Ujinga na upumbavu wa waarabu waokoa mamia ya watu kufa au kujeruhiwa kwenye mabasi huko Israel

Ujinga na upumbavu wa waarabu waokoa mamia ya watu kufa au kujeruhiwa kwenye mabasi huko Israel

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
875
Reaction score
633
Baadhi ya MAGAIDI walioachiwa hivi karibuni kutoka kwenye magereza ya Israel leo waliweza na kufanikiwa kupachika vilipuzi kwenye mabasi 5 ambayo yalikuwa yamepark katika sehemu mbalimbali nchini Israel.

Kwa bahati nzuri sana Ujinga na upumbavu wao kwenye TIMER badala ya kuweka saa 3 asubuhi wao wakaweka saa 3 usiku na ndiyo maana mabasi yote yameripuka kipindi hicho yakiwa yameegeshwa kwenye vituo vyake.

Huyu ndiye Mungu anayeweza kupindua meza wakati wowote na kuweza kuokoa mamia ya watu ambao hiyo Kesho wangetumia usafiri wa magari hayo hii inaonyesha wazi kuwa kuachiwa kwa magaidi hao kutaongeza mashambulizi ya kigaidi katika nchi ya Israel.

Pamoja na hayo yote wananchi wengi wamelilaum shirika la Shin-bet kwa kuzembea mpaka kuwezesha magaidi hao kutega vilipuzi kwenye mabasi hayo.
 

Attachments

  • IMG_1082.mp4
    920.4 KB
Waarabu walivyo wajinga na wapumbavu jioni ya leo walianza ku post maneno haya “
“Asubuhi, majeneza; jioni, mabasi."kwenye mitandao yao Kana kwamba tayari walikuwa wana uhakika kuwa Ugaidi wao utatekelezwa kwa mafanikio. 🙄 hawa kujua kuwa yupo Mungu wa Israel!!
 

Attachments

  • IMG_1698.jpeg
    IMG_1698.jpeg
    187.6 KB · Views: 1
Myahudi sio mtu wa kuamini sana. Anaweza jitega mabomu kisha kesho usikie anasema kwakuwa walitutega mabomu ila yakalipuka usiku basi tunatuma IDF ikashambulie vituo vya kutengeneza mabomu ya kujitoa mhanga.

Si ajabu justification na sympathy vinatafutwa ingawa kweli lolote linaweza tokea.
 
Myahudi sio mtu wa kuamini sana. Anaweza jitega mabomu kisha kesho usikie anasema kwakuwa walitutega mabomu ila yakalipuka usiku basi tunatuma IDF ikashambulie vituo vya kutengeneza mabomu ya kujitoa mhanga.

Si ajabu justification na sympathy vinatafutwa ingawa kweli lolote linaweza tokea.
Hadi we cha ujuaji hili pia umeliona,,, kweli penye ukweli, uongo hujitenga,
 
Baadhi ya MAGAIDI walioachiwa hivi karibuni kutoka kwenye magereza ya Israel leo waliweza na kufanikiwa kupachika vilipuzi kwenye mabasi 5 ambayo yalikuwa yamepark katika sehemu mbalimbali nchini Israel.

Kwa bahati nzuri sana Ujinga na upumbavu wao kwenye TIMER badala ya kuweka saa 3 asubuhi wao wakaweka saa 3 usiku na ndiyo maana mabasi yote yameripuka kipindi hicho yakiwa yameegeshwa kwenye vituo vyake.

Huyu ndiye Mungu anayeweza kupindua meza wakati wowote na kuweza kuokoa mamia ya watu ambao hiyo Kesho wangetumia usafiri wa magari hayo hii inaonyesha wazi kuwa kuachiwa kwa magaidi hao kutaongeza mashambulizi ya kigaidi katika nchi ya Israel.

Pamoja na hayo yote wananchi wengi wamelilaum shirika la Shin-bet kwa kuzembea mpaka kuwezesha magaidi hao kutega vilipuzi kwenye mabasi hayo.

Mazayuni wametega wenyewe ili kupata kisingizo cha kwenda kumalizia kizazi cha wapelestina
 
Myahudi sio mtu wa kuamini sana. Anaweza jitega mabomu kisha kesho usikie anasema kwakuwa walitutega mabomu ila yakalipuka usiku basi tunatuma IDF ikashambulie vituo vya kutengeneza mabomu ya kujitoa mhanga.

Si ajabu justification na sympathy vinatafutwa ingawa kweli lolote linaweza tokea.

Nchi za kiarabu, India, China na Rumi ni za kale karibia kuliko mataifa yote Duniani.

Wenzao mataifa hayo ya kale wamepiga hatua kubwa kwenye maendeleo ya Sayansi na tekinolojia, lakini waarabu kitu pekee walichogundua ni kuuza binadamu wenzao na ugaidi. Huo ndio ugunduzi pekee wa waarabu!!
 
Kuna watu wajinga sana , wao chochote kinachokuja kwenye media wanaamini na kuchukua moja kwa moja bila kushirikisha ubongo.

Baada ya taarifa hiyo IDF wametangaza wanaenda kufanya operations za nguvu za kisheji huko West Bank , Judea na Sumeria
 
Nchi za kiarabu, India, China na Rumi ni za kale karibia kuliko mataifa yote Duniani.

Wenzao mataifa hayo ya kale wamepiga hatua kubwa kwenye maendeleo ya Sayansi na tekinolojia, lakini waarabu kitu pekee walichogundua ni kuuza binadamu wenzao na ugaidi. Huo ndio ugunduzi pekee wa waarabu!!
We Babu huna akili kabisa unaongozwa na chuki na mihemko dhidi ya Uislamu , your hatred against Muslims has clouded your sense of judgement and reasoning ability.

Soma historia vizuri kuhusu Mchango wa Waarabu katika Sayansi ya kale na ya Leo , watu wamegundua vitu vingi ila kutokana na uchache wako wa Maarifa na uvivu wa kusoma kumepeleke kusema uongo na pumba hapa Jukwaani .
 
Myahudi sio mtu wa kuamini sana. Anaweza jitega mabomu kisha kesho usikie anasema kwakuwa walitutega mabomu ila yakalipuka usiku basi tunatuma IDF ikashambulie vituo vya kutengeneza mabomu ya kujitoa mhanga.

Si ajabu justification na sympathy vinatafutwa ingawa kweli lolote linaweza tokea.
Ujinga wako wa ki Al jazeera uendelezeni misikitini tu... not public... Hamas wanawaumbueni sana nyie watumwa wa Allah mkiongopa Hamas wanasema wao ndio wamefanya...hahahaha
 
Ujinga wako wa ki Al jazeera uendelezeni misikitini tu... not public... Hamas wanawaumbueni sana nyie watumwa wa Allah mkiongopa Hamad wanasema wao ndio wamefanya...hahahaha
Lete ushaidi HAMAS wakikili ni wao uko uko ulipotaja Al Jazeera !!!?
 
Myahudi sio mtu wa kuamini sana. Anaweza jitega mabomu kisha kesho usikie anasema kwakuwa walitutega mabomu ila yakalipuka usiku basi tunatuma IDF ikashambulie vituo vya kutengeneza mabomu ya kujitoa mhanga.

Si ajabu justification na sympathy vinatafutwa ingawa kweli lolote linaweza tokea.
Endelea kujitoa ufahamu kwa lengo la kutaka kujifariji-fariji!!!
 
Back
Top Bottom