Ujue uchaguzi wa Marekani (USA) na jinsi rais wake anavyochaguliwa

Ujue uchaguzi wa Marekani (USA) na jinsi rais wake anavyochaguliwa

Nadhani mleta mada kuna nanna haufahamu uchaguzi wa USA kiuhalisia, ni kama umekaririshwa fulani au ameandika kinadharia mnoo hata kama alichokiandika kuna chembechembe za ukweli.

Kwa kifupi sana, mfumo wa uchaguzi wa USA kumpata raisi wake huamuliwa na wamerekani wenyewe kwa wingi wao na wala sio kweli kuwa mshindi huamuliwa na wajumbe wa Electoral college! Ukishinda Popular votes katika majimbo mengi na muhimu zaidi basi wewe tayari ni mshindi. Kura za wajumbe wa Electoral college ni hitimisho la mchakato wa kura za Popular vote za kila jimbo. Kwanini nasema hivyo, waza haya.

1. Uchaguzi wa USA rasmi (ambapo Popular votes hupigwa) utafanyika siku ya jumanne (5/November) na katika hali ya kawaida kufikia jioni ya siku ya jumatano (6/November) tayari mshindi wa kiti cha urais wa USA atakuwa tayari amejulikana kwa kila mtu dunia nzima, wakati upigaji wa kura za wajumbe wa Electoral college zitakuja kufanyika wiki kadhaa huko baadaye. Kama wajumbe wa Electoral college (independently) huamia mshindi wa urais wa USA, kwanini mshindi ajulikane kabla ya kura zao kupigwa?

2. Hakuna mgombea yoyote wala chama chochote katika USA kinachoweza kupoteza hata dakika moja kuwafuata hao wajumbe wa Electoral college kikiomba kura zao. Yaani hakunaga kampeni za kuwashawishi hao wajumbe wa electoral college. Sio kwamba inakatazwa bali kimsingi hakuna mantiki ya kufanya hivyo.
Sasa Kama hao wajumbe ndio huamua nani awe rais, kwanini wagombea na vyama vyao wasitumie kila resource kuwashawishi hao wajumbe kuliko kutumia hizo resource kusaka popular votes ambazo 'haziamui' nani awe rais?


HITIMISHO LANGU.
Mchakato wa uchaguzi wa USA kumpata mshindi hauna tofauti yoyote ya kimsingi na chaguzi zingine za nchi nyingi za kidemokrasia ya moja kwa moja, tofauti chache zinazoelezwa zipo katika sayansi ya kutafsiri walio wengi ni kina nani au wamepatikanaje. Kwa mfano, katika uchaguzi wa Tz, mshindi wa kiti cha urais ni lazima apate zaidi ya 50% ya kura zote halali, na mshindi wa kiti cha ubunge au udiwani ni yule mwenye kura nyingi zaidi ya wagombea wengine (hata kama mshindi amepata chini ya 9% ya kura zote).
naomba jawabu kati ya donard trump na hilal Clinton nani alipata kura nyingi kimajimbo usemavyo na akatangazwa RAIS wa marekani?
 
Kamala Trumple
 

Attachments

  • Screenshot_20241103_102710_Chrome.jpg
    Screenshot_20241103_102710_Chrome.jpg
    362.2 KB · Views: 3
Uchaguzi wa rais wa nchini Marekani ni tofauti sana na chaguzi za nchi nyingine duniani

Kura wanazopiga wananchi hata mgombea wa urais akushindi kwa wingi wa kula hizo hazimuingizi moja kwa moja mshindi huyo madarakani

Kwa kawaida nchini Marekani (USA) uchaguzi wa kumchagua rais wa nchi hiyo na makamu wake hufanyika kila baada ya miaka minne na ni lazima iwe wiki ya kwanza ya mwezi Novemba ni lazima pia iwe Jumanne ya kwanza baada ya Jumatatu

Hivyo kwa kanuni yao hiyo uchaguzi wa mwaka huu 2024 itafanyika Novemba 5 Jumanne ya kwanza ya baada ya Jumatatu

Katika uchaguzi wa mwaka huu mpambano mkali ni kati ya Makamu wa rais wa chama cha Democratic BI. Kamala Harris (60) na mwamba Bw. Donald Trump (78) wa chama cha Republican

