Ujue uchaguzi wa Marekani (USA) na jinsi rais wake anavyochaguliwa

Ujue uchaguzi wa Marekani (USA) na jinsi rais wake anavyochaguliwa

Nadhani mleta mada kuna nanna haufahamu uchaguzi wa USA kiuhalisia, ni kama umekaririshwa fulani au ameandika kinadharia mnoo hata kama alichokiandika kuna chembechembe za ukweli.

Kwa kifupi sana, mfumo wa uchaguzi wa USA kumpata raisi wake huamuliwa na wamerekani wenyewe kwa wingi wao na wala sio kweli kuwa mshindi huamuliwa na wajumbe wa Electoral college! Ukishinda Popular votes katika majimbo mengi na muhimu zaidi basi wewe tayari ni mshindi. Kura za wajumbe wa Electoral college ni hitimisho la mchakato wa kura za Popular vote za kila jimbo. Kwanini nasema hivyo, waza haya.

1. Uchaguzi wa USA rasmi (ambapo Popular votes hupigwa) utafanyika siku ya jumanne (5/November) na katika hali ya kawaida kufikia jioni ya siku ya jumatano (6/November) tayari mshindi wa kiti cha urais wa USA atakuwa tayari amejulikana kwa kila mtu dunia nzima, wakati upigaji wa kura za wajumbe wa Electoral college zitakuja kufanyika wiki kadhaa huko baadaye. Kama wajumbe wa Electoral college (independently) huamia mshindi wa urais wa USA, kwanini mshindi ajulikane kabla ya kura zao kupigwa?

2. Hakuna mgombea yoyote wala chama chochote katika USA kinachoweza kupoteza hata dakika moja kuwafuata hao wajumbe wa Electoral college kikiomba kura zao. Yaani hakunaga kampeni za kuwashawishi hao wajumbe wa electoral college. Sio kwamba inakatazwa bali kimsingi hakuna mantiki ya kufanya hivyo.
Sasa Kama hao wajumbe ndio huamua nani awe rais, kwanini wagombea na vyama vyao wasitumie kila resource kuwashawishi hao wajumbe kuliko kutumia hizo resource kusaka popular votes ambazo 'haziamui' nani awe rais?


HITIMISHO LANGU.
Mchakato wa uchaguzi wa USA kumpata mshindi hauna tofauti yoyote ya kimsingi na chaguzi zingine za nchi nyingi za kidemokrasia ya moja kwa moja, tofauti chache zinazoelezwa zipo katika sayansi ya kutafsiri walio wengi ni kina nani au wamepatikanaje. Kwa mfano, katika uchaguzi wa Tz, mshindi wa kiti cha urais ni lazima apate zaidi ya 50% ya kura zote halali, na mshindi wa kiti cha ubunge au udiwani ni yule mwenye kura nyingi zaidi ya wagombea wengine (hata kama mshindi amepata chini ya 9% ya kura zote).
Sidhani hata kama watakuelewa!

Wenzio hawajui tofauti katika ya overall national popular votes na states’ popular votes [ambayo ndo huamua nani azipate hizo EV za jimbo].

Ni mfumo rahisi sana kuuelewa ila kwa hapa JF, ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.
 
Ndio maana yake nimeeleza hapo kuwa popular votes hazimuingizi rais madarakani hata akishida rais anaingizwa madarakani kwa kushinda electoral college votes

Kwa hiyo mgombea anaweza kupata kura chache za wananchi akaja kupata kura nyingi za electoral college votes na kushinda urais
Inategemea hizo kura za electoral colleges ameshindaje ila sio kwamba wajumbe/electors wa chama kimoja wanakuwa wamempigia kura mgombea wa chama kingine, electoral votes zinagwanywa kulingana na idadi ya wabunge ambayo hubadilika na maseneta ambapo kila jimbo lina maseneta sawa ambao ni wawili tu, sasa hapo ndipo unakuta California ya watu milioni 40 ina wajumbe wawili kwa kuanzia sawa na jimbo la watu laki 5 la Wyoming, hapo ndipo lazima mgombea achange hesabu vizuri kukusanya ushindi wa majimbo.
 
Electoral college votes zinapatikanaje?

Kwa nini, kwa mfano, electoral college votes za Florida ni nyingi kuliko za South Carolina?

