Ujumbe huu wa Dkt Tulia una maana gani na umemlenga nani?

Anamaanisha siku UMAUTI utakapomfika na ALIJILENGA YEYE MWENYEWE.
 
Huyu uwa anatweet Ujinga ujinga tu, kujikweza kwingi, ni Moja kati ya Viongozi washamba sana,
Inawezekana vipi mtu mshamba akaweza kushika nafasi ya unaibu mwanasheria mkuu wa serikali,naibu Speaker, Speaker na Rais wa IPU?wewe mwerevu na ujinga wako umeshika nafasi ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…