Baada ya muda wa kampeni kwisha wananchi wote wa United States of America (USA) hupiga kura hata waliopo nje ya nchi hiyo wenyewe wanaita "Popular Votes or Simple Majority"

Lakini matokeo ya kura hizi za wananchi (Popular Votes) haziwezi kumuingiza rais na makamu wake Ikulu ya kifahari yenye jengo lenye shepu ya yai la white house

Baadala yake Rais wa Marekani na makamu wake wanaingizwa madarakani na wajumbe wapatao 538 kutoka kwenye majimbo 50 yanayounda nchi hiyo tajiri kiuchumi na yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani

Iko hivi baada ya wananchi wote kupiga kura (Popular Votes) na kura hizo kuhesabiwa matokeo ya kura hizo yanasaidia kuonyesha jimbo lipi linamuunga mkono mgombea wa chama kipi na kila jimbo kati ya majimbo hayo hutoa mgombea mmoja au zaidi ya mmoja kwa baadhi ya majimbo makubwa na kupatikani wajumbe hao 538

Wajumbe hao 538 ndio watakao piga kura ya "electoral college votes" kuchagua rais wa Marekani na mgombea atakayepata kura 270+ ndiye atakuwa mshindi wa urai wa nchi hiyo ambapo ni zaidi ya nusu ya kura kutoka kwa wajumbe hao 538 kutoka kwenye majimbo 50 ya USA

Baada ya kura hizo za electoral Votes kupigwa na kutoa mshindi zitahesabiwa na kuidhinishwa na bunge la Congress la nchi hiyo ambalo ni bunge la "Mabwanyeye" (Majiri)

Bunge hilo la Congress likishamuidhinisha matokeo hayo rais mpya wa nchi hiyo ataapishwa Januari mwakani tayari kwa kuanza kazi ya kutumikia wanachi wa Marekani

Katiba ya nchi hiyo inatoa muda huo mrefu wa rais aliyechaguliwa kuanza kazi ili kupisha kama kuna mapingamizi ya mgombea mmoja kutoridhika na matokeo hayo kwenda mahakamini kupinga matokeo hayo

Hivyo ndivyo rais wa Marekani na makamu wake wanavopakina

Comasava.
Compare and constrast uchaguzi wa Marekani na wa Tanzania hasa ule wa shuja wa Afrika wa mwaka 2020
 
Nadhani mleta mada kuna nanna haufahamu uchaguzi wa USA kiuhalisia, ni kama umekaririshwa fulani au ameandika kinadharia mnoo hata kama alichokiandika kuna chembechembe za ukweli.

Kwa kifupi sana, mfumo wa uchaguzi wa USA kumpata raisi wake huamuliwa na wamerekani wenyewe kwa wingi wao na wala sio kweli kuwa mshindi huamuliwa na wajumbe wa Electoral college! Ukishinda Popular votes katika majimbo mengi na muhimu zaidi basi wewe tayari ni mshindi. Kura za wajumbe wa Electoral college ni hitimisho la mchakato wa kura za Popular vote za kila jimbo. Kwanini nasema hivyo, waza haya.

1. Uchaguzi wa USA rasmi (ambapo Popular votes hupigwa) utafanyika siku ya jumanne (5/November) na katika hali ya kawaida kufikia jioni ya siku ya jumatano (6/November) tayari mshindi wa kiti cha urais wa USA atakuwa tayari amejulikana kwa kila mtu dunia nzima, wakati upigaji wa kura za wajumbe wa Electoral college zitakuja kufanyika wiki kadhaa huko baadaye. Kama wajumbe wa Electoral college (independently) huamia mshindi wa urais wa USA, kwanini mshindi ajulikane kabla ya kura zao kupigwa?

2. Hakuna mgombea yoyote wala chama chochote katika USA kinachoweza kupoteza hata dakika moja kuwafuata hao wajumbe wa Electoral college kikiomba kura zao. Yaani hakunaga kampeni za kuwashawishi hao wajumbe wa electoral college. Sio kwamba inakatazwa bali kimsingi hakuna mantiki ya kufanya hivyo.
Sasa Kama hao wajumbe ndio huamua nani awe rais, kwanini wagombea na vyama vyao wasitumie kila resource kuwashawishi hao wajumbe kuliko kutumia hizo resource kusaka popular votes ambazo 'haziamui' nani awe rais?


