Ujue uchaguzi wa Marekani (USA) na jinsi rais wake anavyochaguliwa

Ujue uchaguzi wa Marekani (USA) na jinsi rais wake anavyochaguliwa

Nadhani mleta mada kuna nanna haufahamu uchaguzi wa USA kiuhalisia, ni kama umekaririshwa fulani au ameandika kinadharia mnoo hata kama alichokiandika kuna chembechembe za ukweli.

Kwa kifupi sana, mfumo wa uchaguzi wa USA kumpata raisi wake huamuliwa na wamerekani wenyewe kwa wingi wao na wala sio kweli kuwa mshindi huamuliwa na wajumbe wa Electoral college! Ukishinda Popular votes katika majimbo mengi na muhimu zaidi basi wewe tayari ni mshindi. Kura za wajumbe wa Electoral college ni hitimisho la mchakato wa kura za Popular vote za kila jimbo. Kwanini nasema hivyo, waza haya.

1. Uchaguzi wa USA rasmi (ambapo Popular votes hupigwa) utafanyika siku ya jumanne (5/November) na katika hali ya kawaida kufikia jioni ya siku ya jumatano (6/November) tayari mshindi wa kiti cha urais wa USA atakuwa tayari amejulikana kwa kila mtu dunia nzima, wakati upigaji wa kura za wajumbe wa Electoral college zitakuja kufanyika wiki kadhaa huko baadaye. Kama wajumbe wa Electoral college (independently) huamia mshindi wa urais wa USA, kwanini mshindi ajulikane kabla ya kura zao kupigwa?

2. Hakuna mgombea yoyote wala chama chochote katika USA kinachoweza kupoteza hata dakika moja kuwafuata hao wajumbe wa Electoral college kikiomba kura zao. Yaani hakunaga kampeni za kuwashawishi hao wajumbe wa electoral college. Sio kwamba inakatazwa bali kimsingi hakuna mantiki ya kufanya hivyo.
Sasa Kama hao wajumbe ndio huamua nani awe rais, kwanini wagombea na vyama vyao wasitumie kila resource kuwashawishi hao wajumbe kuliko kutumia hizo resource kusaka popular votes ambazo 'haziamui' nani awe rais?


HITIMISHO LANGU.
Mchakato wa uchaguzi wa USA kumpata mshindi hauna tofauti yoyote ya kimsingi na chaguzi zingine za nchi nyingi za kidemokrasia ya moja kwa moja, tofauti chache zinazoelezwa zipo katika sayansi ya kutafsiri walio wengi ni kina nani au wamepatikanaje. Kwa mfano, katika uchaguzi wa Tz, mshindi wa kiti cha urais ni lazima apate zaidi ya 50% ya kura zote halali, na mshindi wa kiti cha ubunge au udiwani ni yule mwenye kura nyingi zaidi ya wagombea wengine (hata kama mshindi amepata chini ya 9% ya kura zote).
Naomba ujibu hili swali: Je haijawahi kutokea USA mgombea akashinda popular votes lakini akaja kuanguka kwenye Electoral college votes na asitangazwe mshindi? badala yake akatangazwa mgombea mwengine aliyeshinda Electoral college votes? au akaanguka kwenye popular votes lakini akashinda kwenye Electoral college votes?
 
Nadhani mleta mada kuna nanna haufahamu uchaguzi wa USA kiuhalisia, ni kama umekaririshwa fulani au ameandika kinadharia mnoo hata kama alichokiandika kuna chembechembe za ukweli.

Kwa kifupi sana, mfumo wa uchaguzi wa USA kumpata raisi wake huamuliwa na wamerekani wenyewe kwa wingi wao na wala sio kweli kuwa mshindi huamuliwa na wajumbe wa Electoral college! Ukishinda Popular votes katika majimbo mengi na muhimu zaidi basi wewe tayari ni mshindi. Kura za wajumbe wa Electoral college ni hitimisho la mchakato wa kura za Popular vote za kila jimbo. Kwanini nasema hivyo, waza haya.

1. Uchaguzi wa USA rasmi (ambapo Popular votes hupigwa) utafanyika siku ya jumanne (5/November) na katika hali ya kawaida kufikia jioni ya siku ya jumatano (6/November) tayari mshindi wa kiti cha urais wa USA atakuwa tayari amejulikana kwa kila mtu dunia nzima, wakati upigaji wa kura za wajumbe wa Electoral college zitakuja kufanyika wiki kadhaa huko baadaye. Kama wajumbe wa Electoral college (independently) huamia mshindi wa urais wa USA, kwanini mshindi ajulikane kabla ya kura zao kupigwa?

