Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

No time for that

Karibu 92kj
Mmchanganie...?
Hivi baadhi yenu huwa hamfunzwi kupambana wenyewe?
Ikitokea hata bodaboda kakuzingua,unataka mmchanganie,aisee eti aje kambini,kwanini wewe usimfuate kazini kwake,ukute yupo na wadau wake,uone kama utafua dafu?
Kwa zama za drones,kupambana kimakundi,mtapukutika sana,ombeni vita isitokee,muwe mnaishia DRC na Mozambique,maana ndo maeneo mnayoenda,mkiambiwa Somalia,mnanywea.Ingekua mimi ni CDF,ningekata bogi moja,litue pale Gaza,kuwasaidia Wausrael... muone moto wa wanamgambo wanaitwa Hamas..,mchangàmke kidogo.
 
Sikatai kuhusu wewe kukulia kotaz

Ninachokijua ukiwa kotaz huwezi kuyajua yanayofanyika general office au mp section
 
Pole ndugu yangu

Hakuna raia anaechangiwa na askari

Kuhusu mission askari wetu huenda Kila mahali msaada ukihitajika.
 
Ngara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi hawafahamu kuwa jeshi ni mali yao
 
Tena wanajeshi wana nidhamu sana maana ukienda kinyume na taratibu na sheria za jeshi lazima upewe adhabu,ndomaana wale wanaozingua wanaogopa sana kuripotiwa au wakubwa kujua maana kuna adhabu siyo ya kitoto
 
Ndo umeandika nini sasa embu tulia kwanza acha mihemko.
 
Word...
 
Hahaha kwamba wakiambiwa somalia wanaywea? Hiv hizi story inakuaje mpaka mnafika huku mkuu. Kwamba CDF anakata bog tu shwaaaaa aiseee
 
Wanajeshi wengi ugomvi wao chanzo
Mademu tu,na sehemu za starehe

Ova
 
Hahaha kwamba wakiambiwa somalia wanaywea? Hiv hizi story inakuaje mpaka mnafika huku mkuu. Kwamba CDF anakata bog tu shwaaaaa aiseee
Wanajeshi wa tz asilimia kubwa wana relax tu hawakutani na mbilingembilinge

Ova
 
Si mnasemaga wanajeshi ni watu peace,mnawapenda imekuaje tena leo?[emoji1]

Wanajeshi endeleeni kuwapasua hao raia ili wajue vyombo vya dola sio vya kuchezewa kifalaguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…