Nani huamua kwamba hizi electoral college votes za Florida apewe Dr. Cornell West na si Dr. Jill Stein wala Donald Trump?
Huyo muongo. Kura za wananchi huamua Nani awe raisi. La sivyo wasingefanya campaign ya kufa MTU
 
Huyo muongo. Kura za wananchi huamua Nani awe raisi. La sivyo wasingefanya campaign ya kufa MTU
Hajui tofauti kati ya overall national popular votes na state popular votes.

State popular votes ndo hutumika katika kupata mshindi wa electoral votes za jimbo.

Kingine ambacho wengi hawakijui humu, wagombea wanaweza kutoka date katika electoral votes, kila mmoja akapata 269.
 
Lakini Electoral College imeshatoa Marais watano walioshindwa Popular vote wa karibuni wakiwa George Bush na Trump.
Ni Kweli watano, lakini ni nadra electoral votes kuwa kinyume na popular votes.
=====================
"it is quite possible that a candidate who collects the most votes on a nation-wide basis will not win the electoral vote. In a two-candidate race, that is less likely to occur. But, it did occur in the Hayes/Tilden election of 1876 and the Harrison/Cleveland election of 1888 due to the statistical disparity between vote totals in individual state elections and the national vote totals. This also occurred in the 2000 presidential election, where George W. Bush received fewer popular votes than Albert Gore Jr., but received a majority of electoral votes, and the 2016 election, where Donald J. Trump received fewer popular votes than Hillary Clinton, but received a majority of electoral votes."
 
Mgombea akishinda jimbo fulani (yaani popular votes kwenye jimbo hilo), basi anapata pia electoral votes kwenye jimbo hilo.

Kwa mfano, Kamala Harris wa California akishinda jimboni kwake, anaondoka na electoral votes 54 (ambazo ni kura za jimbo lake tu). Ndivyo inakuwa kwa majimbo yote, hadi afikishe jumla ya kura 270+

Ni wazi kwamba bila popular votes huwezi kupata electoral votes. Hizi zinategemeana kabisa.
 
Ni Kweli watano, lakini ni nadra electoral votes kuwa kinyume na popular votes.
Watano sio wachache, fikiria kama sio Electoral College Democrats wangekuwa wametawala Marekani kwa miaka 30 mfululizo, tangu Bill Clinton 1993
 
Nadhani mleta mada kuna nanna haufahamu uchaguzi wa USA kiuhalisia, ni kama umekaririshwa fulani au ameandika kinadharia mnoo hata kama alichokiandika kuna chembechembe za ukweli.

Kwa kifupi sana, mfumo wa uchaguzi wa USA kumpata raisi wake huamuliwa na wamerekani wenyewe kwa wingi wao na wala sio kweli kuwa mshindi huamuliwa na wajumbe wa Electoral college! Ukishinda Popular votes katika majimbo mengi na muhimu zaidi basi wewe tayari ni mshindi. Kura za wajumbe wa Electoral college ni hitimisho la mchakato wa kura za Popular vote za kila jimbo. Kwanini nasema hivyo, waza haya.

1. Uchaguzi wa USA rasmi (ambapo Popular votes hupigwa) utafanyika siku ya jumanne (5/November) na katika hali ya kawaida kufikia jioni ya siku ya jumatano (6/November) tayari mshindi wa kiti cha urais wa USA atakuwa tayari amejulikana kwa kila mtu dunia nzima, wakati upigaji wa kura za wajumbe wa Electoral college zitakuja kufanyika wiki kadhaa huko baadaye. Kama wajumbe wa Electoral college (independently) huamia mshindi wa urais wa USA, kwanini mshindi ajulikane kabla ya kura zao kupigwa?

2. Hakuna mgombea yoyote wala chama chochote katika USA kinachoweza kupoteza hata dakika moja kuwafuata hao wajumbe wa Electoral college kikiomba kura zao. Yaani hakunaga kampeni za kuwashawishi hao wajumbe wa electoral college. Sio kwamba inakatazwa bali kimsingi hakuna mantiki ya kufanya hivyo.
Sasa Kama hao wajumbe ndio huamua nani awe rais, kwanini wagombea na vyama vyao wasitumie kila resource kuwashawishi hao wajumbe kuliko kutumia hizo resource kusaka popular votes ambazo 'haziamui' nani awe rais?


