Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Nadhani ingekuwa busara kama ange weka full story lakini hapo tutamuhukumu mwanajeshi bila kujua upande wa pili ilikuwaje... Mimi sidhani kama huyo mwanajeshi ni punguani aanze kumpiga TU mtu bila sababu...huyu Kuna kitu kakikoroga...haki vile​
Pamoja na hayo bado hawana mamlaka yakuchukua sheria mkononi.Vyombo vyakushughulika na makosa ya raia vipo.Unaweza ukajichukulia sheria mkononi kwa mtu ambaye humjui alafu akakudhalilisha na jeshi lako.Tutii sheria.Kila mtu aheshimu mipaka yake.
 
Serikali itakubaliana na Mimi kuwa maaskari wengi wa JWTZ Ni waonevu
Tatizo ni kushindwa kujisimamia tu ,ukijisimimamia hamna wa kukugusa , hao mafala mnawapa nafasi na unyonge wenu .
Hamna sheria inayoruhusu mwanajeshi kukugusa ,unless labda uwe umewafanyia vurugu .
Tofauti na hapo usiruhusu kuguswa na mpumbavu yeyote .
Kama anaona umevunja sheria mwambie akashitaki police
 
Wajeda si washazoea kuja mob

Ova
 
Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao.
Chuga Matejoo walikomesha askari wanaojichukulia sheria mikononi, walimkamata mmoja huko migombani baada ya kuleta shida kwa raia kisa amemkula demu wake, huyo askari alizikwa hatunaye tena
 
Wanaacha kushughulika na mambo makubwa yanayoangamiza taifa, wanakamata " MITUMBA"mitaani, M23 piteni na huku!!!!
 
Tanzania wale darasa la saba na form 4 feliaz ndio wanakimbilia jeshini kwa asilimia bigi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…