Uchaguzi 2020 Ujue Tundu Lissu unakera, unakera, unakera!

Unajua hata kichaa akiwa uchi huwa anaona kavaa nguo na anaona yupo sawa na wengine salio wazima, sasa ndo ninyi bavicha, mkijaza ka mkutano kamoja tayari mmeshinda.
Huko morogoro subilini babalao siku akitua huko ndo vibatari vyenu vitazimika.
Morogoro atafikaje baada ya push up za katoro saivi yupo hoi
 

[emoji23][emoji23]Kibushuti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe unanajisi apo ulipo ktk kyupi yako, naona umevamia mada baada ya kumaliza kumasterbate na ndio maana unahara tu uharo.
Lissu ni mgonjwa, serkali imwache ajitibu kwa kuropoka kila neno baya mpaka October atakuwa amepata nafuu

Baada ya hapo awahi ubeligiji akatibiwe
 
Jamaa walikua wamezoea kukaa ikulu wanawaita waandishi wa habari wanakua live tv karibia zoote wanawaambia raia kua wameingia uchumi wa kati hawataki maswali sasa leo wameweza kukutana na chuma cha mjerumani anagonga nyundoo na spana hatariiii
 
Wewe utakuwa unafikiri kwa kutumia makalio.

....Mbona ccm na akina polepole wako bize wanaangaika kujibu hoja za waloishakufa??
Chadema ilisha kufa tangu 2015, kilichobaki ni futuhi tu. Kwa namna Chadema inavyo kwenda kwa sasa upo uwezekano ilisha kufa kabla ya ujio wa Lowasa.
 
Ccm waliingia na matokeo mfukoni wakizani waliowafungia wasifanye mazoezi hawawezi kucheza na wao lakini 35'' tayari tundu lissu anaongoza 2-0
Wewe jamaa kwani hujui Polepole katoa matokeo ya utafiti wao wa kisayansi kwamba mpaka dakika hii ccm inaushindi wa 85% ila sikujua sample space ya utafiti kaichukua wapi.Maana wananchi wanalia kwa kusaga meno,huwezi kuamini kuna watu wanalala na njaa na Kazi wanafanya ila pesa hawapati iwe anafanya serikalini au hata kwenye sekta binafsi.Mf. nasikia kuna wale wakutoa vyakula kwenye shule za serikali wanatoa huduma tu toka 2015 hawajalipwa nk nk
 
Uvccm naona mnahamia bavicha mmoja mmoja kila siku. Karibuni tujenge nchi mpya chini ya Tundu Lissu.
 
Huyo jamaa mbona amevimba kila mahali anaumwa figo?
 
Fanyakazi acha kulalamika tu unafikiri serikali itakuletea chakula nyumbani kwako?

Watu wamekwama huku wakiwa wanafanya kazi, biashara nyingi zinafungwa huku watu wakiwa hawajui kesho yao. Nyie mnaofaidi mezani kwa bwana ndio mnapiga kelele. Ukitaka kujua hii lugha yako ya kipuuzi ni kejeli kwa watu, omba siku kabla ya kura uende TRA ukaone trend ya kufunga biashara, kisha uje uhimize watu kufanya kazi. We baki ukitazama TBC na hizo nyomi zinazokuja kupunguza stress kwa kutazama wasanii, udhani watu wako kwenye furaha.
 
Chenga Hy sijui kwanini wagogo wanamfuga
 
Hiyo kachukulia sample kwenye inner family ya magufuli (mke,watoto, wajukuu,Dada zake wa tumbo moja na shangazi zake) na bado hajashindaa
 
Lissu ni mgonjwa, serkali imwache ajitibu kwa kuropoka kila neno baya mpaka October atakuwa amepata nafuu

Baada ya hapo awahi ubeligiji akatibiwe


Polepole juzi nadanganya eti vitu havijapanda bei muongo mkubwa, nenda kaulize bei ya Sugar ya 2015 kwa sasa usikie bei yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…