Ujue uchaguzi wa Marekani (USA) na jinsi rais wake anavyochaguliwa

Ujue uchaguzi wa Marekani (USA) na jinsi rais wake anavyochaguliwa

Soma hapo chini, usipotoshe umma nimeona nikujibu moja kwa moja. hao ni viongozi katika history ya marekani walifeli kwenye kwenye popular vote lakini wakawa marais wa marekani kwa wingi wa Electoral College votes
  1. Rutherford B. Hayes (1876): In the highly contested election against Samuel J. Tilden, Hayes lost the popular vote but won the Electoral College by a single vote, 185 to 184. The election was marred by disputes over electoral returns in several Southern states, which led to a special electoral commission that ultimately awarded the disputed votes to Hayes.
  2. Benjamin Harrison (1888): Harrison lost the popular vote to incumbent President Grover Cleveland but won the Electoral College, 233 to 168. Harrison carried key swing states, despite Cleveland receiving more votes overall.
  3. George W. Bush (2000): In a very close election against Al Gore, Bush lost the popular vote by approximately 500,000 votes but won the Electoral College, 271 to 266. The outcome hinged on a contentious recount in Florida, which was ultimately decided by a Supreme Court ruling in Bush's favor.
Nadhani hujaelewa kabisa kuhusu hiyo popular votes niliyoichambua.
Mimi nimesema kuna tofauti kubwa kati ya Popular votes kwa kila jimbo (State popular votes) ambao ndio mfumo unaotumika USA dhidi ya general Popular votes(kura za kiujumla jumla) mfumo ambao hautumiki USA. Katika hali ya kawaida huwezi ukawa rais wa USA bila kwanza kuwa na ushindi mkubwa/mpana zaidi katika state popular votes. Kwanini? Mshindi wa states
popular votes ndio huvuna wajumbe wengi zaidi wa electoral college votes.

Hao wote hapo juu uliowataja (Rutherfold, Harrison, Bush na hata Trump) walishinda states popular votes na ndio maana wakawa marais wa USA.
 
Narudia kuandika hapa, State popular votes (ambayo ndio msingi wa kumpata rais wa USA) ni tofauti kabisa general popular votes (ambayo haitumiki kabisa kumpata rais wa USA). Mara zote general popular votes hutumika kuchambua umaarufu wa mgombea kiujumla jumla mbele ya wamarekani wote kuliko kuelezea ushindi katika uchaguzi wa USA. Wagombea na vyama vyote wanalijua sana hilo, na wakati wote hulizingatia sana katika kampeni zao. Kushinda urais wa USA kunahitaji hesabu za kisayansi katika siasa za kidemokrasia na wala sio umaarufu wa kiujumla jumla wa kisiasa.
 
Narudia kuandika hapa, State popular votes (ambayo ndio msingi wa kumpata rais wa USA) ni tofauti kabisa general popular votes (ambayo haitumiki kabisa kumpata rais wa USA). Mara zote general popular votes hutumika kuchambua umaarufu wa mgombea kiujumla jumla mbele ya wamarekani wote kuliko kuelezea ushindi katika uchaguzi wa USA. Wagombea na vyama vyote wanalijua sana hilo, na wakati wote hulizingatia sana katika kampeni zao. Kushinda urais wa USA kunahitaji hesabu za kisayansi katika siasa za kidemokrasia na wala sio umaarufu wa kiujumla jumla wa kisiasa.
Hapa unapigia mbuzi gitaa.

Watu wasiojua kutofautisha ‘L’ na ‘R’ hawana uwezo wa kuelewa.
 
Hapa unapigia mbuzi gitaa.

Watu wasiojua kutofautisha ‘L’ na ‘R’ hawana uwezo wa kuelewa.
Hapa unapigia mbuzi gitaa.

Watu wasiojua kutofautisha ‘L’ na ‘R’ hawana uwezo wa kuelewa.
Ww n mpumbavu sn, inaonekana uelewa wako wa mambo n mdogo sn,

Huwez kum bully mtu kisa muundo wa herufi katika matamshi….

R na L n herufi tuu ktk muundo wa matamshi ya maneno, mostly huathiriwa na makuzi ya mtu, sababu za kikanda, sababu za kikabila n hata mazingira…

Bt believe me, am ten times smarter than you in every thing u ever learned so far….

Tht why unatoka kwny hoja za msingi unarukia muundo wa sentence ambao kimsing sio hoja iliopo mezani
 
District of Columbia ina wajumbe watatu [3], siyo wawili.

535+3=538.




Maelezo mazuri.

Inafurahisha kuona walau wapo watu humu ambao kidogo wana uelewa wa mfumo wa uchaguzi mkuu wa urais ulivyo nchini Marekani.

Maana kuna watu wengine humu hawajui, na mbaya zaidi, hawajui kama hawajui.

Ukiwaeleza kuwa wanavyoelewa ni makosa, wanashupaza shingo na kuleta ubishi.

Hawajui tofauti ya national popular votes na state popular votes.

Hawajui ni votes zipi ndizo zinazoamua mgombea apate EV za jimbo.

