Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Umevuka uzalendo upo level ya "uzarendo"!Mimi ni mzalendo na msema kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umevuka uzalendo upo level ya "uzarendo"!Mimi ni mzalendo na msema kweli.
Umeona mtoto wa kiongozi Gani wa juu ni CHAWA kama wewe ulivyo?Sitafuti uteuzi
Sitafuti uteuzi
Anatafuta bwana huyo.Huyu naye kujipost kama mmama wa uswazi
Ungekuwa ni mzalendo ungekemea ufisadi unaofanywa na watendaji wa serikali ya CCM. Nipe bandiko lako moja tu la kukemea ufisadiMimi ni mzalendo na msema kweli.
Anamaanisha siku UMAUTI utakapomfika na ALIJILENGA YEYE MWENYEWE.Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Dkt Tulia Ackson Mwansasu Mbunge wa Mbeya Mjini na Spaeker wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ambaye pia ndiye Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani na Mwafrika wa Kwanza mwanamke kushika nafasi hiyo tangia kuumbwa kwa ulimwengu na kuanzishwa kwa umoja huo.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter maarufu kama X ameandika ujumbe ambao umewaweka njia panda wasomaji wengi.ambapo kila mmoja katika kutoa maoni yake amejikuta akitoa maoni yake tofauti tofauti na halijapatikana jibu la moja kwa moja ya nini Mheshimiwa Speaker alimaanisha.
Maana ni ujumbe ambao hauna maelezo ya ziada kwamba unaweza kuunganisha dot na kupata maana wala huwezi ukatolea maelezo juu ya alichomaanisha. Maana wengi wamebaki gizani. Ujumbe wenyewe ni huu hapa 👎View attachment 3176488
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hata JOSEPH KASHEKU aliiashia std 7 lkn ni DR.Uwe na heshima na adabu.Dkt Tulia usimtaje kama unavyotaja majina ya wahuni wenzako .Fahamu ya kuwa Dkt Tulia ni Mbunge ,Ni Speaker na ni Rais wa IPU.
Dkt wa nini.Hata JOSEPH KASHEKU aliiashia std 7 lkn ni DR.
Ufisadi wa niniUngekuwa ni mzalendo ungekemea ufisadi unaofanywa na watendaji wa serikali ya CCM. Nipe bandiko lako moja tu la kukemea ufisadi
Ufisadi wa niniUngekuwa ni mzalendo ungekemea ufisadi unaofanywa na watendaji wa serikali ya CCM. Nipe bandiko lako moja tu la kukemea ufisadi
Kama wewe huna mume na unatafuta .usifikirie hata yeye hana.Anatafuta bwana huyo.
Wote wawili siyo MATABIBU.Dkt wa nini.
Inawezekana vipi mtu mshamba akaweza kushika nafasi ya unaibu mwanasheria mkuu wa serikali,naibu Speaker, Speaker na Rais wa IPU?wewe mwerevu na ujinga wako umeshika nafasi ipi?Huyu uwa anatweet Ujinga ujinga tu, kujikweza kwingi, ni Moja kati ya Viongozi washamba sana,
Hizi CAG reports zinazotoka kila mwaka zinaelezea ufisadi mkubwa serikalini. Je umeshawahi kukemea?Ufisadi wa nini
Wewe si ndio umeleta swali la iko siku? Na ukauliza maana yake?😅😅😅Acha ujinga wako hapa wewe.kwani wewe hutakufa?
Mimi nina wake watatu sasa natafuta shoga na kura imekuangukia wewe jiandae naleta mahari kwa baba yako. Sawa sawa. Siyo unawapa wajinga wanakuchezea tu mimi nakuoa kabisa.Kama wewe huna mume na unatafuta .usifikirie hata yeye hana.
Nilishaandika sana mpaka watu wakabubujikwa na machozi ya furaha.Hizi CAG reports zinazotoka kila mwaka zinaelezea ufisadi mkubwa serikalini. Je umeshawahi kukemea?
Hayo ni maneno ya mkosaji tu.Ubunge wenyewe wa kusaidiwa na Jiwe, then atufikirishe kwa lipi?