HITIMISHO LANGU.
Mchakato wa uchaguzi wa USA kumpata mshindi hauna tofauti yoyote ya kimsingi na chaguzi zingine za nchi nyingi za kidemokrasia ya moja kwa moja, tofauti chache zinazoelezwa zipo katika sayansi ya kutafsiri walio wengi ni kina nani au wamepatikanaje. Kwa mfano, katika uchaguzi wa Tz, mshindi wa kiti cha urais ni lazima apate zaidi ya 50% ya kura zote halali, na mshindi wa kiti cha ubunge au udiwani ni yule mwenye kura nyingi zaidi ya wagombea wengine (hata kama mshindi amepata chini ya 9% ya kura zote).
WEWE MGUNYA ndo mpotoshaji pumbafu wee
 
naomba jawabu kati ya donard trump na hilal Clinton nani alipata kura nyingi kimajimbo usemavyo na akatangazwa RAIS wa marekani?
Nafikiri USA waliweka huu mfumo ili kubalance maamuzi ili kwamba Raisi hasitokane na majimbo yenye wapiga kura wengi pekee bali awe ni wa wamarekani wote! Mfano kwetu hapa mgombea akipata kura nyingi kanda ya ziwa na Dar basi hana haja na kura za Zanzibar au kusini, ili linafanya maeneo machache ndiyo yaamue nani awe raisi wa inchi.
Kwa mantiki hii USA wakaja na mfumo wa kwamba katika jimbo x lenye wapiga kura million 5 ukipata kura nyingi zaidi ya mwenzio utapata kura zote 3 za electrol na mgombea mwenzako katika jimbo Y lenye wapiga kura laki 5 akikuzidi kura za wananchi atapata kura zote 3 za electrol! Kwa mantiki hii ukijumlisha kura za wananchi aliyeshinda kwenye jimbo x ataonekana ana kura nyingi lakini kwenye kuingia ikuru bado analingana na aliyeshinda kwenye jimbo Y. Ili ndo lilitokea kwa Trump na Clinton
 
Kura zinapigwa na wajumbe wa Baraza la uchaguzi na Kila mshindi kwenye Jimbo la uchaguzi huesabiwa amepata kura moja hivyo atakayefikisha kura 270 Kwa maana ya majimbo ya uchaguzi ndiyo mshindi
Yaani hapa tanzania mfano Kila MKOA mgombea akishinda huesabiwa kura moja hivyo jumlisha mikoa yote atakayeongoza ndiye mshindi
 
Uchaguzi wa rais wa nchini Marekani ni tofauti sana na chaguzi za nchi nyingine duniani

Kura wanazopiga wananchi hata mgombea wa urais akushindi kwa wingi wa kula hizo hazimuingizi moja kwa moja mshindi huyo madarakani

Kwa kawaida nchini Marekani (USA) uchaguzi wa kumchagua rais wa nchi hiyo na makamu wake hufanyika kila baada ya miaka minne na ni lazima iwe wiki ya kwanza ya mwezi Novemba ni lazima pia iwe Jumanne ya kwanza baada ya Jumatatu

Hivyo kwa kanuni yao hiyo uchaguzi wa mwaka huu 2024 itafanyika Novemba 5 Jumanne ya kwanza ya baada ya Jumatatu

Katika uchaguzi wa mwaka huu mpambano mkali ni kati ya Makamu wa rais wa chama cha Democratic BI. Kamala Harris (60) na mwamba Bw. Donald Trump (78) wa chama cha Republican

Baada ya muda wa kampeni kwisha wananchi wote wa United States of America (USA) hupiga kura hata waliopo nje ya nchi hiyo wenyewe wanaita "Popular Votes or Simple Majority"

Lakini matokeo ya kura hizi za wananchi (Popular Votes) haziwezi kumuingiza rais na makamu wake Ikulu ya kifahari yenye jengo lenye shepu ya yai la white house

Baadala yake Rais wa Marekani na makamu wake wanaingizwa madarakani na wajumbe wapatao 538 kutoka kwenye majimbo 50 yanayounda nchi hiyo tajiri kiuchumi na yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani

Iko hivi baada ya wananchi wote kupiga kura (Popular Votes) na kura hizo kuhesabiwa matokeo ya kura hizo yanasaidia kuonyesha jimbo lipi linamuunga mkono mgombea wa chama kipi na kila jimbo kati ya majimbo hayo hutoa mgombea mmoja au zaidi ya mmoja kwa baadhi ya majimbo makubwa na kupatikani wajumbe hao 538

Wajumbe hao 538 ndio watakao piga kura ya "electoral college votes" kuchagua rais wa Marekani na mgombea atakayepata kura 270+ ndiye atakuwa mshindi wa urai wa nchi hiyo ambapo ni zaidi ya nusu ya kura kutoka kwa wajumbe hao 538 kutoka kwenye majimbo 50 ya USA

Baada ya kura hizo za electoral Votes kupigwa na kutoa mshindi zitahesabiwa na kuidhinishwa na bunge la Congress la nchi hiyo ambalo ni bunge la "Mabwanyeye" (Majiri)

Bunge hilo la Congress likishamuidhinisha matokeo hayo rais mpya wa nchi hiyo ataapishwa Januari mwakani tayari kwa kuanza kazi ya kutumikia wanachi wa Marekani

Katiba ya nchi hiyo inatoa muda huo mrefu wa rais aliyechaguliwa kuanza kazi ili kupisha kama kuna mapingamizi ya mgombea mmoja kutoridhika na matokeo hayo kwenda mahakamini kupinga matokeo hayo

Hivyo ndivyo rais wa Marekani na makamu wake wanavopakina

Comasava.
Kila laheri Kamala Harris...
 
Nadhani mleta mada kuna nanna haufahamu uchaguzi wa USA kiuhalisia, ni kama umekaririshwa fulani au ameandika kinadharia mnoo hata kama alichokiandika kuna chembechembe za ukweli.

Kwa kifupi sana, mfumo wa uchaguzi wa USA kumpata raisi wake huamuliwa na wamerekani wenyewe kwa wingi wao na wala sio kweli kuwa mshindi huamuliwa na wajumbe wa Electoral college! Ukishinda Popular votes katika majimbo mengi na muhimu zaidi basi wewe tayari ni mshindi. Kura za wajumbe wa Electoral college ni hitimisho la mchakato wa kura za Popular vote za kila jimbo. Kwanini nasema hivyo, waza haya.

1. Uchaguzi wa USA rasmi (ambapo Popular votes hupigwa) utafanyika siku ya jumanne (5/November) na katika hali ya kawaida kufikia jioni ya siku ya jumatano (6/November) tayari mshindi wa kiti cha urais wa USA atakuwa tayari amejulikana kwa kila mtu dunia nzima, wakati upigaji wa kura za wajumbe wa Electoral college zitakuja kufanyika wiki kadhaa huko baadaye. Kama wajumbe wa Electoral college (independently) huamia mshindi wa urais wa USA, kwanini mshindi ajulikane kabla ya kura zao kupigwa?

2. Hakuna mgombea yoyote wala chama chochote katika USA kinachoweza kupoteza hata dakika moja kuwafuata hao wajumbe wa Electoral college kikiomba kura zao. Yaani hakunaga kampeni za kuwashawishi hao wajumbe wa electoral college. Sio kwamba inakatazwa bali kimsingi hakuna mantiki ya kufanya hivyo.
Sasa Kama hao wajumbe ndio huamua nani awe rais, kwanini wagombea na vyama vyao wasitumie kila resource kuwashawishi hao wajumbe kuliko kutumia hizo resource kusaka popular votes ambazo 'haziamui' nani awe rais?


HITIMISHO LANGU.
Mchakato wa uchaguzi wa USA kumpata mshindi hauna tofauti yoyote ya kimsingi na chaguzi zingine za nchi nyingi za kidemokrasia ya moja kwa moja, tofauti chache zinazoelezwa zipo katika sayansi ya kutafsiri walio wengi ni kina nani au wamepatikanaje. Kwa mfano, katika uchaguzi wa Tz, mshindi wa kiti cha urais ni lazima apate zaidi ya 50% ya kura zote halali, na mshindi wa kiti cha ubunge au udiwani ni yule mwenye kura nyingi zaidi ya wagombea wengine (hata kama mshindi amepata chini ya 9% ya kura zote).
Ngoja ni kujibu swali la pili Marekani ni federal goverment au Muungano wa mataifa.

