Ujumbe muhimu kwenu mnaochelewa kutafuta watoto wakati uwezo mnao

Ujumbe muhimu kwenu mnaochelewa kutafuta watoto wakati uwezo mnao

Imeandikwa wapi ?

We tafuta pesa ...

Mengi alipata vitoto viwili uzeeni na ameviachia utajiri wa mpaka kujitegemea kwako ..

Hizo ni kanuni za sisi maskini...

Kama huwezi hata kujilisha usitafute mtoto..
Mosi, Mengi alikuwa na watoto wengine akiwa kijana kabla ya uzee

Pili, Ni kituko kujifananisha na Marehemu Mengi,, Mtanzania wa asili pekee alieweza kupenya top 20 orodha ya matajiri iliyojaa wahindi na waarabu
 
Wito wangu, kama uwezo upo jitajidi kupata mtoto mapema, unapofika 50 at least awe mtu mzima

Kwanini miaka 50 ? ni umri inaobidi uwe na mtoto anaeweza kujitegemea, anaeweza kuwa na upevu wa akili ya kupewa majukumu ya kifamilia kwa wadogo zake au biashara (kama zipo), kupunguza gharama za kulea watoto wengine ikiwa yeye kaajiriwa au ana biashara zake, Ni umri ambao wanaume wakifikia ni 50/50 uhai na kifo hasa kwa magonjwa ya uzeeni hivyo ni vema uwe na watoto wataoweza kujitegemea, n.k.

  • ukipata mtoto ukiwa na 22, atakuwa na miaka 28 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 23, atakuwa na miaka 27 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 24, atakuwa na miaka 26 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 25, atakuwa na miaka 25 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 26, atakuwa na miaka 24 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 27, atakuwa na miaka 23 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 28, atakuwa na miaka 22 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 29, atakuwa na miaka 21 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 30, atakuwa na miaka 20 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 31, atakuwa na miaka 19 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 32, atakuwa na miaka 18 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 33, atakuwa na miaka 17 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 34, atakuwa na miaka 16 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 35, atakuwa na miaka 15 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 36, atakuwa na miaka 14 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 37, atakuwa na miaka 13 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 38, atakuwa na miaka 12 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 39, atakuwa na miaka 11 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 40, atakuwa na miaka 10 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 41, atakuwa na miaka 9 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 42, atakuwa na miaka 8 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 43, atakuwa na miaka 7 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 44, atakuwa na miaka 6 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 45, atakuwa na miaka 5 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 46, atakuwa na miaka 4 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 47, atakuwa na miaka 3 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 48, atakuwa na miaka 2 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 49, atakuwa na miaka 1 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 50, atakuwa na miaka 0
kuna mimi hata sina mpango😂😂😂
 
Ni upi umri sahihi Kwa mtoto kujitegemea?. Nikijibiwa hapa naweza kuendelea na discussion
angalau afike 22, ni umri ambao vijana wengi (sio wote) wana uwezo wa kujitegemea kivyao, kuoa na kuyamudu majukumu ya kifamilia.
 
Unaza mtoto una miaka 22 ila unakufa na kuwaacha baada ya miaka 9 , na mwenzako anazaa akiwa na miaka 50 na anakufa akiwa na miaka 70 mtoto miaka 20.

Mungu hapangiwi maisha
 
Wito wangu, kama uwezo upo jitajidi kupata mtoto mapema, unapofika 50 at least awe mtu mzima

Kwanini miaka 50 ? ni umri inaobidi uwe na mtoto anaeweza kujitegemea, anaeweza kuwa na upevu wa akili ya kupewa majukumu ya kifamilia kwa wadogo zake au biashara (kama zipo), kupunguza gharama za kulea watoto wengine ikiwa yeye kaajiriwa au ana biashara zake, Ni umri ambao wanaume wakifikia ni 50/50 uhai na kifo hasa kwa magonjwa ya uzeeni hivyo ni vema uwe na watoto wataoweza kujitegemea, n.k.

  • ukipata mtoto ukiwa na 22, atakuwa na miaka 28 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 23, atakuwa na miaka 27 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 24, atakuwa na miaka 26 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 25, atakuwa na miaka 25 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 26, atakuwa na miaka 24 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 27, atakuwa na miaka 23 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 28, atakuwa na miaka 22 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 29, atakuwa na miaka 21 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 30, atakuwa na miaka 20 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 31, atakuwa na miaka 19 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 32, atakuwa na miaka 18 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 33, atakuwa na miaka 17 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 34, atakuwa na miaka 16 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 35, atakuwa na miaka 15 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 36, atakuwa na miaka 14 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 37, atakuwa na miaka 13 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 38, atakuwa na miaka 12 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 39, atakuwa na miaka 11 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 40, atakuwa na miaka 10 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 41, atakuwa na miaka 9 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 42, atakuwa na miaka 8 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 43, atakuwa na miaka 7 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 44, atakuwa na miaka 6 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 45, atakuwa na miaka 5 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 46, atakuwa na miaka 4 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 47, atakuwa na miaka 3 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 48, atakuwa na miaka 2 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 49, atakuwa na mwaka 1 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 50, atakuwa bado hajazaliwa
Aisee balaaa kwa hiyo sie hili boti la watoto ndio limeshatuacha
 
Hakuna formula ila kama huna maisha usikimbilie kuzaa watoto watateseka na wewe mwenyewe kushindwa kujipanga sababu tayari una majukumu
Hakuna tatizo lolote kupata mtoto ukiwa 40yrs, labda kama unazaa ili uje kulelewa na wanao which is 15th Century mentality
 
Wengine sisi ni vibamia ngoja tuwaache wazee wa kupeleka moto muendelee tusiwaingilie kwenye mambo yenu...
 