2. Hakuna mgombea yoyote wala chama chochote katika USA kinachoweza kupoteza hata dakika moja kuwafuata hao wajumbe wa Electoral college kikiomba kura zao. Yaani hakunaga kampeni za kuwashawishi hao wajumbe wa electoral college. Sio kwamba inakatazwa bali kimsingi hakuna mantiki ya kufanya hivyo.
Sasa Kama hao wajumbe ndio huamua nani awe rais, kwanini wagombea na vyama vyao wasitumie kila resource kuwashawishi hao wajumbe kuliko kutumia hizo resource kusaka popular votes ambazo 'haziamui' nani awe rais?


HITIMISHO LANGU.
Mchakato wa uchaguzi wa USA kumpata mshindi hauna tofauti yoyote ya kimsingi na chaguzi zingine za nchi nyingi za kidemokrasia ya moja kwa moja, tofauti chache zinazoelezwa zipo katika sayansi ya kutafsiri walio wengi ni kina nani au wamepatikanaje. Kwa mfano, katika uchaguzi wa Tz, mshindi wa kiti cha urais ni lazima apate zaidi ya 50% ya kura zote halali, na mshindi wa kiti cha ubunge au udiwani ni yule mwenye kura nyingi zaidi ya wagombea wengine (hata kama mshindi amepata chini ya 9% ya kura zote).
Soma hapo chini, usipotoshe umma nimeona nikujibu moja kwa moja. hao ni viongozi katika history ya marekani walifeli kwenye kwenye popular vote lakini wakawa marais wa marekani kwa wingi wa Electoral College votes
  1. Rutherford B. Hayes (1876): In the highly contested election against Samuel J. Tilden, Hayes lost the popular vote but won the Electoral College by a single vote, 185 to 184. The election was marred by disputes over electoral returns in several Southern states, which led to a special electoral commission that ultimately awarded the disputed votes to Hayes.
  2. Benjamin Harrison (1888): Harrison lost the popular vote to incumbent President Grover Cleveland but won the Electoral College, 233 to 168. Harrison carried key swing states, despite Cleveland receiving more votes overall.
  3. George W. Bush (2000): In a very close election against Al Gore, Bush lost the popular vote by approximately 500,000 votes but won the Electoral College, 271 to 266. The outcome hinged on a contentious recount in Florida, which was ultimately decided by a Supreme Court ruling in Bush's favor.
 
Nijuavyo

Wabunge = 435(kutoka kwenye kila jimbo kulingana na idadi ya watu)
Maseneta = 100(wawili kutoka kwenye majimbo 50 bila kujali idadi ya watu)
Washington DC = 3(Sheria ya 23 ya mwaka 1961, inawapa Nafasi 3 za ma electors japo sio Jimbo)
Juma Wajumbe = 538.

Kila chama kabla ya uchaguzi kinachagua Wawakilishi(Electors)wake katika majimbo yao ya kiuchaguzi, baada ya hapo wanasubiri uchaguzi wa Popular votes.

Wananchi wakipiga kura kumchagua Raisi technically wanawachagua pia ma Electors wao kulingana na Chama.

Kwahio katika jimbo Mkiongoza kura za Raisi, basi na jimbo hilo mnabeba nafas zote za ma electors...

Yaani kwa mfano California, Democratic akishinda Popular votes,
Basi na wajumbe wake wote 54 wanakua wamepita kupitia kura za raisi.

Hivyo basi, inabidi uwashawishi wananchi wakupigie kura, ili ushinde jimbo flani, uchukue viti vyote vya ma Electors hatimaye ufikishe 270 ambapo unakua mshindi,

Hiihaijalishi idadi ya kura za wananchi umepigwa(hii inawezekana kwa kuchaguliwa na wananchi wengi kutoka majimbo machache eg California, Texas, Florida, NY) mwenzako akachaguliwa na wananchi wachache katika majimbo mengi ambapo jumla ya ma electors ikazidi ya wale wa majimbo ya watu wengi).

