Ujio wa DR Congo EAC: Kiburi cha Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki sasa kimefika mwisho

Ujio wa DR Congo EAC: Kiburi cha Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki sasa kimefika mwisho

DRC yeye mwenyewe anashukuru atapata protection ya EAC hasa Tanzania kiulinzi kwa mwamvuli wa Afrika Mashariki
 
Unafikiri wawekezaji wanaogopa vita. Ndiyo kwanza wanakula na hao wababe wa kivita. Na pia si DRC yote ina vita. DRC ni kubwa kuliko EAC kabla haijajiunga. Sehemu nyingi ni salama. Kiburi cha wakwamishaji kimefika mwisho.
Umewahi kusikia muwekezaji Somalia? Utawala ukiwa mbovu tu wawekezaji wanakimbia, nani awekeze sehemu isiyo na uhakika wa amani?
 
DR Congo wanayo uwezo wa kuzalisha 100,000 MW ya umeme kiwango kinachotosheleza mahitaji ya umeme Afrika nzima-yes
enough clean energy to power Africa for ever and a day. Karibu DR Congo.
The DR Congo has the largest hydropower potential in Africa and one of the largest worldwide, with a technically feasible potential of some 100,000 MW. Only about 2.5% of this potential has been developed so far.
 
DR Congo wanayo uwezo wa kuzalisha 100,000 MW ya umeme kiwango kinachotosheleza mahitaji ya umeme Afrika nzima-yes
enough clean energy to power Africa for ever and a day. Karibu DR Congo.
The DR Congo has the largest hydropower potential in Africa and one of the largest worldwide, with a technically feasible potential of some 100,000 MW. Only about 2.5% of this potential has been developed so far.
Yes, Mradi wa umeme wa maji wa Inga unapotential ya 40,000MW. Umeme wa kutosha Africa yote kusini mwa Sahara.
 
Binafsi nimependa sana hili jambo. Kwa muda mrefu Tz amekuwa mkwamishaji mkubwa wa mipango ya EAC akijivunia wingi wa watu na ukubwa wa ardhi.

Siku zote akidai memba wengine wanataka kunyakua ardhi yake. Amekuja DRC ambaye ana ardhi nzuri kuliko TZ na kubwa kuliko memba wengine wote wakiwekwa pamoja. Wana idadi kubwa ya watu na rasilimali nyingi sana. Tanzania siyo darling tena wa EAC.

Wewe unaonaje ujio wa DRC kwenye EAC?
Wewe utakuwa mkenya maana sio kwa stress hizo. Mmegeuzwa misukule na kina kenyata wakakomba ardhi yote yenye rutuba. Msimamo yetu kuhusu ardhi ya watanzania iendelee hivyo hivyo kama unadhani huko drc utakwenda kujibebea ardhi unajidanganya.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Unaeleza mini kwani watanzania south Sudan na kongo tumezubaa? Huelewi unachoongea.Uko sifuri

Tanzania tumekamata kongo kuliko member yeyote wa EAC EAC kibiashara sababu ya position yetu

Anyway nisimwage mtama kwenye kuku wengi sababu na mimi nina biashara kongo
Wafanyabiashara wanaofanya biasharaa kongo wananielewa vizuri wawe wanafanya biashara ndogo au kubwa wananielewa barabara
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza
Naomba ufute hiyo kauli kusema watanzania tumezubaa kupiga pesa kongo au Sudan kusini

Hujiulizi kwa nini Tanzania tulipeleka majeshi south Sudan na kongo

Niishie hapo
hajielewi huyo nyang,au aje kalemii au moba aone utitili wa tz walivyojaa
 
Viongozi wanaokumbatia ujinga na umaskini wa Tanzania wangekuwa wanaongoza Congo, wasingejiunga. Wangeleta visingizio mpaka mwaka 2050
 
Binafsi nimependa sana hili jambo. Kwa muda mrefu Tz amekuwa mkwamishaji mkubwa wa mipango ya EAC akijivunia wingi wa watu na ukubwa wa ardhi.

Siku zote akidai memba wengine wanataka kunyakua ardhi yake. Amekuja DRC ambaye ana ardhi nzuri kuliko TZ na kubwa kuliko memba wengine wote wakiwekwa pamoja. Wana idadi kubwa ya watu na rasilimali nyingi sana. Tanzania siyo darling tena wa EAC.

Wewe unaonaje ujio wa DRC kwenye EAC?
Haya waambie na mizigo yao yote washushe kule bandari zao za maagharibi, wasitumie bandari za Tanzania.


Hapo sasa!
 
Haya waambie na mizigo yao yote washushe kule bandari zao za maagharibi, wasitumie bandari za Tanzania.


Hapo sasa!
Watu mna roho mbaya mpaka mpo tayari kujiharibia mipango ya maendeleo yenu wenyewe. Kwa mawazo haya inaonekana una roho kama ya mwendazake.
 
Viongozi wa Tz wamekuwa wakirudisha nyuma huu umoja kwa kusaini mambo na baada ya muda kuyageuka kama walivyoanzisha mchakato wa katiba yetu na ukaenda vizuri sana lakini wakaugeuka wenyewe.

Sasa acha tuendelee kufanya nafasi za balozi zetu nje kama sehemu ya kupumzishana na kunyamazishana badala ya kuweka watu wa kusaidia protocols za uchumi kama Kenya walivyoweza kutugeuza koloni lao kiuchumi

GODO wengi hawajui kama ni Mtz lakini ni miongoni mwa wachache wenye akili nyingi na hapa kamaliza kila kitu japo wengi huenda hawatamuelewa kwa sasa

gado.jpg
 
Yes, Mradi wa umeme wa maji wa Inga unapotential ya 40,000MW. Umeme wa kutosha Africa yote kusini mwa Sahara.
Umuhimu wa nishati katika uzalishaji siyo jambo la kubishana. Kwa kweli upo umuhimu nchi za EA kushrikiana ili kufanikisha mradi wa Inga.


The Grand Inga project is a massive US$80 billion expansion to the existing 351-MW Inga 1 and 1,424-MW Inga 2 plants. The ultimate goal is to construct a complex capable of supplying the entire sub-Saharan region with a cumulative output capacity of 42,000 MW. The Democratic Republic of Congo is currently working to tender and begin construction of the project’s first expansion, called the 4,800-MW Inga 3 Basse Chute and Haute Chute components. Eventually the project could also include Inga 4-8.
 
Watu mna roho mbaya mpaka mpo tayari kujiharibia mipango ya maendeleo yenu wenyewe. Kwa mawazo haya inaonekana una roho kama ya mwendazake.
Siyo mleta mada mwenye roho mbaya?

Nisome vizuri utaelewa nilichokiandika kimekusidia nini, labda lugha mama kwako sio Kiswahili.
 
Tanzania bado tuna Jeuri

Kongo aridhi kibao kubwa kuliko yetu na Raslimali kibao kuliko Sisi ila kila utakapokanyaga mabomu na risasi za waasi zinarimdima kila kona

Sisi usalama na amani uko juu kuliko nchi yeyote ya EAC

Nenda kachukue ma hekari maelfu ya ma aridhi kongo hata bure uone mziki wake utaichukua at your own risk .Serikali haiwezi guarantee usalama wako dhidi ya Askari waasi walenga shabaha juu ya kichwa cha yeyote kikiwemo chako
Hasa haya manyangau legelege na wapenda mteremko, mtalizwa sana kongo kenge hawa!
 
Back
Top Bottom