Ujumbe kwa waoaji: Kuna tofauti ndogo sana kati ya haya makundi 4 ya wanawake

Ujumbe kwa waoaji: Kuna tofauti ndogo sana kati ya haya makundi 4 ya wanawake

Bikra ni Imani tu ambayo watu wengi wamejijengea kwenye vichwa vyao.

Ni ngumu kujihakikishia kwa 100% kwamba wewe ni wa kwanza kumuingilia mtu fulani aliyepevuka.
 
SIKUPINGI MKUU😂
haiwezekani nioee used,
Wakaolewe na waliowatoa bana mbona simple
#ke anapanga aolewe na mwenye pesa
# Me mwenye pesa anataka kitu pure, ke ana mind, why?.
 
😅😅😅
Uzi wa moto sana naona Wanawake wa humu Wanapita kimya kimya, Kimsingi Mwanamke ambaye hajaolewa alafu yuko loose ni aibu sana
 
Baba yako aliwezaje?
Achana na huyu mpuuzi anakujaga na statements za ajabu ajabu kutafuta tu attention,sababu angekuwa anafikiria amezungukwa na hao hao anaowasema karibu yake angekua na adabu kidogo, ni attention tu inatafutwa very sad individual...
 
Unapata unaestahili, malaya ni malaya tu hata ukioa akiwa na bikra anaweza akabadilikia ndani ya ndoa.
Kama kuoa malaya ni kawaida kwa nini wachumba zenu huwa mnafuatilia past relationships zao?

Kama malaya ni malaya kwa nini msiende Kimboka au Uwanja wa fisi kuchumbia muwaoe?

Kwa nini kiufundi sana huwa mnawauliza bodycount mamanzi wenu kabla ya kufanya nao maisha, kwa nini muwachunguze kabla?

Mbona wakiwacheat huwa mnakuwa wakali si malaya ni malaya tu?

Na ndio maana wanawake wengi wasio bikira wanawadanganya kuhusu wanaume waliotoka nao ili msiwahukumu sana kwamba ni malaya wazoefu.

Hakuna mwanaume anayependa mwanamke malaya (asiye bikra) msijitoe ufahamu hapa. Mwanaume yoyote anataka purity kutoka kwa mwanamke wake

Wanawake wasio bikira wanawachora tu humu na kuwashangaa mnavyowatetea

Cc Anita Makirita
 
Kama kuoa malaya ni kawaida kwa nini wachumba zenu huwa mnafuatilia past relationships zao?

Kama malaya ni malaya kwa nini msiende Kimboka au Uwanja wa fisi kuchumbia muwaoe?

Kwa nini kiufundi sana huwa mnawauliza bodycount mamanzi wenu kabla ya kufanya nao maisha, kwa nini muwachunguze kabla?

Mbona wakiwacheat huwa mnakuwa wakali si malaya ni malaya tu?

Na ndio maana wanawake wengi wasio bikira wanawadanganya kuhusu wanaume waliotoka nao ili msiwahumumu sana kwamna ni malaya wazoefu.

Hakuna mwanaume anayependa mwanamke malaya (asiye bikra) msijitoe ufahamu hapa. Mwanaume yoyote anataka purity kutoka kwa mwanamke wake

Wanawake wasio bikira wanawachora tu humu na kuwashangaa mnavyowatetea
Sawa mkuu sina la ziada tafuta bikra oa.
 
Back
Top Bottom