HITIMISHO LANGU.
Mchakato wa uchaguzi wa USA kumpata mshindi hauna tofauti yoyote ya kimsingi na chaguzi zingine za nchi nyingi za kidemokrasia ya moja kwa moja, tofauti chache zinazoelezwa zipo katika sayansi ya kutafsiri walio wengi ni kina nani au wamepatikanaje. Kwa mfano, katika uchaguzi wa Tz, mshindi wa kiti cha urais ni lazima apate zaidi ya 50% ya kura zote halali, na mshindi wa kiti cha ubunge au udiwani ni yule mwenye kura nyingi zaidi ya wagombea wengine (hata kama mshindi amepata chini ya 9% ya kura zote).
Maelezo mazuri, ila hili la kura za urais Tz mshindi lazima apate 50%+, limeanza lini?
 
Watano sio wachache, fikiria kama sio Electoral College Democrats wangekuwa wametawala Marekani kwa miaka 30 mfululizo, tangu Bill Clinton 1993
Unaelewa nini maana ya nadra?
Tafuta uwiano (walioshinda Kwa popular votes na wale wa electoral votes) ktk chaguzi zote zilizofanyika tangu 1876 Hadi 2020 ili tujue watano ni wengi ama wachache.
 
Unaelewa nini maana ya nadra?
Tafuta uwiano (walioshinda Kwa popular votes na wale wa electoral votes) ktk chaguzi zote zilizofanyika tangu 1876 Hadi 2020 ili tujue watano ni wengi ama wachache.
Marekani mpaka sasa imefikisha Marais 46, sasa 5 ni nadra?? Halafu ujue Urais hata mtu akikaa miaka 4 tu anabadilisha mambo mengi sana yanayobadilisha Historia ya nchi kwa muda mrefu, Bush aliingiza Marekani katika vita vya Iraq na Afghanistan vya miaka takribani 20, Bush na Trump wameweka majaji 5 wa kudumu maisha katika Mahakama kuu ya Marekani yenye majaji 9.
 
Marekani mpaka sasa imefikisha Marais 46, sasa 5 ni nadra?? Halafu ujue Urais hata mtu akikaa miaka 4 tu anabadilisha mambo mengi sana yanayobadilisha Historia ya nchi kwa muda mrefu, Bush aliingiza Marekani katika vita vya Iraq na Afghanistan vya miaka takribani 20, Bush na Trump wameweka majaji 5 wa kudumu maisha katika Mahakama kuu ya Marekani yenye majaji 9.
Toka Mwaka 1876 Hadi 2020 ni jumla ya chaguzi ngapi zimefanyika? Kisha Tafuta Asilimia
Au
90% (popular votes) Kwa 10% (electoral college)
90>10
Mengine siyajui
 
Uchaguzi wa rais wa nchini Marekani ni tofauti sana na chaguzi za nchi nyingine duniani

Kura wanazopiga wananchi hata mgombea wa urais akushindi kwa wingi wa kula hizo hazimuingizi moja kwa moja mshindi huyo madarakani

Kwa kawaida nchini Marekani (USA) uchaguzi wa kumchagua rais wa nchi hiyo na makamu wake hufanyika kila baada ya miaka minne na ni lazima iwe wiki ya kwanza ya mwezi Novemba ni lazima pia iwe Jumanne ya kwanza baada ya Jumatatu

Hivyo kwa kanuni yao hiyo uchaguzi wa mwaka huu 2024 itafanyika Novemba 5 Jumanne ya kwanza ya baada ya Jumatatu

Katika uchaguzi wa mwaka huu mpambano mkali ni kati ya Makamu wa rais wa chama cha Democratic BI. Kamala Harris (60) na mwamba Bw. Donald Trump (78) wa chama cha Republican

Baada ya muda wa kampeni kwisha wananchi wote wa United States of America (USA) hupiga kura hata waliopo nje ya nchi hiyo wenyewe wanaita "Popular Votes or Simple Majority"

Lakini matokeo ya kura hizi za wananchi (Popular Votes) haziwezi kumuingiza rais na makamu wake Ikulu ya kifahari yenye jengo lenye shepu ya yai la white house

Baadala yake Rais wa Marekani na makamu wake wanaingizwa madarakani na wajumbe wapatao 538 kutoka kwenye majimbo 50 yanayounda nchi hiyo tajiri kiuchumi na yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani

Iko hivi baada ya wananchi wote kupiga kura (Popular Votes) na kura hizo kuhesabiwa matokeo ya kura hizo yanasaidia kuonyesha jimbo lipi linamuunga mkono mgombea wa chama kipi na kila jimbo kati ya majimbo hayo hutoa mgombea mmoja au zaidi ya mmoja kwa baadhi ya majimbo makubwa na kupatikani wajumbe hao 538

