Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Kaliumbua jiwe,hakuna MTU muongo sana duniani kama magufuli,ndio maana hatumtaki kwanza uaji na Lina sura mbaya na roho yake mbaya.
Weka hapa sura ya mama yako tuone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaliumbua jiwe,hakuna MTU muongo sana duniani kama magufuli,ndio maana hatumtaki kwanza uaji na Lina sura mbaya na roho yake mbaya.
Sasa lile tangazo lao la mwisho ni kwamba waanachana na COCO sababu sheria haiwaruhusu kuchimba mafuta na kuendelea kuhodhi uingizaji wa mafuta maana wao ni moja wapo wa importers wakubwa na wauzaji wakubwa wa mafutaMkuu Lyamber nadhani wewe ndio unahitaji kuelimishwa maana umesoma uzi wa Pascal juu juu. I know better than you and Pascal ! Nina maanisha.
Total ina encourage franchises yaani DODO (Dealer Owned Dealer Operated) wakati huo huo inaendelea kumiliki vituo yvake under COCO (Company Owned Company Operated) na CODO (Company Owned Dealer Operated). Visit Total Tanzania web site www.total.co.tz ukaelimike huko.
Tatizo lako mkuu huwa unaongozwa sana na Chuki na hisia. Mimi siamini Kama eti wewe hujui kilichokwamisha mradi kwa yale makubaliaono ya kwanza kule Tanga na Kama kweli hujui basi si mfuatiliaji wa mambo hata kidogo na Kama ni mfuatiliaji utakuwa unajua Ila tu unabisha na kupinga Kama ilivyo kawaida yako siku zote.Kwa taarifa yako hakuna mazuri yoyote aliyokuja nayo Museveni, na amefanya kosa kubwa kabisa la kidiplomasia kuingilia siasa za ndani za Tanzania. Museveni ni tapeli kama tapeli mwingine yeyote, na kilichomleta ni sababu za kisiasa na kampeni za kichovu. Hilo igizo la leo lilifanyika mwaka 2017 chongoleani huko Tanga, na mkataba ulionyesha mradi kuanza mara moja 2017 na kukamilika 2020. Tena igizo lile la kwanza ambalo halijafanyika mpaka sasa, wazungu wa Total walikuwepo.
Ukitaka kujua hili la leo ni igizo la kisiasa na hakuna lolote jipya, wale wazungu wa Total ambao ndio watoa hela hakuwepo hata mmoja, zaidi ya wanaccm waliovaa sare tayari kwa igizo la kampeni. Mahali nimejua ile ilikuwa ni siasa za ccm za kupanick maana kampeni zimekuwa nzito, Magufuli anasema waliongea dakika tano tu chemba, wakakubaliana Tanzania ipate 60% na Uganda ipate 40%, huku watoa pesa ambao ni Total mgao wao haikutajwa kabisa! Hivi bado karne hii ccm mnacheza hizo siasa za kichovu hivyo?
Hakika JF Kuna comedian wengi sana wenye PhDza uchumi na wenye uwezo mkubwa wa kutabiri mambo makubwa.Hizi ni geresha, hakuna bomba litajengwa hapo.
Hizi ni geresha, hakuna bomba litajengwa hapo.
Hizi ni geresha, hakuna bomba litajengwa hapo.
M7 ikabidi tu aseme kua kaja kuongeza vichwa
Eti mseveni kaja kuongeza vichwa? Hawa wazee usikubaline nao jambo lazima walitangaze tu. Yale yale ya mama nyerereWeka hapa sura ya mama yako tuone
Sasa na idadi ya ajira tena kwenye mkataba?Mkataba wa kuanza ujenzi ndo umeingiwa sasan
Na awamu ii imeajiri wangapi?...Kikwete baba laoJaribu kuwa msomaji mzuri mradi umepewa baraka za kuanza rasmi
Tanzania tulishamaliza yote tuliotakiwa kuyafanya upande wetu,kazi ilibaki uganda wanabishana juu ya kodi
Waganda wameshakubaliana,leo museveni amekuja kuleta taarifa rasmi kwamba mradi uanze
Hao watu 60,000 wa kikwete kila mwaka wengine ndio wale watumishi hewa na wenye vyeti feki
kama kikwete aliajiri 60,000 kwa miaka kumi yake aliingiza watu 600,000!!huu ni uongo
Kwa hiyo siku hizi kuna;Mkataba wa kuanza ujenzi ndo umeingiwa sasan