Kwa hio basi, hakikisha wananchi wengi wanakuchagua, LAKINI ZAIDI kutoka maeneo(majimbo) MENGI TOFAUTI,
Bila kusahau majimbo yenye wapiga kura wengi yana faida ya kupata Ma electors wengi kwa mkupuo.
Mfano ukishinda majimbo 12 yale yenye watu wachache, Mwenzako akishinda California tuu, amekupiga.
Hapa ndio nimeelewa sasa.
 
Nijuavyo

Wabunge = 435(kutoka kwenye kila jimbo kulingana na idadi ya watu)
Maseneta = 100(wawili kutoka kwenye majimbo 50 bila kujali idadi ya watu)
Washington DC = 3(Sheria ya 23 ya mwaka 1961, inawapa Nafasi 3 za ma electors japo sio Jimbo)
Juma Wajumbe = 538.

Kila chama kabla ya uchaguzi kinachagua Wawakilishi(Electors)wake katika majimbo yao ya kiuchaguzi, baada ya hapo wanasubiri uchaguzi wa Popular votes.

Wananchi wakipiga kura kumchagua Raisi technically wanawachagua pia ma Electors wao kulingana na Chama.

Kwahio katika jimbo Mkiongoza kura za Raisi, basi na jimbo hilo mnabeba nafas zote za ma electors...

Yaani kwa mfano California, Democratic akishinda Popular votes,
Basi na wajumbe wake wote 54 wanakua wamepita kupitia kura za raisi.

Hivyo basi, inabidi uwashawishi wananchi wakupigie kura, ili ushinde jimbo flani, uchukue viti vyote vya ma Electors hatimaye ufikishe 270 ambapo unakua mshindi,

Hiihaijalishi idadi ya kura za wananchi umepigwa(hii inawezekana kwa kuchaguliwa na wananchi wengi kutoka majimbo machache eg California, Texas, Florida, NY) mwenzako akachaguliwa na wananchi wachache katika majimbo mengi ambapo jumla ya ma electors ikazidi ya wale wa majimbo ya watu wengi).

Kwa hio basi, hakikisha wananchi wengi wanakuchagua, LAKINI ZAIDI kutoka maeneo(majimbo) MENGI TOFAUTI,
Bila kusahau majimbo yenye wapiga kura wengi yana faida ya kupata Ma electors wengi kwa mkupuo.
Mfano ukishinda majimbo 12 yale yenye watu wachache, Mwenzako akishinda California tuu, amekupiga.
Hata mimi mwenye E moja nimeelewa.
 
Nijuavyo

Wabunge = 435(kutoka kwenye kila jimbo kulingana na idadi ya watu)
Maseneta = 100(wawili kutoka kwenye majimbo 50 bila kujali idadi ya watu)
Washington DC = 3(Sheria ya 23 ya mwaka 1961, inawapa Nafasi 3 za ma electors japo sio Jimbo)
Juma Wajumbe = 538.

Kila chama kabla ya uchaguzi kinachagua Wawakilishi(Electors)wake katika majimbo yao ya kiuchaguzi, baada ya hapo wanasubiri uchaguzi wa Popular votes.

Wananchi wakipiga kura kumchagua Raisi technically wanawachagua pia ma Electors wao kulingana na Chama.

Kwahio katika jimbo Mkiongoza kura za Raisi, basi na jimbo hilo mnabeba nafas zote za ma electors...

Yaani kwa mfano California, Democratic akishinda Popular votes,
Basi na wajumbe wake wote 54 wanakua wamepita kupitia kura za raisi.

Hivyo basi, inabidi uwashawishi wananchi wakupigie kura, ili ushinde jimbo flani, uchukue viti vyote vya ma Electors hatimaye ufikishe 270 ambapo unakua mshindi,

Hiihaijalishi idadi ya kura za wananchi umepigwa(hii inawezekana kwa kuchaguliwa na wananchi wengi kutoka majimbo machache eg California, Texas, Florida, NY) mwenzako akachaguliwa na wananchi wachache katika majimbo mengi ambapo jumla ya ma electors ikazidi ya wale wa majimbo ya watu wengi).

Kwa hio basi, hakikisha wananchi wengi wanakuchagua, LAKINI ZAIDI kutoka maeneo(majimbo) MENGI TOFAUTI,
Bila kusahau majimbo yenye wapiga kura wengi yana faida ya kupata Ma electors wengi kwa mkupuo.
Mfano ukishinda majimbo 12 yale yenye watu wachache, Mwenzako akishinda California tuu, amekupiga.
Fafanua swali dogo tafadhali: Hao Electors ambao wewe ulishinda kwenye jimbo na Chama chako na wao ndio wakapita una uhakika gani siku ya wao Electors kupiga kura kama watakupigia wewe kura?