Wajumbe hao 538 ndio watakao piga kura ya "electoral college votes" kuchagua rais wa Marekani na mgombea atakayepata kura 270+ ndiye atakuwa mshindi wa urai wa nchi hiyo ambapo ni zaidi ya nusu ya kura kutoka kwa wajumbe hao 538 kutoka kwenye majimbo 50 ya USA

Baada ya kura hizo za electoral Votes kupigwa na kutoa mshindi zitahesabiwa na kuidhinishwa na bunge la Congress la nchi hiyo ambalo ni bunge la "Mabwanyeye" (Majiri)

Bunge hilo la Congress likishamuidhinisha matokeo hayo rais mpya wa nchi hiyo ataapishwa Januari mwakani tayari kwa kuanza kazi ya kutumikia wanachi wa Marekani

Katiba ya nchi hiyo inatoa muda huo mrefu wa rais aliyechaguliwa kuanza kazi ili kupisha kama kuna mapingamizi ya mgombea mmoja kutoridhika na matokeo hayo kwenda mahakamini kupinga matokeo hayo

Hivyo ndivyo rais wa Marekani na makamu wake wanavopakina

Comasava.

Hawa wana democrasia feki.
Hawana democrasia hawa. Point za ushindi kampeni-:
• kupromote usenge na kusagana
• kuruhusu wavuta bangi wavute free eti ndio uhuru huo
• watoaji mimba urahisishwe uhuru mwingine huo.

Muisrael kupitia AIPAC anawahonga million wabunge wa congress na rais wao asalimu amri aitumikie israel na asalimu amri mia fil mia. Wamerakani wananchi ni kama kondoo tu walikipa kodi inakusanywa anapewa myahudi kuua ovyo.
Hii ndio democrasia feki
 
mleta mada hauko sahihi hakuna cha wajumbe kumchagua raisi kwani kura zinapigwa mara moja tu hiyo nov. 5 alafu kura za wanachi na kura za majimbo zinaenda sambamba maana kura majimbo zipo automatic mfano jimbo la new york,iowa,washigton,dallas sasa mfano ikitokea Trump kapata kura nyingi new york basi automatic na kura za electoral votes zinakuwa zake na kama kamala nae kapata kura nyingi washigton basi na electoral vote za jimbo hilo zinakuwa zake na wa kwanza kufikisha 270 huyo ndio mshindi
 
Ndio maana yake nimeeleza hapo kuwa popular votes hazimuingizi rais madarakani hata akishida rais anaingizwa madarakani kwa kushinda electoral college votes

Kwa hiyo mgombea anaweza kupata kura chache za wananchi akaja kupata kura nyingi za electoral college votes na kushinda urais
Maneno "akaja kupata" yanatoa taswira kwamba hizo kura za "electoral college" zinaamuliwa wakati "ujao". Taswira hiyo sio sawa. Idadi ya "electoral votes" inaamuliwa kutokana na wananchi walivyopiga kura siku ya uchaguzi mkuu ( kwa mwaka huu 2024 itakuwa ni tarehe 5 Nov 2024 + early votes).
 
Uchaguzi wa rais wa nchini Marekani ni tofauti sana na chaguzi za nchi nyingine duniani

Kura wanazopiga wananchi hata mgombea wa urais akushindi kwa wingi wa kula hizo hazimuingizi moja kwa moja mshindi huyo madarakani

Kwa kawaida nchini Marekani (USA) uchaguzi wa kumchagua rais wa nchi hiyo na makamu wake hufanyika kila baada ya miaka minne na ni lazima iwe wiki ya kwanza ya mwezi Novemba ni lazima pia iwe Jumanne ya kwanza baada ya Jumatatu

Hivyo kwa kanuni yao hiyo uchaguzi wa mwaka huu 2024 itafanyika Novemba 5 Jumanne ya kwanza ya baada ya Jumatatu

Katika uchaguzi wa mwaka huu mpambano mkali ni kati ya Makamu wa rais wa chama cha Democratic BI. Kamala Harris (60) na mwamba Bw. Donald Trump (78) wa chama cha Republican

Baada ya muda wa kampeni kwisha wananchi wote wa United States of America (USA) hupiga kura hata waliopo nje ya nchi hiyo wenyewe wanaita "Popular Votes or Simple Majority"

Lakini matokeo ya kura hizi za wananchi (Popular Votes) haziwezi kumuingiza rais na makamu wake Ikulu ya kifahari yenye jengo lenye shepu ya yai la white house

