Hivi ni diwan wa wapi vile?Ahahah , Ana kipaji sana halafu yuko so real , leo alinichekesha eti anaishi pazuri kwa kuwa ye maisha ni mteremko hanunui pombe wala chakula, akitaka kula anaenda kwa shishi, pombe akikutana na kina Diamond wanampa $100 maisha yanaenda so pesa yake anafanyia mambo ya msingi[emoji16]
Hivi ni diwan wa wapi vile?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi nilicheka sana ile anayosema shishi food ni brand yetu wote, halafu anasema kwa msisitizoNiliikubali ile clip ya kuwauza insta followers wake. Kwamba wakimboa anawauza wanajikuta wanapostiwa magari na dalali [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nilikuwa nataka kuandika hiliKuhusu kuchukiwa, jibu ni Ndio, Kuna mtu anamchukia, na mtu huyo anayemchukia ni Uchebe...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] anasema akienda shishi food anakula anajigalagazaAhahah , Ana kipaji sana halafu yuko so real , leo alinichekesha eti anaishi pazuri kwa kuwa ye maisha ni mteremko hanunui pombe wala chakula, akitaka kula anaenda kwa shishi, pombe akikutana na kina Diamond wanampa $100 maisha yanaenda so pesa yake anafanyia mambo ya msingi[emoji16]
Akaenda mbali zaidi na kusema yeye ndiye "MR" kwa Shishi, Uchebe ni mbwa tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi nilicheka sana ile anayosema shishi food ni brand yetu wote, halafu anasema kwa msisitizo
[emoji1787][emoji1787] ndio Uchebe asichukie kweli namna hiiAkaenda mbali zaidi na kusema yeye ndiye "MR" kwa Shishi, Uchebe ni mbwa tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi nilicheka sana ile anayosema shishi food ni brand yetu wote, halafu anasema kwa msisitizo
Halafu nimekumbuka, kuna ubuyu kautoa Aristotle ,kumbe bwana Uchebe alikuwa bodyguard wa Linah na alikuwa akilipwa elfu 20 kwa siku, Shishi akavutiwa naye akaamua kumchukua mazima.[emoji1787][emoji1787] ndio Uchebe asichukie kweli namna hii
Halafu alipoulizwa kuhusu Uchebe, akajibu Uchebe yule mbwa yule... huku akiingia kwenye Uber.
Hata kama ni utani, kamzidi sana Uchebe kiasi cha kumshusha mno.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu Uchebe alikuwa anachukia serious, shishi nae anaachaje mtu anamtania mumewe vile aiseeHalafu alipoulizwa kuhusu Uchebe, akajibu Uchebe yule mbwa yule... huku akiingia kwenye Uber.
Hata kama ni utani, kamzidi sana Uchebe kiasi cha kumshusha mno.
Halafu nimekumbuka, kuna ubuyu kautoa Aristotle ,kumbe bwana Uchebe alikuwa bodyguard wa Linah na alikuwa akilipwa elfu 20 kwa siku, Shishi akavutiwa naye akaamua kumchukua mazima.
Kuna siku Uchebe katoa povu kuhusu baba Levo na Shishi kuwa karibu, na kuchimba mkwara mzito, Shishi na baba Levo waka reply kwa pamoja kwa kumcheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu alipoulizwa kuhusu Uchebe, akajibu Uchebe yule mbwa yule... huku akiingia kwenye Uber.
Hata kama ni utani, kamzidi sana Uchebe kiasi cha kumshusha mno.
Fatilia maisha yako ndugu. Maisha ya watu, utani na habari zao zinakuhusu nini?
Duuh kumbe, lakini Linah ndio ana pesa kiasi hicho au hakuwa akifanya kazi siku zoteHalafu nimekumbuka, kuna ubuyu kautoa Aristotle ,kumbe bwana Uchebe alikuwa bodyguard wa Linah na alikuwa akilipwa elfu 20 kwa siku, Shishi akavutiwa naye akaamua kumchukua mazima.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu Uchebe alikuwa anachukia serious, shishi nae anaachaje mtu anamtania mumewe vile aisee
Alikua dereva wa LinahHalafu nimekumbuka, kuna ubuyu kautoa Aristotle ,kumbe bwana Uchebe alikuwa bodyguard wa Linah na alikuwa akilipwa elfu 20 kwa siku, Shishi akavutiwa naye akaamua kumchukua mazima.
Duuh kumbe, lakini Linah ndio ana pesa kiasi hicho au hakuwa akifanya kazi siku zote
MakubwaManamake mengine bana!!
Kutaniwa ataniwe mwingine, kipele kinamuwasha mwingine!!
Usiku wa Saa saba na dakika 11 kudiscuss maisha binafsi ya watu wasiowahusu!!
Ptuuuuuuuuuu
Laki sitaKwani ni pesa ngapi hiyo kwa mwezi.?