bado Mungu anawaacha wabakie hai?

Lakini nyinyi kuna dhambi mtu akifanya ama mmkate viungo au mmpige mawe mpaka afe, Huyu ni Mungu wa wapi?
 
Ajabu uislamu ndio dini inayokua kwa kasi sana hapa ulimwenguni tujiulize wakristo tunakosea wapi hasa wakatoliki.
Hao watu wanazaliana kama Kunguni ndio maana wanakua kwa kasi.

Katika Biblia uislam unatokea kwa Ishmaeli, Yule mtoto ambaye Ibrahim alizaa na Kijakazi (Hajir).

Na Ukristo unatokea kwa Isaka ambaye alizaliwa kutoka kwa mke wake.

Haya Ishmaeli alizaa watoto 12 wakati Isaka alizaa wawili tu, Ukiangalia utaona haya mambo hayajaanza leo.
 
Mimi ni mkristo ila nauteyea uislam. Uislam kama dini haifundishi ukatili hata siku moja, ila katika imani zote huwa kuna watu unaowaita wakatili, wapo tayari kuua, kutesa kwa sababu ya dini zao, ukristo ukiufuatilia kuna kanisa moja kubwa kuliko yote walikuwa wanachemsha watu kwenye mapipa ya mafuta, walirusha watu kwenye simba wenye njaa, walirusha watu kwenye matanuru,
Uislam ni dini ya haki. Ukiangalia ni watu wangapi hueaendea wakristo kuwaomba msaada na ni watu wangapi huwaendea waislam kuwaomba msaada utakugua jambo.
Sisi wakristo hatuna tunachojivunia
Hilo kanisa unalolifichaficha kulitaja hapa na ndio kanisa Kubwa duniani hayo mambo walifanya shetani akiwa nyuma yao wala hakuwa Mungu, na bado shetani yuko nyuma yao muda utasema. . . .

Na ufunuo wa kwenye Danieli 7 unaeleza yote deep down.
 
😅😅😅Jamaa umesoma shule gani? Jambo lolote lile la aibu halifai ,kadhalika wanawake wote wana aibu ni hulka yao .

Lile sanamu la Maria lipo kichwa wazi na mlishaambiwa wasizae mavazi yanayofanana na wanaume sasa kaangalie.

Je nyie ni wanafiki manaswara ? Ukienda kweny misiba yenu haswa mkiwa mnafanya ibada ya maiti pale kanisani basi utaona wakina dada wamekuja na nguo fupi ila wanajificha na kanga ...Ina maana mnajistiri kanisani pakiwa na msiba tu ....Nileteee andiko la kujistiri pakiwa na msiba nasilimu hapa.!!


Nimehudhuria ibada na naendelea kuhudhuria za mazishi kwa vile ndugu zangu na rafiki zangu wapo wakristo kibao...
Mimi ni mkristo na Kujisitiri ni Agizo la Mungu na kama ukiona mwanamke anajistiri tu mahali fulani hapo kuna shida.

Biblia takatifu imeweka wazi katika 1 Timotheo 2:9~10

"Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani; bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu."

Ukiona mkristo anaenda kinyume na hili anatenda dhambi na sisi kazi yetu itakuwa ni kuwahubiria tu jinsi wanavyotakiwa kuwa.

Au kuna wale dada zangu ambao eti anakuwa na nguo ambayo ni ya Kanisani na ambayo si ya kanisani. Hili ni tatizo dhambi haijawahi kuwa na mazingira.
 
Kwenye uislam ni haki bin haki hakuna ufisadi, rushwa, upigaji, kuchezea Kodi za wananchi, wizi, umalaya, adhabu yako ni panga ili iwe fundisho kwa wengine
Je ukristo unayahubiri haya uliyoyataja hapa chini?
 
Mimi ni mkristo ila nauteyea uislam. Uislam kama dini haifundishi ukatili hata siku moja, ila katika imani zote huwa kuna watu unaowaita wakatili, wapo tayari kuua, kutesa kwa sababu ya dini zao, ukristo ukiufuatilia kuna kanisa moja kubwa kuliko yote walikuwa wanachemsha watu kwenye mapipa ya mafuta, walirusha watu kwenye simba wenye njaa, walirusha watu kwenye matanuru,
Uislam ni dini ya haki. Ukiangalia ni watu wangapi hueaendea wakristo kuwaomba msaada na ni watu wangapi huwaendea waislam kuwaomba msaada utakugua jambo.
Sisi wakristo hatuna tunachojivunia

Wewe nae ndio ni magumashi tu, Hiyo dini kubwa unayohitaja ambayo ilikuwa inahusika kuwaingiza watu katika mapipa, hao kwanza hawakuwa wafuasi wa kristo bali hao walikuwa ndio wanaopinga ukristo wakati Mitumi wa kristo wanaeneza ukristo, ndio maana akina Paulo walikuwa wanakabiliwa na changamoto nyingi sana pindi wanaihubiri injili.

Kwa hiyo unaejiita mkristo kwa akili yako hao waliowarusha watu kwenye simba wenye njaa, unafikiri walikuwa wakristo au wapagani tu? Na wakati wanawarusha hao watu kwenye simba wenye njaa walikuwa wanasema “nakurusha kwenye simba wenye njaa kwa jina la Yesu” , kama wale wanaosema nakuchinja huku akimtaja ALLAH. Jiongeze wewe toka kwenye dimbwi la wale wasiofikiri.