Baadala yake Rais wa Marekani na makamu wake wanaingizwa madarakani na wajumbe wapatao 538 kutoka kwenye majimbo 50 yanayounda nchi hiyo tajiri kiuchumi na yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani

Iko hivi baada ya wananchi wote kupiga kura (Popular Votes) na kura hizo kuhesabiwa matokeo ya kura hizo yanasaidia kuonyesha jimbo lipi linamuunga mkono mgombea wa chama kipi na kila jimbo kati ya majimbo hayo hutoa mgombea mmoja au zaidi ya mmoja kwa baadhi ya majimbo makubwa na kupatikani wajumbe hao 538

Wajumbe hao 538 ndio watakao piga kura ya "electoral college votes" kuchagua rais wa Marekani na mgombea atakayepata kura 270+ ndiye atakuwa mshindi wa urai wa nchi hiyo ambapo ni zaidi ya nusu ya kura kutoka kwa wajumbe hao 538 kutoka kwenye majimbo 50 ya USA

Baada ya kura hizo za electoral Votes kupigwa na kutoa mshindi zitahesabiwa na kuidhinishwa na bunge la Congress la nchi hiyo ambalo ni bunge la "Mabwanyeye" (Majiri)

Bunge hilo la Congress likishamuidhinisha matokeo hayo rais mpya wa nchi hiyo ataapishwa Januari mwakani tayari kwa kuanza kazi ya kutumikia wanachi wa Marekani

Katiba ya nchi hiyo inatoa muda huo mrefu wa rais aliyechaguliwa kuanza kazi ili kupisha kama kuna mapingamizi ya mgombea mmoja kutoridhika na matokeo hayo kwenda mahakamini kupinga matokeo hayo

Hivyo ndivyo rais wa Marekani na makamu wake wanavopakina

Comasava.
mbona kuna neno "kura" na "kula"?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Nadhani mleta mada kuna nanna haufahamu uchaguzi wa USA kiuhalisia, ni kama umekaririshwa fulani au ameandika kinadharia mnoo hata kama alichokiandika kuna chembechembe za ukweli.

Kwa kifupi sana, mfumo wa uchaguzi wa USA kumpata raisi wake huamuliwa na wamerekani wenyewe kwa wingi wao na wala sio kweli kuwa mshindi huamuliwa na wajumbe wa Electoral college! Ukishinda Popular votes katika majimbo mengi na muhimu zaidi basi wewe tayari ni mshindi. Kura za wajumbe wa Electoral college ni hitimisho la mchakato wa kura za Popular vote za kila jimbo. Kwanini nasema hivyo, waza haya.

1. Uchaguzi wa USA rasmi (ambapo Popular votes hupigwa) utafanyika siku ya jumanne (5/November) na katika hali ya kawaida kufikia jioni ya siku ya jumatano (6/November) tayari mshindi wa kiti cha urais wa USA atakuwa tayari amejulikana kwa kila mtu dunia nzima, wakati upigaji wa kura za wajumbe wa Electoral college zitakuja kufanyika wiki kadhaa huko baadaye. Kama wajumbe wa Electoral college (independently) huamia mshindi wa urais wa USA, kwanini mshindi ajulikane kabla ya kura zao kupigwa?

2. Hakuna mgombea yoyote wala chama chochote katika USA kinachoweza kupoteza hata dakika moja kuwafuata hao wajumbe wa Electoral college kikiomba kura zao. Yaani hakunaga kampeni za kuwashawishi hao wajumbe wa electoral college. Sio kwamba inakatazwa bali kimsingi hakuna mantiki ya kufanya hivyo.
Sasa Kama hao wajumbe ndio huamua nani awe rais, kwanini wagombea na vyama vyao wasitumie kila resource kuwashawishi hao wajumbe kuliko kutumia hizo resource kusaka popular votes ambazo 'haziamui' nani awe rais?


HITIMISHO LANGU.
Mchakato wa uchaguzi wa USA kumpata mshindi hauna tofauti yoyote ya kimsingi na chaguzi zingine za nchi nyingi za kidemokrasia ya moja kwa moja, tofauti chache zinazoelezwa zipo katika sayansi ya kutafsiri walio wengi ni kina nani au wamepatikanaje. Kwa mfano, katika uchaguzi wa Tz, mshindi wa kiti cha urais ni lazima apate zaidi ya 50% ya kura zote halali, na mshindi wa kiti cha ubunge au udiwani ni yule mwenye kura nyingi zaidi ya wagombea wengine (hata kama mshindi amepata chini ya 9% ya kura zote).
You nailed it
 
Back
Top Bottom