Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?

Ni kweli mkuu,
Wengi wanalichukulia jengo Kama Ni kupanga tofali na kufunika na cement.

Ila Kuna vitu vidogo vidogo vinapukuta Ela Sana.

Hasa hasa wakati wa FINISHING.
Hakuna lolote,hiyo finishing ina vitu gani vya ajabu tusivyovijua ,(icheki hiyo nyumba ambayo magu analalamika kujengwa kwa mil 143)

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Sasa mzee alikuwepo kwenye wizara ya ujenzi miaka mingapi? Kuna vitu vingine muwege mnatumia akili. Sasa hiyo nyumba hapo umeona ina hivyo vitu? Au unanena kwa kwa lugha....

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Hapa ndo unapata tasfiri halisi ya mtu
Deepond waweza kuwa unamiliki mjengo ambao unadhani umetumia gharama kwelikweli,lakini akija mbobezi ukimtajia atakukubalia hawezi pinga,lakini moyoni atajisemea," hapa umepigwa". Mafundi wana siri nyingi hasa kama ulijenga bila kuwa mfatiliaji wa ujenzi husika,hizo nyumba tiles ni za mkuranga tu sio spain,hakuna kitu hapo. Fundi ndio anaelewa.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Miradi ya serikali ndio hutumia mafundi wa mtaani kumbe [emoji1]
 
Kama kuna finishing touches nzuri huko ndani, na structure ilijengwa kwa viwango stahiki, no way hiyo nyumba ni less than 100m.. mnaosema milioni sijui 60, 70 mnaongelea very low qualoty houses...
Na hapo ndiyo wengi tunapokwenda arijojo kwa kuthaminisha ndani pekee. Wengi tumekosa jicho la valuation ya ndani. Gharama tajwa ni ndani na nje mpaka samani.
 
Mie nakubaliana na mjenzi wa milioni 100 kwasababu nyumba hiyo inategemea material aliyotumia, mbona sie tunajenga na milioni mbili inakwenda kwa madirisha tu ya alluminium? jamani mnyonge mnyongeni haki yake mpeni hebu tumuogope Mwenyezi Mungu tuwe wakweli na kuacha kuitusi taasisi yetu ambayo inatusaidia jamani.
 
Nyumba ni finishing hivyo siwezi ku judge chochote. Kutumia au kutotumia hiyo hela inawezekana.
Naungana na wewe maana hata tofali zinalazwa kwa nyumba za Serikali sio kusimamisha kama za kwetu.

Bado kuna vile vikao vya hao wapigaju[emoji1787][emoji1787]
 
Aliyelalamika kua hapo kuna upigaji hayuko serikalini?,hayajui haya?,kumbuka amekaa wizara ya ujenzi zaidi ya miaka 10 so maswala ya ujenzi na thamani zake anazijua sana

Ndio maana siku zote watu wa manunuzi uwa wanaonekana wezi kutokana na sheria na namna ya utaratibu.

Hiyo nyumba ukienda kimfumo wa sheria ya manunuzi (watu wa procurement) mara kutangaza tender sijui nini na nini lazima uone kuna upigaji.

Lakini ikijengwa kawaida kama ya nyumbani kwako hata mimi naungana kuwa hiyo hela ni nyingi.
 
Wengi humu mnaongelea lakini hamuelewi masuala ya ujenzi. Iyo nyumba hata mil 200 ni sawa. Cost ya nyumba inategemea na finishing na method utakazoyumia
 
Umeongea FACT[emoji123]
 
Iyo million 56.8
 
RAIS KATUDANGANYA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…