Ujenzi wa barabara inayounganisha mikoa mitatu ya Dodoma, Tanga na Singida itapitia maeneo gani?

Ujenzi wa barabara inayounganisha mikoa mitatu ya Dodoma, Tanga na Singida itapitia maeneo gani?

Dodoma na Singida zipo katikati ya Tanzania,Tanga ipo pembezoni mwa Nchi huwezi kufika Dodoma na Singida pasipo kupitia Mikoa ya Iringa,Morogoro,Manyara,Tabora na Mbeya.

Waziri atakuwa anadhani bado yupo huko Kwao Zanzibar.
Mkuu pole sana.
Chukua ramani ya Tz uipitie upya.
Barabara imeanzia Handeni Tanaga, inapitia Kondoa..Dodoma hadi Singida.
kazi imeanza kitamboa baadhi ya maeneo
Screenshot_20221123-091815_WhatsApp.jpg
 
Nimemsikia Waziri Ujenzi , Profesa Mbarawa akisema kunaujenzi wa barabara inayounganisha mikoa mitatu ya Dodoma, Tanga na Singida .

Hii barabara mpya itapitia maeneo gani au wilaya zipi ndani ya hiyo mikoa mitatu aliyoitaja?

Mwenye uelewa tafafhali ninahisi Prof ametupiga changa la macho.

Au ilani ya CCM inasemaje kuhusu hiyo barabara?
Unataka ukanunue viwanja karibu na barabara
 
Nimemsikia Waziri Ujenzi, Profesa Mbarawa akisema kunaujenzi wa barabara inayounganisha mikoa mitatu ya Dodoma, Tanga na Singida.

Hii barabara mpya itapitia maeneo gani au wilaya zipi ndani ya hiyo mikoa mitatu aliyoitaja?

Mwenye uelewa tafafhali ninahisi Prof. ametupiga changa la macho.

Au ilani ya CCM inasemaje kuhusu hiyo barabara?
Hiyo barabara itaunganisha mikoa ya Manyara, Dodoma na Tanga directly lakini pia na Singida indirectly.
Kwa Mkoa Manyara itapitia inapopita barabara ya kokoto/vumbi kutoka Katesh hadi Kondoa.

Ikifika Kondoa itakuwa imeungwa na barabara ya Dodoma-Arusha pale Bucha round about karibu na kituo cha kupooza/kuwasha umeme cha TANESCO. Hapo itashuka kilometre kadhaa then itaingia kushoto kama unaenda kiteto. Nadhani itapita Kongwa, Kiteto, Handeni hadi itakapoungana na T2( Chalinze-Segera) au Segera-Himo.

Ikishafika Katesh inakuwa imeungwa na Singida kwa barabara ya Singida-Babati. Na ikifika barabara ya Segera-Himo, inakuwa imeungwa na Tanga moja kwa moja.
 
Yaani wewe Ni kiazi, hayo maeneo yaliyotajwa yako wilaya tofauti kuanzia Korogwe, Handeni, Kilindi, Kiteto, Kondoa/Chemba Hadi Singida.

Kama umewahi pita Barabara ya Singida-Babati nje kidogo ya Mji wa Singida utaona Kibao kinaonesha uelekeo wa Dodoma(Kondoa eneo la Kwa Mtoro)

Na kwa taarifa yako hii Ni Barabara kuu ya ku serve Bandari ya Tanga na iko ndani ya Central Corridor na ni miongoni mwa Barabara za kimkakati za Afrika Mashariki.

Hivi nyie Chadomo huwa mnaleta ubishi wa Nini hasa?👇

..KENYA wanalilia hiyo barabara ijengwe ili bandari ya Mombasa iongeze ushindani kwa bandari ya D'Salaam kwa mizigo inayokwenda Rwanda, Burundi, na DRC.

..pia kuna geti kule Serengeti nalo wanataka lifunguliwe ili watalii watoke Nairobi waingie Maasai-Mara, halafu Serengeti, na baadae warudi Nairobi.

cc Geza Ulole
 
..KENYA wanalilia hiyo barabara ijengwe ili bandari ya Mombasa iongeze ushindani kwa bandari ya D'Salaam kwa mizigo inayokwenda Rwanda, Burundi, na DRC.

..pia kuna geti kule Serengeti nalo wanataka lifunguliwe ili watalii watoke Nairobi waingie Maasai-Mara, halafu Serengeti, na baadae warudi Nairobi.

cc Geza Ulole
Si barabara hii wanaolilia ni ile ya Mombasa-Taveta -Holili! Haipitii Tanga!
 