Mataifa mawili au zaidi yanapoungana huwa hayawi sawa, kiuchumi, kijamii hata kwa Idadi ya watu, Mfano muungano wa Soviet katika huo Muungano mataifa mengine madogo yalikuwa ni vassals states za Russia, same to Austro-Hungary au hata muungano wetu kati ya Tanganyika na Zanzibar katika hali yake ya sasa hata zanzibar wapewe entilement ngapi bado watakuwa hawana impact yoyote. Kutatua tatizo hili waasisi wa wamarekani wakaona kuna haja majimbo yote licha ya ukubwa au udogo lazima yawe na uwakilishi sawa ndio wakaunda hiyo Idea ya electroal college.

Kwa nini hawasumbuliwi kupigiwa kampeni? Majimbo yote yanauwiano sawa/unaokaribiana wa hawa wajumbe na kawaida ya Siasa vyama huwa na strongholds sehemu flani, so hakuna namna zaidi ya utendaji wa Chama/Mgombea utakaoweza kuondoa hii balance
 
Demokrasia wanayoihubiri kila siku iko wapi hapo?
Kwa nini Marekani wameendelea kuliko nchi zote?

Walijua kasoro kubwa za Serikali Duniani

Serikali huaanza na Mfalme, mfalme hupendwa na watu na kuonekana kama mungu, baadae ndani ya Ufalme viongozi wa serikali humchoka Mfalme, baadae Mfalme anaanzisha uongozi wa sera ya mkono wa chuma baada ya hapo viongozi wa serikali huanza kujilinda na Mfalme, ili kuconcile wanaunda utawala wa kurithishana(Aristocracy), baada ya hapo Aristocracy hubadilika na kati yao kuna kuwa na majatiri/Elite wa kutupwa wanaitwa Oligarchy (Mfano Russia) baada yake hawa Oligarchy wanaanza mfuno wa Politics (Kushirikisha Umma) kwenye maamuzi mwisho inatokea Democracy, kwenye Democracy then anatokea Kiongozi maarufu anakuwa anajiona yeye ndio yeye then anakuwa Monarchy mfano Hitler, Julio Cesar, Tundu Lissu, Magufuli e.t.c

Kusovle hili tatizo Marekani wakaunda mix ya Democracy (Senate) na Aristrocacy (Congress) hawa wamehakikisha Marekani kuna check and balance na mihimili yote ya Serikali ina ngumu na mipaka

Cycle+of+Government+Polity+Monarchy+Tyranny+Democracy+Oligarchy.jpg
 
Kwa nini Marekani wameendelea kuliko nchi zote?

Walijua kasoro kubwa za Serikali Duniani

Serikali huaanza na Mfalme, mfalme hupendwa na watu na kuonekana kama mungu, baadae ndani ya Ufalme viongozi wa serikali humchoka Mfalme, baadae Mfalme anaanzisha uongozi wa sera ya mkono wa chuma baada ya hapo viongozi wa serikali huanza kujilinda na Mfalme, ili kuconcile wanaunda utawala wa kurithishana(Aristocracy), baada ya hapo Aristocracy hubadilika na kati yao kuna kuwa na majatiri/Elite wa kutupwa wanaitwa Oligarchy (Mfano Russia) baada yake hawa Oligarchy wanaanza mfuno wa Politics (Kushirikisha Umma) kwenye maamuzi mwisho inatokea Democracy, kwenye Democracy then anatokea Kiongozi maarufu anakuwa anajiona yeye ndio yeye then anakuwa Monarchy mfano Hitler, Julio Cesar, Tundu Lissu, Magufuli e.t.c

Kusovle hili tatizo Marekani wakaunda mix ya Democracy (Senate) na Aristrocacy (Congress) hawa wamehakikisha Marekani kuna check and balance na mihimili yote ya Serikali ina ngumu na mipaka

View attachment 3143548
Hiyo ni democracy?
 
Back
Top Bottom