Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Kote mbona Kuna lami?Nadhani itapita Tanga, Korogwe, Handeni, Kilindi, Dodoma hadi Singida.
Kumbe SINGIDA ndo mkoa ulio katikati ya nchi na si Dodoma
Ndiyo, Kuna jiwe lipo Itigi Manyoni ambao alipima mjerumani enzi zake. Shida pale hakuna maji, Nyerere akaona isiwe shida, akapeleka makao Makuu Dodoma.
Hii jiografia kibokoDodoma na Singida zipo katikati ya Tanzania, Tanga ipo pembezoni mwa Nchi huwezi kufika Dodoma na Singida pasipo kupitia Mikoa ya Iringa, Morogoro, Manyara, Tabora na Mbeya.
Waziri atakuwa anadhani bado yupo huko Kwao Zanzibar.
Haipiti Dumila, inapita mkoa wa Manyara, Haipiti Morogoro. Tanga to Singida na dom kupitia Morogoro ni njia inazunguka sana, wanataka kupunguza umbaliSio changa la macho mkuu,iko barabara inaingilia maeneo ya Dumila kama sikosei,inakwenda kutokezea Handeni then inakutana na barabara ya Dar-Tanga maeneo ya Mkata,ni shortcut nzuri sana ila kwa sasa ni rough road,badala ya kutokea Dodoma ukaenda Morogoro mpaka chalinze ndio uanze kuitafuta Tanga...
Kwa jiografia hii[emoji848][emoji115], basi atoke Tanga apitie kabisa Lusaka Zambia, Kisha Mbeya -Rukwa-Tabora-SingidaDodoma na Singida zipo katikati ya Tanzania, Tanga ipo pembezoni mwa Nchi huwezi kufika Dodoma na Singida pasipo kupitia Mikoa ya Iringa, Morogoro, Manyara, Tabora na Mbeya.
Waziri atakuwa anadhani bado yupo huko Kwao Zanzibar.
Mkuu habari?Binafsi niko Tanga inawezeka tena vizuri tu na huwa tunasafiri kwa hiyo njia kwa sasa vumbi iko hivi
TANGA JIJI HADI HANDENI NI LAMI
HANDENI HADI KILINDI NI VUMBI
KILINDI UNAENDA KAMA Kilomita kadhaa kama unaenda TURIANI ILA HUFIKI TOWN KUNA SEHEM UNACHEPUKA UNAINGIA KONDOA HADI HAPO TUKO PAMOJA