..KENYA wanalilia hiyo barabara ijengwe ili bandari ya Mombasa iongeze ushindani kwa bandari ya D'Salaam kwa mizigo inayokwenda Rwanda, Burundi, na DRC.

..pia kuna geti kule Serengeti nalo wanataka lifunguliwe ili watalii watoke Nairobi waingie Maasai-Mara, halafu Serengeti, na baadae warudi Nairobi.

cc Geza Ulole
Una akili ya kijasusi. Kuna maendeleo mengine tukiyafanya ni hasara. Mimi naona kwa sasa hiyo mikoa imeungana. Wilaya ziungwe ungwe lakini sio kuwa na Highway from Tanga to Singida. Itakuwa shortcut kwa Mombasa na tutajimaliza kiushindani.
 
Dodoma na Singida zipo katikati ya Tanzania, Tanga ipo pembezoni mwa Nchi huwezi kufika Dodoma na Singida pasipo kupitia Mikoa ya Iringa, Morogoro, Manyara, Tabora na Mbeya.

Waziri atakuwa anadhani bado yupo huko Kwao Zanzibar.

Dodoma na Singida zimeunganishwa kwa lami.

Bila shaka hii barabara itaanzina njia panda ya Kiteto kupitia Wilaya ya Kongwa maeneo kama Ngomai(Kongwa) Engusero, Kibaya, Mbigiri, Pori kwa Pori (Kiteto, Manyara), halafu itaingia wilaya ya Kilindi-Songe then Handeni-Mkata.

NB: Njia ya kwenda Kiteto-Kilindi-Handeni inayoanzia barabara ya Dodoma-Morogoro haina lami. Kwa hiyo nidhani kazi itakuwepo hapo
 
Ila Mbarawa anatupoteza kinamna. Simuamini tena.
 
Wewe ni MWEHU, swali nimeulizwa , Je kuna uwezekano wa ujenzi wa barabara kutoka Tanga kupita Dodoma kwenda Singida bila kupitia mikoa mingine?

Wewe ulipata Geography zero. Kiteto ipo mkoa wa Manyara na sio Dodoma.

Prof Mbarawa, tukusaidie .

Hiyo barabara inatakiwa ipitie mikoa ya Dodoma na manyara ndipo ifike Singida kwa kutokea Tanga.

vinginevyo huku bara hupajui vizuri na utakuwa kila siku kwenye ziara ya Rais unamdanganya.
Acha mihemuko. Ukitoka Dodoma, unaelekea wilaya ya Chemba. Unapita kata ya Farkwa ambapo patajengwa bwawa, unapita kata ya Kwa mtoro then unatokezea Ikungi (Makiungu) ndio unaingia Singida mjini. Ni bonge moja la short cut...
 
..KENYA wanalilia hiyo barabara ijengwe ili bandari ya Mombasa iongeze ushindani kwa bandari ya D'Salaam kwa mizigo inayokwenda Rwanda, Burundi, na DRC.

..pia kuna geti kule Serengeti nalo wanataka lifunguliwe ili watalii watoke Nairobi waingie Maasai-Mara, halafu Serengeti, na baadae warudi Nairobi.

cc Geza Ulole
Sasa Kuna shida gani mzigo wa Mombasa au Dar ports kupitia Bandari ya Tanga?

Wajenge haraka Sana
 
Acha mihemuko. Ukitoka Dodoma, unaelekea wilaya ya Chemba. Unapita kata ya Farkwa ambapo patajengwa bwawa, unapita kata ya Kwa mtoro then unatokezea Ikungi (Makiungu) ndio unaingia Singida mjini. Ni bonge moja la short cut...
Hayo huwa Ni majinga unajichosha tuu bure Mimi nimeamua kuyaacha na upuuzi wao.
 
Dodoma na Singida zimeunganishwa kwa lami.

Bila shaka hii barabara itaanzina njia panda ya Kiteto kupitia Wilaya ya Kongwa maeneo kama Ngomai(Kongwa) Engusero, Kibaya, Mbigiri, Pori kwa Pori (Kiteto, Manyara), halafu itaingia wilaya ya Kilindi-Songe then Handeni-Mkata.

NB: Njia ya kwenda Kiteto-Kilindi-Handeni inayoanzia barabara ya Dodoma-Morogoro haina lami. Kwa hiyo nidhani kazi itakuwepo hapo
Haitafika barabara ya Moro- Dodoma bali itapitia Wilaya Chemba..kwa Mtoro kuelekea Singida ambapo itapitia Makyungu na itaishi njia panda ya Makyungu na Arusha road
 
Back
Top Bottom