Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
- Thread starter
-
- #61
hapa tulipofikia mzee/...wala hamna aja hii miundo mbinu ikianza funguka itajikuta biashara zinakuja tu aisee
Hahahaaaa I like that Mr. Detective J. Serikali hii inaongozwa na kutekeleza ilani ya CCM. Huwezi kupenda mti halafu ukachukia mizizi yakeSorry nimeipongeza serikali. Na si CCM.
Kura zote za Urais kwa Magufuli, mbunge na diwani wa CCMTunajivunia kua na Rais Mazalendo Mchapakazi kama Dr.Magufuli ..Tunaendelea Nae...!KURA KWA MAGUFULI
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
Ni kweli ni utashi wetu na hata CCM tunajua hilo. Hatahivyo, hatuwezi kuacha kusema Yale tuliyoahidi mwaka 2015 tumefanikisha yapi na tumekwamia wapi. Hivyo nakushukuru kwa kuwa utatuchagua tenaSerikali inafanya kazi yake tuliowachagua kwayo. Kuichagua tena ni utashi wetu haihusiani na hizi kazi wanazofanya
Mimi nauliza kwa mujibu wa hiyo PichaWe unaishi wapi? Anyway, muulize Mshana Jr au hata Lissu watakupa habari kamili maana wanayo na inawatesa sana
SawaMakonda anajiandaa kutorokea Burundi
tunashukuru kiongozi maendeleo hayana vyama...nmeanza pita wami miaka 20 now hamna mabadiliko...sasa kama kimefanyika leo ujue tunaenda vizuri...unajua kuna miradi huko ulaya na china huwa inachukua hadi miaka 30 kukamilika kwetu tulipofikia sio mbaya mkuuSio suala la kufa sababu ni unpredictable situation.
Mawazo ya kivivu ni kusema kama sio mm wanangu.. okay sikatai. But isiwe sababu ya kuchelewesha miradi muhim kama hii.
Lilitakiwa lifanyike siku nyingi.. walikuwa wapi siku zote?
Anyway naipongeza serikal kqa kuchukua hatua
Daraja hili jipya linajengwa mbali kidogo na daraja la sasa ila Kama umesafiri maeneo hayo hivi karibuni na haukusinzia basi ungeona walau kwa mbali mambo mazito yanayoendelea.Mimi nauliza kwa majibu wa hiyo Picha
Hiyo Barabara nimepita sana nikiwa Dereva hiyo picha haionyeshi ujenzi wa Daraja inaonyesha kambi ya WachinaDaraja hili jipya linajengwa mbali kidogo na daraja la sasa ila Kama umesafiri maeneo hayo hivi karibuni na haukusinzia basi ungeona walau kwa mbali mambo mazito yanayoendelea.
We ulitaka lissu ndo azame mfukoni mwake!?Hivi si ni kodi zetu Eehh?
Hatakujengwa bado mmeshaanza kupinga pinga tuu. Ndo mnataka kupewa nchi nyie?Daraje lenyewe bayaaa
Ccm oyoMgombea Urais wa CCM ndugu John Magufuli azidi kung'ara kwa miradi yake yenye tija kwa watanzania. Mradi wa daraja jipya la wami wafikia 45%. Hii itapunguza ajali hivyo kuokoa maisha pia itapunguza muda wa safari.
#2020 kura zote kwa John
Amani
Acha kujipendekeza wewe!Huyu mzee sijui mtampinga kwanini? Siku akianza kugawa zile 50M kila kijiji sindio mtalegea kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Maana kimsingi ni hela ndogo sana ikigawiwa kwa awamu awamu.
TL kwa lipi hasa alichofanya?kama serikali inachukua kodi ni wajibu wake kujenga miundombinu, kura yangu kwa TL!.
Kazi kazi kazi.Mgombea Urais wa CCM ndugu John Magufuli azidi kung'ara kwa miradi yake yenye tija kwa watanzania. Mradi wa daraja jipya la wami wafikia 45%. Hii itapunguza ajali hivyo kuokoa maisha pia itapunguza muda wa safari.
#2020 kura zote kwa John
Amani
Napongeza juhudi za Serikali juu ya huu Ujenzi wa hili Daraja jipya japo nashangaa hadi kusikitika ni kwanini limechelewa sana Kukamilika hadi leo!Mgombea Urais wa CCM ndugu John Magufuli azidi kung'ara kwa miradi yake yenye tija kwa watanzania. Mradi wa daraja jipya la wami wafikia 45%. Hii itapunguza ajali hivyo kuokoa maisha pia itapunguza muda wa safari.
#2020 kura zote kwa John
Amani