Ujumbe tata wa Ney wa Mitego kwa Fred Vunjabei

Wadogo zangu wa kike sikieni
Msiombe hela kwa wanaume wenu....mwanaume mwenyewe atakupa kwa kadiri awezavyo na ajuavyo nahitaji na uwezo wako na wake
Kuombaa hela ni kupoteza cohesiveness flani
Hata kwenye ndoa huwa tunasemaga baby inakuwaje siku tukiwa na balance nikashona Kama hii

Mambo ya kumwambia tena just a boyfriend naomba hela ya Kodi ni ujinga

Omba hela ndogo Sana, mfano naomba 200 au 500 nichukue machungwa
 
Kitu najua Fred ni mtu wa jokes sana. Ila jamii haimchukulii hivo. Ni hapo alitereza. Ila frankly ni uhakika 100% aliandika joke. Only foolish will take it seriously. Ni pamoja na NAY.
 
Mauji unamanisha shahawa? Leo shahawa zilizomwagwa kwa mama ako ukaundwa wewe, leo unaziita UJI , na huo uji ulivyokua kitoto ndio uliokua unapewa ukupe lishe ukue leo unaufananisha na shahawa ? Pumbavu kabisa wewe.
[emoji24][emoji24]mkuu hii sio sawa hakukuwa na ulazima wa kumuweka mama ake ktk hili na ungefatilia y bidada Ka comment hvyo usinge m quote hvyo mana kuna jamaa ndo kwamwambia njoo nikumwagie mauji ndo mana naye akajibu hvyo!!sio poa kabisa mkuu!!
 
[emoji28][emoji28]kwa kweli imeniuma mpaka kuingiza kina mama kwa suala jepesi kama hili hapana itakuwa na stress za hela zimechangia sio bure kabisa!!
 
Ni kweli hili jamaa ni shamba la mademu mno....sidhani kama anajuwa mademu wanamchuna tu na hawampendi, amuulize mwenzie Mondi.
 
Ni kweli hili jamaa ni shamba la mademu mno....sidhani kama anajuwa mademu wanamchuna tu na hawampendi, amuulize mwenzie Mondi.
Kwani kuna mwanamke duniani anayependa. Wote wanaangalia ndalama tuu. Cha msingi ukiwa na ndalama wee wapelekeaa moto basi. Chukua pisi kali sasambua mbususu ukiichoka taffuta ingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…