Ujumbe muhimu kwenu mnaochelewa kutafuta watoto wakati uwezo mnao

Ujumbe muhimu kwenu mnaochelewa kutafuta watoto wakati uwezo mnao

Tusipangiane maisha
Mpangaji ni Mungu
Kuna watu huo uwezo na uhitaji upo na hap watoto hawajapatikana

Kuna watu wanakirimiwa umri hadi miaka 70,80 nk
 
Kwa waajiriwa ni heri utumie mshahara kusomesha kuliko pensheni

Kwa wafanyabiashara ni heri unapoanza kusogelea uzee uwe na watoto watu wazima wanaoweza kukusaidia na kusimamia biashara
Mkuu wazazi wengn ni shida hasa ukute ma bro zako hawajaoa ni kimbembe aisee Hadi unajiuliza kwani matumizi watakuwa wananipa wao, yaani wanakuchulia Kama mdogo kiumri na kiakili pia.
 
Wito wangu, kama uwezo upo jitajidi kupata mtoto mapema, unapofika 50 at least awe mtu mzima

Kwanini miaka 50 ? ni umri inaobidi uwe na mtoto anaeweza kujitegemea, anaeweza kuwa na upevu wa akili ya kupewa majukumu ya kifamilia kwa wadogo zake au biashara (kama zipo), kupunguza gharama za kulea watoto wengine ikiwa yeye kaajiriwa au ana biashara zake, Ni umri ambao wanaume wakifikia ni 50/50 uhai na kifo hasa kwa magonjwa ya uzeeni hivyo ni vema uwe na watoto wataoweza kujitegemea, n.k.

  • ukipata mtoto ukiwa na 22, atakuwa na miaka 28 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 23, atakuwa na miaka 27 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 24, atakuwa na miaka 26 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 25, atakuwa na miaka 25 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 26, atakuwa na miaka 24 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 27, atakuwa na miaka 23 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 28, atakuwa na miaka 22 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 29, atakuwa na miaka 21 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 30, atakuwa na miaka 20 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 31, atakuwa na miaka 19 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 32, atakuwa na miaka 18 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 33, atakuwa na miaka 17 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 34, atakuwa na miaka 16 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 35, atakuwa na miaka 15 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 36, atakuwa na miaka 14 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 37, atakuwa na miaka 13 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 38, atakuwa na miaka 12 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 39, atakuwa na miaka 11 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 40, atakuwa na miaka 10 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 41, atakuwa na miaka 9 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 42, atakuwa na miaka 8 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 43, atakuwa na miaka 7 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 44, atakuwa na miaka 6 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 45, atakuwa na miaka 5 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 46, atakuwa na miaka 4 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 47, atakuwa na miaka 3 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 48, atakuwa na miaka 2 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 49, atakuwa na mwaka 1 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 50, atakuwa bado hajazaliwa
Uwahi kuzaa au uchelewe kuzaa, jambo Moja ninalojua ni kwamba watoto sio Mali ya Mtu yeyote! Uwepo wataishi, usiwepo wataishi!
 
Wito wangu, kama uwezo upo jitajidi kupata mtoto mapema, unapofika 50 at least awe mtu mzima

Kwanini miaka 50 ? ni umri inaobidi uwe na mtoto anaeweza kujitegemea, anaeweza kuwa na upevu wa akili ya kupewa majukumu ya kifamilia kwa wadogo zake au biashara (kama zipo), kupunguza gharama za kulea watoto wengine ikiwa yeye kaajiriwa au ana biashara zake, Ni umri ambao wanaume wakifikia ni 50/50 uhai na kifo hasa kwa magonjwa ya uzeeni hivyo ni vema uwe na watoto wataoweza kujitegemea, n.k.

  • ukipata mtoto ukiwa na 22, atakuwa na miaka 28 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 23, atakuwa na miaka 27 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 24, atakuwa na miaka 26 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 25, atakuwa na miaka 25 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 26, atakuwa na miaka 24 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 27, atakuwa na miaka 23 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 28, atakuwa na miaka 22 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 29, atakuwa na miaka 21 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 30, atakuwa na miaka 20 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 31, atakuwa na miaka 19 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 32, atakuwa na miaka 18 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 33, atakuwa na miaka 17 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 34, atakuwa na miaka 16 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 35, atakuwa na miaka 15 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 36, atakuwa na miaka 14 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 37, atakuwa na miaka 13 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 38, atakuwa na miaka 12 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 39, atakuwa na miaka 11 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 40, atakuwa na miaka 10 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 41, atakuwa na miaka 9 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 42, atakuwa na miaka 8 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 43, atakuwa na miaka 7 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 44, atakuwa na miaka 6 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 45, atakuwa na miaka 5 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 46, atakuwa na miaka 4 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 47, atakuwa na miaka 3 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 48, atakuwa na miaka 2 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 49, atakuwa na mwaka 1 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 50, atakuwa bado hajazaliwa
Kuna jirani yangu alipata mtoto wa kiume akiwa na miaka 19 ila sasa hivi mwanaye ni upinde kwahiyo usikariri kijana
 
Back
Top Bottom