Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Haujawaza kua costa rica anaweza kumpiga germany na japan akampiga spain mkuu.Kumpita Espn yahitaji muujiza jamaa ana point 4 na mechi ijayo kamwe hawezi kufungwa na Jpn hata akifungwa atabaki na point 4 na goli 8 je German atampiga Costarica goli 8 ili ampite Espn? Tusubiri
Ushoga wa Wajerumani hauwezi kukulaza njaa au kukuletea afya mbovu. Kuna mambo yanayokugusa ila kwa kudandia agenda za wengine utakufa kwa njaa na maradhiUsituchagulie matatizo ya kuanza nayo,sisi tunakemea ushoga,wewe endelea na hayo mengine
Lolote linawezekana boss asante kwa kuliwaza hiloHaujawaza kua costa rica anaweza kumpiga germany na japan akampiga spain mkuu.
Kundi hilo hapo mchawi ni Japan.Inafikaje wakati anashika mkia kwa point moja wakati wenzio wote Wana point nne nne
Kiarusha tunasema, imeisha hyo "
Unamatatizo ya akiliBendera lenyewe Ni Kama la mashoga tu
@Bome-e kaka, Naam, ikitokea German ameshinda tena tujaalie kwa goli nyingi tu kadhalika huku Japan kapata sare watakuwa wanalingana alama, je FIFA wanazingatia nini kwa waliolingana alama??Hujui hata hesabu ya point!Wenzake hao wenye nne nne ni akina nani?Mechi ya mwisho Ni Spain vs Japan, Germany vs Costa Rica!
Hapo Germany anatakiwa ashinde magoli mengi Ili afuzu Moja Kwa Moja bila kuangalia matokea ya Spain na Japan!Iwapo Spain atamfunga Japan,basi Ujerumani atahitaji ushindi wa bao Moja tu kufuzu!!Iwapo Spain atatoa sare na Japan basi Ujerumani atahitaji kushi Kwa goli mbili Ili amzidi goal difference Japan na aweze kufuzu!
Iwapo Japan atamfunga Spain,hapo ndio tutaangalia kashinda Kwa goli ngapi Ili Ujerumani aweze kufuzu!
Mpira Ni teamwork, Kama umeangalia mech mbili za Barca ,Intermillan kawa outshined zote ,tatizo la Barca Ni backline ,Mbona yupo Barca ila wametolewa UCL mara mbili mfululizo hatua ya makundi. Tunawakuza tu ila akikutana na team serious anapigwa nyingi tu
Sodoma na Gomora ilikua Marekani, German au Uingereza?Hizo ni tamaduni za kiafrika, kwani ulishawahi ona waafrika wanaforce hizo tamaduni zinafanyike worldwide kuleta usawa? Ushoga ni tamaduni za hao wazungu wasilazimishe ziwe kwa wote
@Bome-e kaka, Naam, ikitokea German ameshinda tena tujaalie kwa goli nyingi tu kadhalika huku Japan kapata sare watakuwa wanalingana alama, je FIFA wanazingatia nini kwa waliolingana alama??
Wanazingatia goal difference au head to head???
Kama ni goal difference basi German kaenda knock out stage ila kama ni head to head basi Japan kafuzu
Mzee zinasonga mbele timu mbili mbili kila groupKumpita Espn yahitaji muujiza jamaa ana point 4 na mechi ijayo kamwe hawezi kufungwa na Jpn hata akifungwa atabaki na point 4 na goli 8 je German atampiga Costarica goli 8 ili ampite Espn? Tusubiri
Siungi mkono LGBT,ila siyo tatizo serious kwenye jamii zetu, tofaut na ukosefu wa huduma muhimu zinazo tukabili wananchi kama Ujinga,Maradhi na Umaskini..pia ushoga ni uamuzi wa mtu husika..halazimishwi.anafanya kwa hiyari yake kutokana na aidha Ujinga alio nao ama Umaskini unao mkabili akaamua apite shortcut kutafuta pesa kwa kuwa SHOGA.Kwa hyo wee unasapot lgbt
Qatar anapinga ushoga na ni timu ya kwanza kutoka worldcupUjerumani Ni taifa kubwa kiuchumi sana
Ingawa juzi kwenye kuwasili kwenye kombe la dunia akitokea mjini Frankfurt aiifika na nembo za kuashiria kukubali ushonga na kusapoti ushoga lengo na makusudi yake ilikuwa kuwaudhi waarabu, waarabu wakawakatalia kutua katika uwanja wao waondoke wakabadili nguo na jezi zao pamoja na kubadili ndege yao yenye alama za kusapoti ushoga ndipo wakatii amri.
Kudos Sana Serikali ya Qatar hamkujali lolote au yeyote Kuja kuwavurugia utaratibu wenu mliojiwekea Ila sina hakika Sana kuwa mko serious
Ujerumani imechapwa na Japan na leo tena katoa draw na ESPN naona, hii ni laana kabisa wamevuna kutoka Qatar
Kundi lao yupo
ESPN 4
Germ 1
Costarica 3
Japan 3
Namuona Japan na ESPN wakizonga mbele Zaid
Nawasilisha nilikuwa nimesafiri Sasa nimerudi mjini JF
Mwenye point 4 ni spain tu., kundi bado lipo wazi kwa timu zote 4Inafikaje wakati anashika mkia kwa point moja wakati wenzio wote Wana point nne nne
Kiarusha tunasema, imeisha hyo "
Usije tena kumlinganisha iniesta na uchafuHawa Spain
Ukiwaangalia wanavyocheza unaweza kudhani ball ya kampa kampa tena ni Rahisi sana
Enewei kwa sisi vizazi vya Samia ambao hatukuwahi kumshuhudia Iniesta nadhani miungu ya mpira imeona ituletee huyu dogo Pedri
Aaaah sasa kwanini kushinda pia usiwasifie mabeki? Yaani wakifungwa ndio team work mnaitambua ila wakishinda basi sifa zote kwa Pedri na Gavi?Mpira Ni teamwork, Kama umeangalia mech mbili za Barca ,Intermillan kawa outshined zote ,tatizo la Barca Ni backline ,
Kaangalie Zile game hata ile ya camp nou , Ni mabeki wazee ndio waliua Zile mechi
Ila inter pamoja na kuweka 3-5-2 ,bado hawakufanikiwa kutawala kiungo,mbele ya hao watoto
Tuwe fair, kufungwa Kuna factors nyingi Sana
Hata kama mashoga tutawapinga kila sehemuQatar anapinga ushoga na ni timu ya kwanza kutoka worldcup
Mpira ni uwanjani nikukumbushe hayo mambo yenu ya kupinga ushoga ni nje ya uwanjaHata kama mashoga tutawapinga kila sehemu
I think the best way kila mtu achunge familia yake vinginevyo ni kuhangaika tuHata kama mashoga tutawapinga kila sehemu