Ujenzi wa Bomba la Mafuta: Ziara ya Rais Museveni nchini Tanzania - Septemba 13, 2020

Ujenzi wa Bomba la Mafuta: Ziara ya Rais Museveni nchini Tanzania - Septemba 13, 2020

Kaliumbua jiwe,hakuna MTU muongo sana duniani kama magufuli,ndio maana hatumtaki kwanza uaji na Lina sura mbaya na roho yake mbaya.

Weka hapa sura ya mama yako tuone
 
Mkuu Lyamber nadhani wewe ndio unahitaji kuelimishwa maana umesoma uzi wa Pascal juu juu. I know better than you and Pascal ! Nina maanisha.

Total ina encourage franchises yaani DODO (Dealer Owned Dealer Operated) wakati huo huo inaendelea kumiliki vituo yvake under COCO (Company Owned Company Operated) na CODO (Company Owned Dealer Operated). Visit Total Tanzania web site www.total.co.tz ukaelimike huko.
Sasa lile tangazo lao la mwisho ni kwamba waanachana na COCO sababu sheria haiwaruhusu kuchimba mafuta na kuendelea kuhodhi uingizaji wa mafuta maana wao ni moja wapo wa importers wakubwa na wauzaji wakubwa wa mafuta
 
Wakuu katika hafla fupi ya kusaini mkataba wa ujenzi wa bomba la mafuta linalopita nchini Tanzania kutoka Hoima nchini Uganda nimeyasikiliza maneno ya Mh. Rais Magufuli kwa namna serikali yake ilivyomshawishi Museven kupitisha mradi huu nchini Tanzania hata kwa kumkumbusha museveni kuwa sisi ni ndugu kwani tumeshiriki moja kwa moja kuikomboa Uganda kutoka mikononi mwa nduli Iddi Amin, nikabaini kuwa lilikuwa si jambo jepesi kwa huu mradi kupita kwetu.

Lakini kupitia platform mbalimbali mitandaoni sasa ninawaona raia wa Kenya kwa jinsi wanavyoumia juu ya mradi huu kupita nchini Tanzania tukumbuke mwanzoni ulikuwa upite nchi ya Kenya kutokea Uganda, manung'uniko ya wakenya ni juu ya manufaa makubwa ya mradi huu kwa wananchi husika utakakopita mradi kwani kwao wamepoteza na Tanzania tumepata, natamani kama tungeungana kama watanzania japo kwa hili la mradi huu tu tumpongeze raisi wetu JPM kwa uzalendo wake juu ya taifa lake.

Jamani tumpongeze rais, haya mazuri hayaji burebure kama tunavyodhani rais amepambana vilivyo na amefanikiwa kuleta mradi nchini kwetu, tumpongeze basi hata kimoyomoyo tu itatosha kumpa nguvu ya kufanya mengine mazuri zaidi kwa sisi wana wa nchi.

Hongera JPM, songa mbele wananchi tupo nyuma yako.
 
Kwa taarifa yako hakuna mazuri yoyote aliyokuja nayo Museveni, na amefanya kosa kubwa kabisa la kidiplomasia kuingilia siasa za ndani za Tanzania. Museveni ni tapeli kama tapeli mwingine yeyote, na kilichomleta ni sababu za kisiasa na kampeni za kichovu. Hilo igizo la leo lilifanyika mwaka 2017 chongoleani huko Tanga, na mkataba ulionyesha mradi kuanza mara moja 2017 na kukamilika 2020. Tena igizo lile la kwanza ambalo halijafanyika mpaka sasa, wazungu wa Total walikuwepo.

Ukitaka kujua hili la leo ni igizo la kisiasa na hakuna lolote jipya, wale wazungu wa Total ambao ndio watoa hela hakuwepo hata mmoja, zaidi ya wanaccm waliovaa sare tayari kwa igizo la kampeni. Mahali nimejua ile ilikuwa ni siasa za ccm za kupanick maana kampeni zimekuwa nzito, Magufuli anasema waliongea dakika tano tu chemba, wakakubaliana Tanzania ipate 60% na Uganda ipate 40%, huku watoa pesa ambao ni Total mgao wao haikutajwa kabisa! Hivi bado karne hii ccm mnacheza hizo siasa za kichovu hivyo?
Tatizo lako mkuu huwa unaongozwa sana na Chuki na hisia. Mimi siamini Kama eti wewe hujui kilichokwamisha mradi kwa yale makubaliaono ya kwanza kule Tanga na Kama kweli hujui basi si mfuatiliaji wa mambo hata kidogo na Kama ni mfuatiliaji utakuwa unajua Ila tu unabisha na kupinga Kama ilivyo kawaida yako siku zote.

Hii hoja yako nimeiona mara kadhaa kwenye ule uzi wa taarifa rasmi ya tukio la leo, nikashangaa imekuwaje wewe ulie mtu makini ukashindwa kujua kilicho endelea na kinachoendelea. Sikutaka kuijibu kwakweli unajua wakati mwingine ni burudani kuona watu wanavyojifanya wajua na wenye akili kubwa kumbe hakuna kitu wanajidanganya wenyewe.
 
Wanasema kuwa ni maigizo na hakuna mradi utakao jengwa kwamba mradi huo hauna faida yoyote kwa Tanzania na hauwagusi wananchi wa chini.
 
Kwa watu wenye mtazamo wa aina yako ni hatari kwa ustawi wa taifa letu, kwa hiyo ili uamini kama litajengwa ulitaka iweje kama ni mikataba imesainiwa pale sasa hayo ya kusema geresha yanatokea wapi?
Hizi ni geresha, hakuna bomba litajengwa hapo.
 
Jaribu kuwa msomaji mzuri mradi umepewa baraka za kuanza rasmi
Tanzania tulishamaliza yote tuliotakiwa kuyafanya upande wetu,kazi ilibaki uganda wanabishana juu ya kodi
Waganda wameshakubaliana,leo museveni amekuja kuleta taarifa rasmi kwamba mradi uanze
Hao watu 60,000 wa kikwete kila mwaka wengine ndio wale watumishi hewa na wenye vyeti feki
kama kikwete aliajiri 60,000 kwa miaka kumi yake aliingiza watu 600,000!!huu ni uongo
Na awamu ii imeajiri wangapi?...Kikwete baba lao
 
IMG_7481.jpg
 
Back
Top Bottom