Alafu unajihita Holly star, bora hata mimi Man Filandu.
 
Vipi kwenye bible Mungu alipo mwambia Joshua na jeshi lake waue watu wote ?

Soma kitabu cha Samuel wa kwanza na Samuel wa pili uone idadi ya watu alio waua King David ambae alikuwa kipenzi cha Mungu halafu ndio uje uwaseme waislamu
Haya unayoyasema hapa yaliendelea hata baada ya kuja kwa yesu Krisho?
 
Ukichukua bible imeminya haki za wanawake imekataa viongozi wa kike na papa Francis ndio anajadili pia wamekataa hata mwanamke kuuliza swali kanisani ...Ubaya ni kwamba wakristo hawafuati bible yaani wanavyoenda na maandiko vipo tofauti kabisa 😅😅.

Ukisoma bible yao Mungu kamaliza watu wengi ,hukumu atakayeua kwa upanga utauliwa kwa upanga yaani mambo kibao ila hwafanyi wanafuata wazungu badala ya bible.
Mungu amewaahidi nini wanawake watakaoingia peponi katika Uislamu?
 
Kama uislam ungeruhusu kua free hivyo bila kusimamia sheria kali mbona nao ungeshakua wahovyo ukiwaacha watu wawe huru hasa wanawake mbona wataingia had nabikin msikitin binadam wanahitaji sheria kal yan ukivuka redline jambia linakuhusu
Kama Mungu asingekuwa na Torelance hata mimi na wewe Tungeshakuwa mavumbini siku nyingi.

Kama tumeamua kufuata matendo matakatifu ya Mungu haya matendo ya kuwahukumu watu inatupasa tuyaweke pembeni.
 
mwanamke ameumbwa ili aongozwe, Sasa nyinyi munaoishii ni fikra za kimagharibi za kuwa mwanamke na mwanamme ni sawa endeleeni tu mutaona matunda yake.
1. Hajaumbwa
2. Hajawepo ili aongozwe
Hizi ni ideas kutoka kwa dini zilizotengenezwa na wanaume kukandamiza wanawake
Kama una evidence ya mwanamke kuumbwa ili aongozwe niletee nasubiria
 
Mimi nina dini yangu Uislam,na wewe una dini yako UKRISTO,MIMI NIMERIDHIKA NA IMANI YANGU,BASI NA WEWE TOSHEKA NA IMANI YAKO,HAUABUDU NINACHOKIABUDU NA MIMI SITOWEZA ABUDU KILE AMBACHO WEWE UNAKIABUDU,KAMA UNAONA MIMI NA UISLAM WANGU NIMEPOTEA BASI TUSUBIRI BAADA YA KUFA NA KUONDOKA JUU YA HUU MGONGO WA ARDHI TUONE YUPI ALIKUWA KWENYE NJIA SAHIHI NA YUPI ALIPOTOKA,ITS JUST A MATTER OF TIME...
😂😂😂 Unavyotamani wenzako wachomwe ndo wenzako wanavyotaka uchomwe hivyo hivyo...kila mtu subiri ukifa subiri ukifa hivi vitisho mnapewa mkiwa watoto mnavibeba mpaka uzeeni. Kuna vitu ukikua unabidi uelewe kwamba vipo kwa ajili ya control tu havina uhalisia. Acha kutishia watu moto ambao kila dini inatumia kuvuta wafuasi
 
Uislamu unakosa Torelance kama ililiyopo katika Ukristo au Torelance aliyonayo Mungu, Ni dhambi ngapi watu wanafanya lakini bado Mungu anawaacha wabakie hai?

Lakini nyinyi kuna dhambi mtu akifanya ama mmkate viungo au mmpige mawe mpaka afe, Huyu ni Mungu wa wapi?
Hakuna sheria katika kitabu chenu ,je wale wazinifu wanaotengwa na kanisa wanaofnya ni waislamu?
 
Mimi ni mkristo na Kujisitiri ni Agizo la Mungu na kama ukiona mwanamke anajistiri tu mahali fulani hapo kuna shida.

Biblia takatifu imeweka wazi katika 1 Timotheo 2:9~10

"Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani; bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu."

Ukiona mkristo anaenda kinyume na hili anatenda dhambi na sisi kazi yetu itakuwa ni kuwahubiria tu jinsi wanavyotakiwa kuwa.

Au kuna wale dada zangu ambao eti anakuwa na nguo ambayo ni ya Kanisani na ambayo si ya kanisani. Hili ni tatizo dhambi haijawahi kuwa na mazingira.
Hapo sawa maana wanaishi kwa unafiki kama bible ipo wazi ila wanafuata wazungu😅😅
 
Mungu amewaahidi nini wanawake watakaoingia peponi katika Uislamu?
Naam !! Wanawake watapewa wanaume pia na pia wanawake wana masharti machache sana katika kufikia pepo.

Je unajua kwamba nyie wakristo mmepewa ahadi ya wanawake mia peponi kwenu? Kila kitu kitakuwa mara 100 huko peponi na mlichoacha dunia ...Kama unabisha nakupa andiko hapa.!!
 
Hakuna sheria katika kitabu chenu ,je wale wazinifu wanaotengwa na kanisa wanaofnya ni waislamu?
Ukitegwa unayo chance ya kuungama dhambi zako na kuanza upya ila hakuna mtu atakayekupiga hata kofi tu, unlike nyinyi ambao kukata mtu shingo ni kufumba na kufumbua.
 
Back
Top Bottom