Ukiwaeleza kwamba demokrasia ya Marekani siyo ‘direct democracy’, bali ni ‘representative democracy’, ndo unazidi kuwachanganya.

Ukienda ndani zaidi na kuwaeleza kwamba, Marekani siyo demokrasia [America is not a democracy] bali ni constitutional federal republic, ndo unawapoteza kabisa na watakubatiza majina yote!

Nyongeza: electoral college votes za jimbo huongezeka na/au hupungua kuendana na idadi ya watu/ wakazi waliopo jimboni.

Mfano, jimbo la California, Abraham Lincoln alipata kura 4 mwaka 1860. Kwenye uchaguzi wa 1864 akapata kura 5.

Mwaka 1980, Ronald Reagan alipata kura 45. Mwaka 1984 akapata kura 47.

Mwaka 2000 Al Gore alipata kura 54.

Hillary Clinton 2016 na Joe Biden 2020, walipata kura 55.

2024, California ina electoral votes 54.

Hapo utaona zimepungua. Hiyo ni kutokana na jimbo kupungukiwa wakazi na hivyo kupoteza kiti kimoja cha bunge la wawakilishi.

Kuongezeka au kupungua kwake, kunafuatia matokeo ya sensa.

Sensa ya mwisho Marekani ilikuwa 2020. Matokeo ya sensa hiyo yalitolewa 2021.

Ndo maana Joe Biden 2020 alipata EV 55. Lakini mwaka huu 2024, zimepungua na kuwa 54.
Na shida kubwa ya humu ni wale wasiojua lakini hawajui kama hawajui.

Umefafanua vizuri sana mkuu.

Ova
 
Hawa wana democrasia feki.
Hawana democrasia hawa. Point za ushindi kampeni-:
• kupromote usenge na kusagana
• kuruhusu wavuta bangi wavute free eti ndio uhuru huo
• watoaji mimba urahisishwe uhuru mwingine huo.

Muisrael kupitia AIPAC anawahonga million wabunge wa congress na rais wao asalimu amri aitumikie israel na asalimu amri mia fil mia. Wamerakani wananchi ni kama kondoo tu walikipa kodi inakusanywa anapewa myahudi kuua ovyo.
Hii ndio democrasia feki

..demokrasia ya Marekani ni nzuri kwasababu wanaoshindana wana nguvu zinazokaribiana.

..hapa Tanzania Ccm inapokea ruzuku BILLION 3.2 kila mwezi, halafu wanashindana na vyama vinavyopata million 5 au sifuri kama ruzuku.

..Marekani kila chama kina nafasi ya kushinda ili mradi kimeweka mgombea mzuri anayejua kushawishi wapiga kura.

..hapa Tanzania tunaye Samia ambaye ni mgombea mbovu kuliko wanaofikiriwa watagombea kupitia vyama vya upinzani lakini Ccm wanatarajia ushindi asilimia 100%.
 
Na shida kubwa ya humu ni wale wasiojua lakini hawajui kama hawajui.

Umefafanua vizuri sana mkuu.

Ova
Na ww huwez kujua kila k2, perhaps huwez kumforce mtu aamin km unavyo amini ww….
Lakin pia ni busara kuheshimu mawazo na misimamo ya mtu, hata km haina uhalisia n kile unachokiamini ww
 
Niko nasoma watu wanavyopuyanga namna uchaguzi wa US unavyoendeshwa.

Yani wachambuzi uchwara ni wengi mmoja anasema eti US inaenda kufutika kama super power endapo mwanamke akishinda nimebaki nacheka tu.
 
..demokrasia ya Marekani ni nzuri kwasababu wanaoshindana wana nguvu zinazokaribiana.

..hapa Tanzania Ccm inapokea ruzuku BILLION 3.2 kila mwezi, halafu wanashindana na vyama vinavyopata million 5 au sifuri kama ruzuku.

..Marekani kila chama kina nafasi ya kushinda ili mradi kimeweka mgombea mzuri anayejua kushawishi wapiga kura.

..hapa Tanzania tunaye Samia ambaye ni mgombea mbovu kuliko wanaofikiriwa watagombea kupitia vyama vya upinzani lakini Ccm wanatarajia ushindi asilimia 100%.
Kwa kuongezea tu ni kuwa uchaguzi wa marekani unavyoendeshwa ni rahisi sana kuuona mchakato dhahiri na kwa uwazi kuliko Tanzania mdudu aitwaye tume ya uchaguzi[ saa hizi wanaiita tume huru japo sio huru kwa uhalisia bali imedalika jina] hiki chombo ndio kinaharibu chaguzi zote 100% naamini vyombo vya dola licha ya kuibeba CCM ila tume ikiwa huru kweli hata vyombo vya dola havitosimamia kupindua chaguo la wananchi .
 
