Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,535
- 14,840
Hakuna lolote,hiyo finishing ina vitu gani vya ajabu tusivyovijua ,(icheki hiyo nyumba ambayo magu analalamika kujengwa kwa mil 143)Ni kweli mkuu,
Wengi wanalichukulia jengo Kama Ni kupanga tofali na kufunika na cement.
Ila Kuna vitu vidogo vidogo vinapukuta Ela Sana.
Hasa hasa wakati wa FINISHING.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app