Kwa mfano na imetokea waziwazi karibuni jimbo ambalo Trump alishinda kwa kura Electors wake waziwazi alimuunga mkono Kamala baada kusikiliza sera za Kamala.
 
Nadhani mleta mada kuna nanna haufahamu uchaguzi wa USA kiuhalisia, ni kama umekaririshwa fulani au ameandika kinadharia mnoo hata kama alichokiandika kuna chembechembe za ukweli.

Kwa kifupi sana, mfumo wa uchaguzi wa USA kumpata raisi wake huamuliwa na wamerekani wenyewe kwa wingi wao na wala sio kweli kuwa mshindi huamuliwa na wajumbe wa Electoral college! Ukishinda Popular votes katika majimbo mengi na muhimu zaidi basi wewe tayari ni mshindi. Kura za wajumbe wa Electoral college ni hitimisho la mchakato wa kura za Popular vote za kila jimbo. Kwanini nasema hivyo, waza haya.

1. Uchaguzi wa USA rasmi (ambapo Popular votes hupigwa) utafanyika siku ya jumanne (5/November) na katika hali ya kawaida kufikia jioni ya siku ya jumatano (6/November) tayari mshindi wa kiti cha urais wa USA atakuwa tayari amejulikana kwa kila mtu dunia nzima, wakati upigaji wa kura za wajumbe wa Electoral college zitakuja kufanyika wiki kadhaa huko baadaye. Kama wajumbe wa Electoral college (independently) huamia mshindi wa urais wa USA, kwanini mshindi ajulikane kabla ya kura zao kupigwa?

2. Hakuna mgombea yoyote wala chama chochote katika USA kinachoweza kupoteza hata dakika moja kuwafuata hao wajumbe wa Electoral college kikiomba kura zao. Yaani hakunaga kampeni za kuwashawishi hao wajumbe wa electoral college. Sio kwamba inakatazwa bali kimsingi hakuna mantiki ya kufanya hivyo.
Sasa Kama hao wajumbe ndio huamua nani awe rais, kwanini wagombea na vyama vyao wasitumie kila resource kuwashawishi hao wajumbe kuliko kutumia hizo resource kusaka popular votes ambazo 'haziamui' nani awe rais?


HITIMISHO LANGU.
Mchakato wa uchaguzi wa USA kumpata mshindi hauna tofauti yoyote ya kimsingi na chaguzi zingine za nchi nyingi za kidemokrasia ya moja kwa moja, tofauti chache zinazoelezwa zipo katika sayansi ya kutafsiri walio wengi ni kina nani au wamepatikanaje. Kwa mfano, katika uchaguzi wa Tz, mshindi wa kiti cha urais ni lazima apate zaidi ya 50% ya kura zote halali, na mshindi wa kiti cha ubunge au udiwani ni yule mwenye kura nyingi zaidi ya wagombea wengine (hata kama mshindi amepata chini ya 9% ya kura zote).
Ww hujui kitu kaa kimya, hillary alimpita trump popular vote na baadae akaja kuangushwa kwny hiyo electoral college vote, hizo n kula zinazopigwa na wajumbe kutoka hayo majimbo na uwakilishi wao hutokana na idadi ya ushind chama kimepata kwny majimbo yote ya marekani…

Wananchi km wananchi hawaamui matokeo yote ya urahisi cz wawakilich wa majimbo ambao n 538 ndo uamua nani atayekuwa mshindi….

Hapo chini popular vote hillary clinton alimbwaga trump bt after hizo college vote ambazo zinapigwa na wajumbe trump akamuangusha hillary…

Inshort hizo kula za wawakilish 538 ndo zinaamua rais wa USA ECAC6904-1A65-463D-A916-2162610E57DF.jpeg
 
Ww hujui kitu kaa kimya, hillary alimpita trump popular vote na baadae akaja kuangushwa kwny hiyo electoral college vote, hizo n kula zinazopigwa na wajumbe kutoka hayo majimbo na uwakilishi wao hutokana na idadi ya ushind chama kimepata kwny majimbo yote ya marekani…

Wananchi km wananchi hawaamui matokeo yote ya urahisi cz wawakilich wa majimbo ambao n 538 ndo uamua nani atayekuwa mshindi….

