Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi kusikia muwekezaji Somalia? Utawala ukiwa mbovu tu wawekezaji wanakimbia, nani awekeze sehemu isiyo na uhakika wa amani?Unafikiri wawekezaji wanaogopa vita. Ndiyo kwanza wanakula na hao wababe wa kivita. Na pia si DRC yote ina vita. DRC ni kubwa kuliko EAC kabla haijajiunga. Sehemu nyingi ni salama. Kiburi cha wakwamishaji kimefika mwisho.
Yes, Mradi wa umeme wa maji wa Inga unapotential ya 40,000MW. Umeme wa kutosha Africa yote kusini mwa Sahara.DR Congo wanayo uwezo wa kuzalisha 100,000 MW ya umeme kiwango kinachotosheleza mahitaji ya umeme Afrika nzima-yes
enough clean energy to power Africa for ever and a day. Karibu DR Congo.
The DR Congo has the largest hydropower potential in Africa and one of the largest worldwide, with a technically feasible potential of some 100,000 MW. Only about 2.5% of this potential has been developed so far.
Wewe utakuwa mkenya maana sio kwa stress hizo. Mmegeuzwa misukule na kina kenyata wakakomba ardhi yote yenye rutuba. Msimamo yetu kuhusu ardhi ya watanzania iendelee hivyo hivyo kama unadhani huko drc utakwenda kujibebea ardhi unajidanganya.Binafsi nimependa sana hili jambo. Kwa muda mrefu Tz amekuwa mkwamishaji mkubwa wa mipango ya EAC akijivunia wingi wa watu na ukubwa wa ardhi.
Siku zote akidai memba wengine wanataka kunyakua ardhi yake. Amekuja DRC ambaye ana ardhi nzuri kuliko TZ na kubwa kuliko memba wengine wote wakiwekwa pamoja. Wana idadi kubwa ya watu na rasilimali nyingi sana. Tanzania siyo darling tena wa EAC.
Wewe unaonaje ujio wa DRC kwenye EAC?
hajielewi huyo nyang,au aje kalemii au moba aone utitili wa tz walivyojaaUnaeleza mini kwani watanzania south Sudan na kongo tumezubaa? Huelewi unachoongea.Uko sifuri
Tanzania tumekamata kongo kuliko member yeyote wa EAC EAC kibiashara sababu ya position yetu
Anyway nisimwage mtama kwenye kuku wengi sababu na mimi nina biashara kongo
Wafanyabiashara wanaofanya biasharaa kongo wananielewa vizuri wawe wanafanya biashara ndogo au kubwa wananielewa barabara
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza
Naomba ufute hiyo kauli kusema watanzania tumezubaa kupiga pesa kongo au Sudan kusini
Hujiulizi kwa nini Tanzania tulipeleka majeshi south Sudan na kongo
Niishie hapo
Haya waambie na mizigo yao yote washushe kule bandari zao za maagharibi, wasitumie bandari za Tanzania.Binafsi nimependa sana hili jambo. Kwa muda mrefu Tz amekuwa mkwamishaji mkubwa wa mipango ya EAC akijivunia wingi wa watu na ukubwa wa ardhi.
Siku zote akidai memba wengine wanataka kunyakua ardhi yake. Amekuja DRC ambaye ana ardhi nzuri kuliko TZ na kubwa kuliko memba wengine wote wakiwekwa pamoja. Wana idadi kubwa ya watu na rasilimali nyingi sana. Tanzania siyo darling tena wa EAC.
Wewe unaonaje ujio wa DRC kwenye EAC?
Watu mna roho mbaya mpaka mpo tayari kujiharibia mipango ya maendeleo yenu wenyewe. Kwa mawazo haya inaonekana una roho kama ya mwendazake.Haya waambie na mizigo yao yote washushe kule bandari zao za maagharibi, wasitumie bandari za Tanzania.
Hapo sasa!
🤣🤣DRC mwenye matatizo lukuki ni sawa na kumsajili mgonjwa kwenye kikosi cha kwanza yeye kila siku ataonyesha ED ya daktari
Umuhimu wa nishati katika uzalishaji siyo jambo la kubishana. Kwa kweli upo umuhimu nchi za EA kushrikiana ili kufanikisha mradi wa Inga.Yes, Mradi wa umeme wa maji wa Inga unapotential ya 40,000MW. Umeme wa kutosha Africa yote kusini mwa Sahara.
Siyo mleta mada mwenye roho mbaya?Watu mna roho mbaya mpaka mpo tayari kujiharibia mipango ya maendeleo yenu wenyewe. Kwa mawazo haya inaonekana una roho kama ya mwendazake.
SADC ni wajinga wajinga wapiga porojo.DRC yupo SADC kipi kimebadilika!?
Hasa haya manyangau legelege na wapenda mteremko, mtalizwa sana kongo kenge hawa!Tanzania bado tuna Jeuri
Kongo aridhi kibao kubwa kuliko yetu na Raslimali kibao kuliko Sisi ila kila utakapokanyaga mabomu na risasi za waasi zinarimdima kila kona
Sisi usalama na amani uko juu kuliko nchi yeyote ya EAC
Nenda kachukue ma hekari maelfu ya ma aridhi kongo hata bure uone mziki wake utaichukua at your own risk .Serikali haiwezi guarantee usalama wako dhidi ya Askari waasi walenga shabaha juu ya kichwa cha yeyote kikiwemo chako