Nikifika 50 mwanangu wa pili atakua na 25 na wa tatu atakua na 27

Na hapo kuna soldier wangu angekua na 30 wakat nina 50 ...

Mungu amlaze mahala pema my first born.......
 
Kwa nilipofikia nishaanza kuahirisha kuzaa kwani kuna shido? 🤣🤣🤣
Wanaume wenyewe wa kuzaa nao hawa kataa ndoa wanaogopa kuandamana au kina michawa pro max Luca na mwenzie tlaatlaah 😹😹😹

Bora mayai yangu nilie chips awwhhh 😹
 
Kwa nilipofikia nishaanza kuahirisha kuzaa kwani kuna shido? 🤣🤣🤣
Wanaume wenyewe wa kuzaa nao hawa kataa ndoa wanaogopa kuandamana au kina michawa pro max Luca na mwenzie tlaatlaah 😹😹😹

Bora mayai yangu nilie chips awwhhh 😹

😀😀
 
Wito wangu, kama uwezo upo jitajidi kupata mtoto mapema, unapofika 50 at least awe mtu mzima

Kwanini miaka 50 ? ni umri inaobidi uwe na mtoto anaeweza kujitegemea, anaeweza kuwa na upevu wa akili ya kupewa majukumu ya kifamilia kwa wadogo zake au biashara (kama zipo), kupunguza gharama za kulea watoto wengine ikiwa yeye kaajiriwa au ana biashara zake, Ni umri ambao wanaume wakifikia ni 50/50 uhai na kifo hasa kwa magonjwa ya uzeeni hivyo ni vema uwe na watoto wataoweza kujitegemea, n.k.

  • ukipata mtoto ukiwa na 22, atakuwa na miaka 28 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 23, atakuwa na miaka 27 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 24, atakuwa na miaka 26 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 25, atakuwa na miaka 25 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 26, atakuwa na miaka 24 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 27, atakuwa na miaka 23 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 28, atakuwa na miaka 22 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 29, atakuwa na miaka 21 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 30, atakuwa na miaka 20 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 31, atakuwa na miaka 19 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 32, atakuwa na miaka 18 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 33, atakuwa na miaka 17 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 34, atakuwa na miaka 16 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 35, atakuwa na miaka 15 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 36, atakuwa na miaka 14 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 37, atakuwa na miaka 13 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 38, atakuwa na miaka 12 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 39, atakuwa na miaka 11 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 40, atakuwa na miaka 10 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 41, atakuwa na miaka 9 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 42, atakuwa na miaka 8 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 43, atakuwa na miaka 7 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 44, atakuwa na miaka 6 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 45, atakuwa na miaka 5 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 46, atakuwa na miaka 4 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 47, atakuwa na miaka 3 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 48, atakuwa na miaka 2 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 49, atakuwa na mwaka 1 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 50, atakuwa bado hajazaliwa
Tumeanza kupangiana hadi muda wa kupata watoto tena??? hii nchi ngumu sana
 
Wito wangu, kama uwezo upo jitajidi kupata mtoto mapema, unapofika 50 at least awe mtu mzima

Kwanini miaka 50 ? ni umri inaobidi uwe na mtoto anaeweza kujitegemea, anaeweza kuwa na upevu wa akili ya kupewa majukumu ya kifamilia kwa wadogo zake au biashara (kama zipo), kupunguza gharama za kulea watoto wengine ikiwa yeye kaajiriwa au ana biashara zake, Ni umri ambao wanaume wakifikia ni 50/50 uhai na kifo hasa kwa magonjwa ya uzeeni hivyo ni vema uwe na watoto wataoweza kujitegemea, n.k.

  • ukipata mtoto ukiwa na 22, atakuwa na miaka 28 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 23, atakuwa na miaka 27 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 24, atakuwa na miaka 26 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 25, atakuwa na miaka 25 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 26, atakuwa na miaka 24 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 27, atakuwa na miaka 23 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 28, atakuwa na miaka 22 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 29, atakuwa na miaka 21 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 30, atakuwa na miaka 20 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 31, atakuwa na miaka 19 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 32, atakuwa na miaka 18 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 33, atakuwa na miaka 17 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 34, atakuwa na miaka 16 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 35, atakuwa na miaka 15 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 36, atakuwa na miaka 14 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 37, atakuwa na miaka 13 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 38, atakuwa na miaka 12 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 39, atakuwa na miaka 11 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 40, atakuwa na miaka 10 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 41, atakuwa na miaka 9 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 42, atakuwa na miaka 8 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 43, atakuwa na miaka 7 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 44, atakuwa na miaka 6 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 45, atakuwa na miaka 5 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 46, atakuwa na miaka 4 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 47, atakuwa na miaka 3 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 48, atakuwa na miaka 2 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 49, atakuwa na mwaka 1 ukifika 50
  • ukipata mtoto ukiwa na 50, atakuwa bado hajazaliwa
watoto wenyewe ndo hawa km wa mr Ibu kula pesa za rambirambi!!!
 
Back
Top Bottom