Ujinga na upumbavu wa waarabu waokoa mamia ya watu kufa au kujeruhiwa kwenye mabasi huko Israel

Ujinga na upumbavu wa waarabu waokoa mamia ya watu kufa au kujeruhiwa kwenye mabasi huko Israel

Ikiwa ww mlokole ni Muongo kias ichi sijui kiongozi wako w kiroho ambae ndio mwalimu wako sipati picha!!!!

Najiuliza ww unasambaza propaganda za Waisrael kuwa HAMAS waliwabaka Waisrael waliwauwa watoto uwongo wawazi kabisa ambao umekanushwa na Mashilika ya kutetea Haki za Binadamu duniani

lkn wewe mlokole kwa chuki zako kumuusu Mwarabu umeona japo unajua ukweli lkn unasambasza Uwongo!!!

Wewe uyo uyo vip usiamini history ya Kabumba kuusu Mwarabu naww umejiziilisha kuwa na !chuki yako ni Mwarabu na muislam!!!!

Mwarabu amekudhidi kila kitu!!!! ndio mana unapata Tabu sana pole sana mmatumbi mwenzangu wa kidudwe kisaki Diaramuro!!!! Tafuta pesa

mwarabu yupo biz kutafuta pesa ata tu kumkuta mwarabu imamu wa msikiti utafute kwa touch yeye yupo biz kutafuta Pesa

awafunge mdomo wapuuzi kama ww kutwa kucha Waarabu inawafika wakati adi vikanisa vyenu vya kilokole Wanavinunua!!!! Mnabaki kurumbana wenyewe !!

Tafuta pesa ndugu mwarabu anatatizo na mtu acha upumbavu, Kigamboni pele mwarabu kaweka pesa vijana asubui mchana wanawai kazini wengine kusoma wengiine makanisani misikitini maisha yanaenda!

juhudu za Mwarabu tunaziona za kumkwamua mtu mweusi tafuta pesa ww na Wachungaji wenu wawekeze pesa kwenye kutatua shida za mtu mweusi kama hii ya kigamboni

sio domo tu kumchafua MWARABU pesa zenu zinaishia kwenye kununua Vitu vya ANASA na SAMANI SANA usisaau na mbunye

inasikitisha sana Wachungaji wengine wananunua adi ndege lkn shida za watu Weusi awataki kuangaika nazo tena ndio mtu mweusi uyo uyo ndio mtoa Sadaka!!

lkn kutwa propaganda Mwarabu afai muislam anamajini!!!!!!! Ufalme wa mbingu kweli upo mbali ya mwanadam!!!!

Tatizo kuu Akili kutokujitambua. Mungu awape maarifa yenye kusaidia na kupenda sifa lkn ziwe zenye kusaidia wengine Sio Kununua Samani tu!!!!!
Hata unachopinga hakieleweki kila siku topić zako unalalamika kutetea magaidi walioua familia ya Bibas wameua kitoto cha miezi 9 Kafri na Kaka yake Ariel.Mama yake mwili wake wameuficha/ Wameogopa kuleta badala yake wakaleta maiti nyingine ambaye si mmoja wa mateka kwa kuwa akili yako ina matatizo hata hujahoji ni kwa nini Magaidi hao waue viumbe wadogo kiasi hicho na Mama yao? Tujuavyo Magaidi wa Hamas ni Wabakaji kuna uwezekano mkubwa walitaka kumbaka huyo Mama naye akakataa wakaona labda watoto ni kikwazo kinawazuia wasiweze kubaka vizuri Mama yao ndipo wa kaamua kuwaua watoto hao kwa mikono yao baadaye wakasingizia wameuwawa na mashambulio ya Israel. Inasemekana baada ya kuona watoto wake wameuwawa aliendelea kukataa kitendo cha kubakwa walitumia nguvu kutokana na msimamo wake waliamua kumuua na yeye kwa sababu waliona wakimwacha kwa sababu ya watoto wake atakują kusema ukweli wa unyama wa magaidi hao. Wengi wanaamini Hamas wanaogopa kuuleta mwili wa Shiri Bibas kwa sababu ya vitendo vya Ubakaji walivyovifanya hivyo kwenye Forensic lab watakuja kufahamika ujinga walioufanya ndiyo maana wameshindwa kuuleta mwili wa Mama huyo. Hamas ni Magaidi hawasafishiki pamoja na kwamba wewe Mwarabu-Koko unajitahidi sana kuwasafisha.
 
Huo ni mpango wa Trump kuwahamisha wapalestina Gaza yote unasukwa.

Inatafutwa justification tu hapo kama Ile ya October.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Myahudi sio mtu wa kuamini sana. Anaweza jitega mabomu kisha kesho usikie anasema kwakuwa walitutega mabomu ila yakalipuka usiku basi tunatuma IDF ikashambulie vituo vya kutengeneza mabomu ya kujitoa mhanga.

Si ajabu justification na sympathy vinatafutwa ingawa kweli lolote linaweza tokea.
Yeah!...mpo sahihi kabisa....hii Dunia ina mengi.
Wakat mwingine haya mambo wanafanya wenyewe kuhalalisha jambo flan wanalotaka kulifanya. Nafikiri kwa sauti lakin
 
Kuna watu wajinga sana , wao chochote kinachokuja kwenye media wanaamini na kuchukua moja kwa moja bila kushirikisha ubongo.

Baada ya taarifa hiyo IDF wametangaza wanaenda kufanya operations za nguvu za kisheji huko West Bank , Judea na Sumeria
Huenda hiyo ilikuwa 'false flag operation ' Ili kuhalalisha hiyo operation.
 
Walim
Nchi za kiarabu, India, China na Rumi ni za kale karibia kuliko mataifa yote Duniani.

Wenzao mataifa hayo ya kale wamepiga hatua kubwa kwenye maendeleo ya Sayansi na tekinolojia, lakini waarabu kitu pekee walichogundua ni kuuza binadamu wenzao na ugaidi. Huo ndio ugunduzi pekee wa waarabu!!
Walimuuza nani?
 
Hivi ukiwa Mfuga Midevu na Majini na akili pia huwa zinaondoka?
Hivi kidevu chako kikiwa kama goti la mtoto laini, au kama ngozi ya kitimoto tunatofautishaje wewe dada yako
 
Kuna watu wajinga sana , wao chochote kinachokuja kwenye media wanaamini na kuchukua moja kwa moja bila kushirikisha ubongo.

Baada ya taarifa hiyo IDF wametangaza wanaenda kufanya operations za nguvu za kisheji huko West Bank , Judea na Sumeria
Israel mambo yake kama Marekani tu, wana uhuni uhuni mwingi.
 
Back
Top Bottom