Kwa kuongezea tu ni kuwa uchaguzi wa marekani unavyoendeshwa ni rahisi sana kuuona mchakato dhahiri na kwa uwazi kuliko Tanzania mdudu aitwaye tume ya uchaguzi[ saa hizi wanaiita tume huru japo sio huru kwa uhalisia bali imedalika jina] hiki chombo ndio kinaharibu chaguzi zote 100% naamini vyombo vya dola licha ya kuibeba CCM ila tume ikiwa huru kweli hata vyombo vya dola havitosimamia kupindua chaguo la wananchi .

..100%.

..tangu Tanu / Ccm imeanzishwa Tume ya Uchaguzi hajawahi kuengua mgombea hata mmoja wa chama hicho.

..sasa piga hesabu Tume ya Uchaguzi imewahi kuengua wagombea wangapi wa vyama vya upinzani.
 
..100%.

..tangu Tanu / Ccm imeanzishwa Tume ya Uchaguzi hajawahi kuengua mgombea hata mmoja wa chama hicho.

..sasa piga hesabu Tume ya Uchaguzi imewahi kuengua wagombea wangapi wa vyama vya upinzani.
Mchakato wa kupata hao viongozi wa tume unaondoa uhalali kabisa wa tume kuwa huru maana ni maafisa wa usalama wa taifa na pia ni wanachama wa CCM.
 
Nadhani mleta mada kuna nanna haufahamu uchaguzi wa USA kiuhalisia, ni kama umekaririshwa fulani au ameandika kinadharia mnoo hata kama alichokiandika kuna chembechembe za ukweli.

Kwa kifupi sana, mfumo wa uchaguzi wa USA kumpata raisi wake huamuliwa na wamerekani wenyewe kwa wingi wao na wala sio kweli kuwa mshindi huamuliwa na wajumbe wa Electoral college! Ukishinda Popular votes katika majimbo mengi na muhimu zaidi basi wewe tayari ni mshindi. Kura za wajumbe wa Electoral college ni hitimisho la mchakato wa kura za Popular vote za kila jimbo. Kwanini nasema hivyo, waza haya.

1. Uchaguzi wa USA rasmi (ambapo Popular votes hupigwa) utafanyika siku ya jumanne (5/November) na katika hali ya kawaida kufikia jioni ya siku ya jumatano (6/November) tayari mshindi wa kiti cha urais wa USA atakuwa tayari amejulikana kwa kila mtu dunia nzima, wakati upigaji wa kura za wajumbe wa Electoral college zitakuja kufanyika wiki kadhaa huko baadaye. Kama wajumbe wa Electoral college (independently) huamia mshindi wa urais wa USA, kwanini mshindi ajulikane kabla ya kura zao kupigwa?

2. Hakuna mgombea yoyote wala chama chochote katika USA kinachoweza kupoteza hata dakika moja kuwafuata hao wajumbe wa Electoral college kikiomba kura zao. Yaani hakunaga kampeni za kuwashawishi hao wajumbe wa electoral college. Sio kwamba inakatazwa bali kimsingi hakuna mantiki ya kufanya hivyo.
Sasa Kama hao wajumbe ndio huamua nani awe rais, kwanini wagombea na vyama vyao wasitumie kila resource kuwashawishi hao wajumbe kuliko kutumia hizo resource kusaka popular votes ambazo 'haziamui' nani awe rais?


HITIMISHO LANGU.
Mchakato wa uchaguzi wa USA kumpata mshindi hauna tofauti yoyote ya kimsingi na chaguzi zingine za nchi nyingi za kidemokrasia ya moja kwa moja, tofauti chache zinazoelezwa zipo katika sayansi ya kutafsiri walio wengi ni kina nani au wamepatikanaje. Kwa mfano, katika uchaguzi wa Tz, mshindi wa kiti cha urais ni lazima apate zaidi ya 50% ya kura zote halali, na mshindi wa kiti cha ubunge au udiwani ni yule mwenye kura nyingi zaidi ya wagombea wengine (hata kama mshindi amepata chini ya 9% ya kura zote).
Donald Trump alipogombea na Bi. Hilary Clinton alipata kura chache za wanachi (Popular Votes" dhidi ya BI. Hilary lakini walipopigiwa kura za wajumbe 538 "electoral college votes" alipata kura 270+ akatangazwa kuwa rais wa nchi hiyo
 
hongera mwamba trump mazeee uko vizuriii...ulisha sema punda ako kwenye mteremkoo yaani wabeba boksi wote wanarudi tzz walime mpunga wa mamaa..
 
Ww n mpumbavu sn, inaonekana uelewa wako wa mambo n mdogo sn,

Huwez kum bully mtu kisa muundo wa herufi katika matamshi….

R na L n herufi tuu ktk muundo wa matamshi ya maneno, mostly huathiriwa na makuzi ya mtu, sababu za kikanda, sababu za kikabila n hata mazingira…

Bt believe me, am ten times smarter than you in every thing u ever learned so far….

Tht why unatoka kwny hoja za msingi unarukia muundo wa sentence ambao kimsing sio hoja iliopo mezani
Asante sana umemjibu vizuri sana unakitu wewe kichwani kwako barikiwa sana pia niongezee tu hapo inaweza kuwa typing error ubarikiwe sana
 
Back
Top Bottom