Hapo chini popular vote hillary clinton alimbwaga trump bt after hizo elector college vote ambazo zinapigwa na wajumbe trump akamuangusha hillary…

Inshort hizo kula za wawakilish 538 ndo zinaamua rais wa USA
 

Attachments

  • B3E3CB16-6A86-4BB3-861A-BF1006AAEBEE.jpeg
    B3E3CB16-6A86-4BB3-861A-BF1006AAEBEE.jpeg
    260.2 KB · Views: 3
Uchaguzi wa rais wa nchini Marekani ni tofauti sana na chaguzi za nchi nyingine duniani

Kura wanazopiga wananchi hata mgombea wa urais akushindi kwa wingi wa kula hizo hazimuingizi moja kwa moja mshindi huyo madarakani

Kwa kawaida nchini Marekani (USA) uchaguzi wa kumchagua rais wa nchi hiyo na makamu wake hufanyika kila baada ya miaka minne na ni lazima iwe wiki ya kwanza ya mwezi Novemba ni lazima pia iwe Jumanne ya kwanza baada ya Jumatatu

Hivyo kwa kanuni yao hiyo uchaguzi wa mwaka huu 2024 itafanyika Novemba 5 Jumanne ya kwanza ya baada ya Jumatatu

Katika uchaguzi wa mwaka huu mpambano mkali ni kati ya Makamu wa rais wa chama cha Democratic BI. Kamala Harris (60) na mwamba Bw. Donald Trump (78) wa chama cha Republican

Baada ya muda wa kampeni kwisha wananchi wote wa United States of America (USA) hupiga kura hata waliopo nje ya nchi hiyo wenyewe wanaita "Popular Votes or Simple Majority"

Lakini matokeo ya kura hizi za wananchi (Popular Votes) haziwezi kumuingiza rais na makamu wake Ikulu ya kifahari yenye jengo lenye shepu ya yai la white house

Baadala yake Rais wa Marekani na makamu wake wanaingizwa madarakani na wajumbe wapatao 538 kutoka kwenye majimbo 50 yanayounda nchi hiyo tajiri kiuchumi na yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani

Iko hivi baada ya wananchi wote kupiga kura (Popular Votes) na kura hizo kuhesabiwa matokeo ya kura hizo yanasaidia kuonyesha jimbo lipi linamuunga mkono mgombea wa chama kipi na kila jimbo kati ya majimbo hayo hutoa mgombea mmoja au zaidi ya mmoja kwa baadhi ya majimbo makubwa na kupatikani wajumbe hao 538

Wajumbe hao 538 ndio watakao piga kura ya "electoral college votes" kuchagua rais wa Marekani na mgombea atakayepata kura 270+ ndiye atakuwa mshindi wa urai wa nchi hiyo ambapo ni zaidi ya nusu ya kura kutoka kwa wajumbe hao 538 kutoka kwenye majimbo 50 ya USA

Baada ya kura hizo za electoral Votes kupigwa na kutoa mshindi zitahesabiwa na kuidhinishwa na bunge la Congress la nchi hiyo ambalo ni bunge la "Mabwanyeye" (Majiri)

Bunge hilo la Congress likishamuidhinisha matokeo hayo rais mpya wa nchi hiyo ataapishwa Januari mwakani tayari kwa kuanza kazi ya kutumikia wanachi wa Marekani

Katiba ya nchi hiyo inatoa muda huo mrefu wa rais aliyechaguliwa kuanza kazi ili kupisha kama kuna mapingamizi ya mgombea mmoja kutoridhika na matokeo hayo kwenda mahakamini kupinga matokeo hayo

Hivyo ndivyo rais wa Marekani na makamu wake wanavopakina

Comasava.
Kwa style hii atapita rais ambaye matajiri wanamtaka na sio wananchi
Maana wamerahisisha ni rahisi ku-lobby watu 538 kuliko rais milioni 300. Kama ndio hivi Trump atapita kwenye urais mwaka huu 2024.
 
Best of all lucky to Donald Trump on Tuesday's November 2024 US general election.
 
I know....ila popular vote, at least for the last 30 years or so is dominated by Democrats.
Ndiyo, ni kweli.

Ila hiyo inatokana na majimbo mawili au matatu yenye idadi kubwa ya watu.

California, New York, na Illinois.

CA na NY tu peke yake zinaweza ku skew national popular votes.

Na ndo maana founding fathers waliweka mfumo wa ECV.

