Nchi za kiarabu, India, China na Rumi ni za kale karibia kuliko mataifa yote Duniani.
Wenzao mataifa hayo ya kale wamepiga hatua kubwa kwenye maendeleo ya Sayansi na tekinolojia, lakini waarabu kitu pekee walichogundua ni kuuza binadamu wenzao na ugaidi. Huo ndio ugunduzi pekee wa waarabu!!
Zwazwa la kilokole wewe Biashara ya WAZUNGU historia yetu imepotoshwa japo mm mweusi lkn nitasema kweli
embu tujiulize!!! Watumwa Weusi Wamejazana Marekani wengine Walikimbia mateso kwa WAZUNGU uko USA wakaja kwao AFRICA
wakaunda nchi inaitwa LIBERIA kwa George Wear, uko waliko WAZUNGU Waraabu wanausikaje ??? Kwaiyo American kwasasa ni ya Waraabu???
Tatizo unaemwabudu kama mungu wako ndio kafubaza Akili yako uwe zwazwa usijue ata unaongea nini!!!!
Wala kuoji kitu Propaganda zenu zinafanya mpoteze utu wenu japo Wakuoji history yako!!
WA AFRICA walifikaje Bala American Utumwa ulipigwa Marafuku lini ndani ya Marekani kwanini ulipigwa marufuku ndani ya Marekani tu na sio kwengineko Duniani!!!??
!Ndio ujue Utumwa ulikuwa zao la WAZUNGU ndio wao tu Wamefanya iyo Kazi ya Mateso kutafuta watu wakawalimishe kwenye mashamba yao ya MAINDI kule American
mwarabu ndio kawauzia wao Wazungu uku Afrika mashariki awajawai kufika!!!??? awajawai kututawala!!!!???
hoja ipo ivi kwanza mjue Bala la American wenyewe Wazawa ni WAINDI WEKUNDU tujiulize wakwapi awa waindi wekundu!!!!
Unaambiwa wamewauwa kama sisimizi sio kama mbuzi apana sisimizi leo kuwatafuta RED INDIAN uwe na touch!!!!
kwaiyo mjue WAZUNGU wote kule BALA AMERICAN wametokea kwao ULAYA asa UK GERMAN SPANISH FRENCH kiasi kidogo
ndio kina USA na wengine awa, sasa Wameanzisha mashamba makubwa uko American kama aya walianzisha apa ya Mkonge morogoro Tanga na kule MOMBASA
Maeneo tofaut manake Mashamba yanawaitaji Watu Watu wenyewe ndio Wazee wetu. Mwarabu akuwa na maitaji ya mtu yoyote ana mashamba mtu wanini!??
Unasikia mwarabu ndio kawauzia sasa tujiulize sisi tulipewa uhuru nanani na MZUNGU tena mwingeleza!! Mashamba ya mikonge ya nani YA MZUNGU
KENYA napo MZUNGU ZIMBABWE nako MZUNGU mwenye kuitaji watu mwarabu au WAZUNGU!??!!!!!
.
Watu awaelewi MWINGELEZA na OMAN jamaaa wamoja awa ndio sisi baada ya kupata Uhuru mwingeleza kuondoka napo kule ZANZIBAR ikawa kama uwanja mweupe!!!
Sababu MWINGELEZA ndio alikuwa anamlinda SULTAN pale ZANZIBAR ikawa bahati
OMAN na SULTAN wa ZANZIBAR wana mgogolo mkubwa kwaiyo MWINGELEZA zaid alikuwa upande wa Yule wa OMAN ndio ilipofika wanataka kuikabidhi Tangamyika kipindi icho MWINGELEZA akuwaza mala mbili mbili tena kuusu ZANZIBAR
SULTAN anajua atabaki pekeyake lkn akushtuka vile anajua OMAN na UK walivo yeye asingeweza kusikilizwa,
baada ya Mapinduzi uyo SULTAN nae alikimbilia uko uko kwa MWINGELEZA pia wasomaji wa jamii forum mjue OMAN NA UK tangu enzi izo adi leo kutoka Oman kwenye UK akuna viza! VISA
history yetu tunaambiwa mwarabu ndio alikamata watu kuwapeleka wapi!???!! Wkt OMAN NA UK ni kama ndugu tangu na tangu enzi izo
UK ndio inaiilinda OMAN pele OMAN kuna majeshi ya UK tangu na tangu awajawai kuachana alipo mu OMAN ujue na UK yupo popote!!
Ata history inatuambia mwarabu ambae ni OMAN alimkimbiza MRENO pwani ya Mashariki ujue UK alikuwa na OMAN
sasa leo mwarabu achukue Babu zetu akamuuzie MWINGELEZA mana ile tunaiyona USA 75% ni WA UK Waingeleza
history yetu kuusu watumwa imepikwa kwa malengo ya kidini !!!!! Lkn wa OMAN jamaaa safi mikono yao SAFI
wametuachia urithi wa MINAZI ambayo tunanufaika nayo kizazi kwa kizazi Watu wakigoma Wanafaa wawashukulu Waraabu kwa kupanda minazi
inayowanufaisha Vijana wao kupata ajira Wauza madafu wauza Nazi Wauza makuti watengeneza sanaa zitokanazo na minazi wote Wanufaika wa Mwarabu
pwani yote adi MOMBASA alakati za minazi na ajira zinafanana na za Tanzania tuwe wa kweli
MZUNGU kaacha MKONGE mwarabu Mnazi unachuma Unakula apo apo Dafu ni Dawa kubwa inakutibu mambo kibao mwilini!!! MZUNGU Mkonge daaaa!!!
MWARABU ashukuliwe asibezwe AZAM mwarabu pia Kawaokoa watu wa kigamboni sasa DAKIKA 3 upo upande wa pili
mwarabu ni kama Maji uwezi kuyazoa ndugu
atakufuraisha tu uku
wewe Umenuna na machukizo kichwani uliobebeshwa kwakutoa SADAKA yako na mchungaji wako kimeo
Ulokole mwisho stand ya mbunye!!!