Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Ukitaka kuwa perfect kuwa budha utaijua dunia,sio unajiendea tu ka jing'ombe.Dunia imejengwa kwenye mifumo na misingi ya kanuni.Do and don't do.
 
Yote yanaweza kutokea ameteleza Nape, akateleza J Makamba, akateleza Kinana, akateleza Membe kwani yeye nani??
 
Itakuwa poa sana. Na Mungu ajalie unabii huu utimie
 
Ana uhuru wa kutoa mawazo yake na mtazamo kwa ww unamjua maana hatuoni kama kuna mtu katajwa jina sasa unajikuna unawashwa au.
 
Hakuna mda karma ndo hii sheria haina ushikaji
 
need to be cool otherwise passion could kill
 
Mamito. Hebu iweke hii kwenye lugha itakayotufaa sisi wa komoni sensi.
 
mhhh we jamaa comment yako haina mantiki,,,kwani mwana(bintimfalme) ameangushwa na mkuu au na wajumbe???
 
Mkuu Waberoya, kwanza nakukubali sana, wewe ni miongoni mwa wana jf wachache wenye high IQ.

Baada ya shambulio mimi nilisema kitu kama hiki ilichokisema wewe hapa,

Ila kwa vile wengi wa wana jf ni watu wenye average IQ, hivyo kunapotokea issues zinazohitaji watu wenye high IQ kuzielewa, mtu unajikutwa unaishia kubezwa!.

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

P
 
Ukweli unaujua sana Pascal lakini maslahi yako uliyo nayo plus verified id zinakufanta upindishe baadhi ya mambo.
Ukweli ni kwamba huenda rais hakuagiza moja kwa moja jamaa ashughulikiwe lakini kwasababu walijua rais hampendi, watu wa karibu naye ndiye walimshughulikie...walitegemea baada ya tukio wamtaarifu kuwa usiyempenda tumemshughulikia mzee.
Na sio mwingine bali ni DAB.
Hebu jibu haya;
1. Kwanini alinyimwa matibu na serikali?
2. Kwanini alisitishiwa ubunge wake?
3. Kwanini rais alifurahia jimbo kuchukuliwa na akatamka wazi sasa ndio jimbo limepata mbunge na tutapeleka huduma?
 
Acha kuzingua ww ukipata msiba ghafla ukienda kutoa taarifa kwa ndg zako lazma uvae shati jeusi. Uzungu na officialism punguza. Hapa ishu culprit in future atakuwa reveal mambo ya mashati baki nayo
 
Nyie mna roho za kishetani kabisa. Kama shambulio lilipangwa na Chadema kwa nini polisi wasingelichunguza na kuwatia hatiani tena ndiyo wangepata hata fursa ya kuifuta kabisa Chadema kwani ndiyo matamanio yao ya kila siku. Lakini siku yaja na haiko mbali ukweli utawekwa wazi sijui utaficha wapi uso wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…