Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.
LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.
Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.
Karibuni DP World, mje hata kesho.
Walisikika wazee wa chumvini wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Hii inchi ila watu wenye akili kisoda wengi sana...the fact kua hujui gharama za bandari zipoje inaonesha kua hujawahi agiza gari. Ungekua unajua usingeandika hizi pumba.Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.
LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.
Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.
Karibuni DP World, mje hata kesho.
Walisikika wazee wa chumvini wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Duh!,kweli JF ni free platformKodi kubwa ya gari ni TRA wala sio bandari. Tena bajeti inayosomwa leo inaenda kuongeza Kodi zaidi kwenye magari. Kwa lugha rahisi bei inaenda kupanda zaidi sio kushuka
Ushuru wa bandari ni pesa kidogo tu haina athari kwenye bei yote ya gari. Mtihani ni kkdi ya TRA ambayo ndio huwa zaidi ya mara mbili ya thamani ya gari
Hii Kodi ya TRA haihusiani kabisa na gari kuwahi au kuchelewa,kifupi haihusiani kabisa na wewe kupitisha gari yako bandarini
Nililipia 6M huko nje, bandarini nikalitoa kwa 20MWe jamaa, hivi umewahi agiza gari toka nje ya Tanzania na likapitia hapo bandarini Dar?
Mm chawa bhana siyo kunguniPunguza ukunguni sio mzuri
Nasoma tu kama gazetiWewe raraa reree una maoni gani? Mbona wewe kila comment una-like?
Ya mwaka gani? Maana nijuacho, bei ya gari mtandaoni ikiwa huko iliko, hadi likufukie nyumba ni almost mara mbili. Kama gari inauzwa 2000USD (FOB), basi mpaka inakufikia nyumbani kwako ikiwa tayari imeshasajiliwa inabidi uwe na 4000USD. Sasa hayo ya 6M ikugharimu 20M nauona ni uongo ulikubuhu, ilimradi tu uonekane unachokisema ni kweliNililipia 6M huko nje, bandarini nikalitoa kwa 20M
Wazee wa chumvini ndio hao hao wazee wa minyama!??Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.
LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.
Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.
Karibuni DP World, mje hata kesho.
Walisikika wazee wa chumvini wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.
LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.
Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.
Karibuni DP World, mje hata kesho.
Walisikika wazee wa chumvini wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Fk TRAWAJINGA MNADANGANYIKA
Kama ni hivyo,nauanga mkono hoja ujio wao,na miye nimiliki ndingaIlikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.
LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.
Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.
Karibuni DP World, mje hata kesho.
Walisikika wazee wa chumvini wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
Fk TRAWAJINGA MNADANGANYIKA
Kama ni hivyo,nauanga mkono hoja ujio wao,na miye nimiliki ndinga
Ooh kumbe bei ilipandishwa na Gati no5 na 7?Ilikuwa inashangaza sana kuona mnyonge anajikusuru kuagiza gari toka nje, ambapo unakuta bei ya manunuzi ni milioni 4,5 ama 6.
LAKINI likifika badarini linatozwa Kodi na ushuru wa ajabu na kujikuta unalikomboa kwa kutoa milioni 20.
Sasa haya yote mwarabu anakuja kuyamaliza, Kodi na ushuru havitazidi nusu ya bei ya manunuzi, imefahamika.
Karibuni DP World, mje hata kesho.
Walisikika wazee wa chumvini wakiyanena mema haya ya DP World wakiwa Dubai.
SahihiKodi kubwa ya gari ni TRA wala sio bandari. Tena bajeti inayosomwa leo inaenda kuongeza Kodi zaidi kwenye magari. Kwa lugha rahisi bei inaenda kupanda zaidi sio kushuka
Ushuru wa bandari ni pesa kidogo tu haina athari kwenye bei yote ya gari. Mtihani ni kkdi ya TRA ambayo ndio huwa zaidi ya mara mbili ya thamani ya gari
Hii Kodi ya TRA haihusiani kabisa na gari kuwahi au kuchelewa,kifupi haihusiani kabisa na wewe kupitisha gari yako bandarini