Btw, George W. Bush alishinda popular votes kwenye re-election.
 
Ww hujui kitu kaa kimya, hillary alimpita trump popular vote na baadae akaja kuangushwa kwny hiyo electoral college vote, hizo n kula zinazopigwa na wajumbe kutoka hayo majimbo na uwakilishi wao hutokana na idadi ya ushind chama kimepata kwny majimbo yote ya marekani…

Wananchi km wananchi hawaamui matokeo yote ya urahisi cz wawakilich wa majimbo ambao n 538 ndo uamua nani atayekuwa mshindi….

Hapo chini popular vote hillary clinton alimbwaga trump bt after hizo college vote ambazo zinapigwa na wajumbe trump akamuangusha hillary…

Inshort hizo kula za wawakilish 538 ndo zinaamua rais wa USA View attachment 3144173
Dah!

Watu mna vichwa vigumu sana.

Mshindi wa uchaguzi wa urais Marekani hashindi kwa kutumia kura za jumla za nchi nzima.

Anashinda kwa kupata idadi ya kura za wajumbe wa EC.

Mgombea akishinda popular votes za jimbo, ndo wajumbe wa EC wa hilo jimbo wanakuwa wa kwake.

Wananchi na kura zao ndo huamua. Chaguzi za Marekani kwa ngazi ya urais hufanyika kimajimbo. Siyo kitaifa.

Hivi ugumu wa kuelewa hilo uko wapi?
 
Uchaguzi wa rais wa nchini Marekani ni tofauti sana na chaguzi za nchi nyingine duniani

Kura wanazopiga wananchi hata mgombea wa urais akushindi kwa wingi wa kula hizo hazimuingizi moja kwa moja mshindi huyo madarakani

Kwa kawaida nchini Marekani (USA) uchaguzi wa kumchagua rais wa nchi hiyo na makamu wake hufanyika kila baada ya miaka minne na ni lazima iwe wiki ya kwanza ya mwezi Novemba ni lazima pia iwe Jumanne ya kwanza baada ya Jumatatu

Hivyo kwa kanuni yao hiyo uchaguzi wa mwaka huu 2024 itafanyika Novemba 5 Jumanne ya kwanza ya baada ya Jumatatu

Katika uchaguzi wa mwaka huu mpambano mkali ni kati ya Makamu wa rais wa chama cha Democratic BI. Kamala Harris (60) na mwamba Bw. Donald Trump (78) wa chama cha Republican

Baada ya muda wa kampeni kwisha wananchi wote wa United States of America (USA) hupiga kura hata waliopo nje ya nchi hiyo wenyewe wanaita "Popular Votes or Simple Majority"

Lakini matokeo ya kura hizi za wananchi (Popular Votes) haziwezi kumuingiza rais na makamu wake Ikulu ya kifahari yenye jengo lenye shepu ya yai la white house

Baadala yake Rais wa Marekani na makamu wake wanaingizwa madarakani na wajumbe wapatao 538 kutoka kwenye majimbo 50 yanayounda nchi hiyo tajiri kiuchumi na yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani

Iko hivi baada ya wananchi wote kupiga kura (Popular Votes) na kura hizo kuhesabiwa matokeo ya kura hizo yanasaidia kuonyesha jimbo lipi linamuunga mkono mgombea wa chama kipi na kila jimbo kati ya majimbo hayo hutoa mgombea mmoja au zaidi ya mmoja kwa baadhi ya majimbo makubwa na kupatikani wajumbe hao 538

Wajumbe hao 538 ndio watakao piga kura ya "electoral college votes" kuchagua rais wa Marekani na mgombea atakayepata kura 270+ ndiye atakuwa mshindi wa urai wa nchi hiyo ambapo ni zaidi ya nusu ya kura kutoka kwa wajumbe hao 538 kutoka kwenye majimbo 50 ya USA

Baada ya kura hizo za electoral Votes kupigwa na kutoa mshindi zitahesabiwa na kuidhinishwa na bunge la Congress la nchi hiyo ambalo ni bunge la "Mabwanyeye" (Majiri)

Bunge hilo la Congress likishamuidhinisha matokeo hayo rais mpya wa nchi hiyo ataapishwa Januari mwakani tayari kwa kuanza kazi ya kutumikia wanachi wa Marekani

