Sasa Kuna shida gani mzigo wa Mombasa au Dar ports kupitia Bandari ya Tanga?
Wajenge haraka Sana
..washindani ni bandari za D'Salaam vs Mombasa.
..bandari ya D'Salaam tuna advantage ya kuwa karibu zaidi na Rwanda na Burundi ukilinganisha na Mombasa.
..sasa kuna barabara ya Mombasa -- Taveta -- Holili ikijengwa itapunguza umbali wa kutoka Mombasa kwenda Rwanda na Burundi kupitia Tanzania.
..baadhi ya wachambuzi wa masuala ya usafirishaji wanaona hali hiyo itailetea matatizo bandari ya D'Salaam.
..Naomba kusahihishwa kama nimekosea.
cc Geza Ulole