Katiba ya nchi hiyo inatoa muda huo mrefu wa rais aliyechaguliwa kuanza kazi ili kupisha kama kuna mapingamizi ya mgombea mmoja kutoridhika na matokeo hayo kwenda mahakamini kupinga matokeo hayo

Hivyo ndivyo rais wa Marekani na makamu wake wanavopakina

Comasava.
It's all about 💸💲 bro. Wale wanaojipanga foleni, wakisimama, wakipata kiu, njaa, muda kupoteza, it's a just a show!
True democracy my ass..🤬🤬🤬
 
Kwa style hii atapita rais ambaye matajiri wanamtaka na sio wananchi
Maana wamerahisisha ni rahisi ku-lobby watu 538 kuliko rais milioni 300. Kama ndio hivi Trump atapita kwenye urais mwaka huu 2024.
Hakuna hiyo.

Wananchi wa majimbo ndo wanaamua.

Ashindaye popular votes za jimbo, electors wa hilo jimbo ndo wanakuwa wa kwake na Disemba watapokutana na electors wa majimbo mengine, ndo wanauidhinisha ushindi.
 
Hakuna hiyo.

Wananchi wa majimbo ndo wanaamua.

Ashindaye popular votes za jimbo, electors wa hilo jimbo ndo wanakuwa wa kwake na Disemba watapokutana na electors wa majimbo mengine, ndo wanauidhinisha ushindi.
Kuna haja gani electors kupiga kura kama popular votes ishaonesha elector yupo upande gani ? Maana ni kuhesabu electors wa democrats na repulicans ni wangapi na kumtangaza rais au mimi sijaelewa ?
 
Kuna haja gani electors kupiga kura kama popular votes ishaonesha elector yupo upande gani ? Maana ni kuhesabu electors wa democrats na repulicans ni wangapi na kumtangaza rais au mimi sijaelewa ?
Mambo mengine ni formalities tu.
 
MSIDANGANYWE NA MTU YOYOTE URAIS WA MAREKANI UNAAMULIWA NA WAJUMBE AMBAO NI WAWAKILISHI WA MAJIMBO YOTE YA UCHAGUZI

Hii inamaana kura za wananchi (popular vote) pekeyao haziamui nani atakuwa rais wa marekani bali (elector college vote) kula za wajumbe 538 kutoka majimbo yote ya marekani ndo huamua…

Rejea uchaguzi wa 2016 hirrary alimbwaga Trump kwny kura za walala hoi ( popular vote) bt kura za wajumbe au wawakilish wa majimbo (elector vote) walimpa trump so trump akawa rais…

Kwa maana hiyo, kibibi kizee cha torino hata kama atapata kula zote za walala hoi, bado Vibopa 358 ndo wataamua nani atakua rais.

Kuvumbi leoooo……

Kura chuma hicho…
Dah!

Watu mna vichwa vigumu sana.

Mshindi wa uchaguzi wa urais Marekani hashindi kwa kutumia kura za jumla za nchi nzima.

Anashinda kwa kupata idadi ya kura za wajumbe wa EC.

Mgombea akishinda popular votes za jimbo, ndo wajumbe wa EC wa hilo jimbo wanakuwa wa kwake.

Wananchi na kura zao ndo huamua. Chaguzi za Marekani kwa ngazi ya urais hufanyika kimajimbo. Siyo kitaifa.

Hivi ugumu wa kuelewa hilo uko
Ww ndo mgumu kuelewa,,,,,
 
MSIDANGANYWE NA MTU YOYOTE URAIS WA MAREKANI UNAAMULIWA NA WAJUMBE AMBAO NI WAWAKILISHI WA MAJIMBO YOTE YA UCHAGUZI

Hii inamaana kura za wananchi (popular vote) pekeyao haziamui nani atakuwa rais wa marekani bali (elector college vote) kula za wajumbe 538 kutoka majimbo yote ya marekani ndo huamua…

Rejea uchaguzi wa 2016 hirrary alimbwaga Trump kwny kura za walala hoi ( popular vote) bt kura za wajumbe au wawakilish wa majimbo (elector vote) walimpa trump so trump akawa rais…

Kwa maana hiyo, kibibi kizee cha torino hata kama atapata kula zote za walala hoi, bado Vibopa 358 ndo wataamua nani atakua rais.

Kuvumbi leoooo……

Kura chuma hicho…

Ww ndo mgumu kuelewa,,,,,
🤣

Hivi darasani ulikuwa unapata alama gani wewe?
 
Back
Top Bottom