fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,911
R I P JP MAGUFURI.Baba yenu sikubaliani na matusi ila nina angalizo. Afrika, kabla ya kuletewa hizi dini za kiarabu na kiyahudi za akina Yehova na Allah, ilikuwa safi na tulivu. Lakini baada ya kuja dini hizi nyemelezi, mara tukapelekwa utumwani. Mara tukaletewa ukoloni, ubaguzi na kila aina ya jinai. Kimsingi, dini hizi ndizo zillizotumiwa na wazungu kutulainisha na kutupeleleza tayari kwa kututawala. Kwenye kifo cha Magufuli, ni kifo kama kingine. Kwanini Mkapa afe kwa shinikizo isiwe sababu? Tuamini kuwa kila mtu atakufa na hatujui atakufaje.
Wewe unayejua embu tuambie aliuliwaje? Nani aliyehusika? Ilikuwa lini na muda gani? Kauliwa kisa nini?Hujui kitu wewe Magu kauliwa na mabepari.
Imeshapostiwa huko juuNaipata wapi hii audio? Ili tuchangie vizuri inabidi kuisikiliza
inaitwa dini tumeletewaKuna nyimbo ya afande sele aliimba mda inaitwa dini ukiisikiliza kwa makini utajua kabisa jamaa hana dini yupo yupo Bora siku ziende
Kwamba yeye alikua ni bidamu wa tofauti kabisa ambae hakutakiwa kufa??.Kwa Magu hata mimi imeniuma sana.. akili yangu inahisi ameuwawa kwa biological weapon.
Usalama wa taifa wamezidiwa ujanja na wazungu.
Najiuliza why yeye na msaidizi wake kijazi wafariki ndani ya muda mfupi kwa ugonjwa mmoja.. nahisi mtego waliotegwa na wakanasa ulikuwa unaenda kuvunja moyo kufanya kazi.. sitashangaa akifa mwingine kwa moyo tena
Ni hao hao kucha kutwa wanaimba uwezo wa mungu, ila ni hao hao hawaamini mungu anaweza kukatisha uhai wa mpendwa wao magu.Ifike wakati tukubali hali halisi iliyokuwepo..kama wengi wetu tuliamini Magu ni mpango wa Mungu kwanini kwa sasa tusikubali ni mpango wa Mungu unaendelea...
Kazi aliyoanza Mungu huwa anamaliza mwenyewe hakuna wa kumpangia wala kumzuia..
Njia yetu moja pumzika kwa salama jembe
Upo sahihi mkuu. Tumepoteza mtu muhimu sanaKwa Magu hata mimi imeniuma sana.. akili yangu inahisi ameuwawa kwa biological weapon.
Usalama wa taifa wamezidiwa ujanja na wazungu.
Najiuliza why yeye na msaidizi wake kijazi wafariki ndani ya muda mfupi kwa ugonjwa mmoja.. nahisi mtego waliotegwa na wakanasa ulikuwa unaenda kuvunja moyo kufanya kazi.. sitashangaa akifa mwingine kwa moyo tena
Kiburi huwa na mwisho mbaya sana inaweza kuwa kweli ila huwa kuna watu hawana kiburi ila huwa na mwisho mbaya sana nao kwahio maisha hayana formula muda mwingineKwamba yeye alikua ni bidamu wa tofauti kabisa ambae hakutakiwa kufa??.
Tupunguze kuzipangia cha kufanya nguvu zilizo nje ya uwezo wetu,kiburi huwa kinakua na mwisho mbaya sanaa.
Nashawishika kuamini, wenye mawazo ya kumuona jiwe alikua tofauti na watanzania wengine, ndio kumetufikisha hapa tulipo
Hua ina bariki sana sanaaaa,inapo tokea ukawa mwisho mbaya huku ulikua mtu mnyenyekevu kwa walio chini yako. Hiyo itapunguza maumivu kwa familia na jamiii husika.Kiburi huwa na mwisho mbaya sana inaweza kuwa kweli ila huwa kuna watu hawana kiburi ila huwa na mwisho mbaya sana nao kwahio maisha hayana formula muda mwingine
Hua ina bariki sana sanaaaa,inapo tokea ukawa mwisho mbaya huku ulikua mtu mnyenyekevu kwa walio chini yako. Hiyo itapunguza maumivu kwa familia na jamiii husika.Kiburi huwa na mwisho mbaya sana inaweza kuwa kweli ila huwa kuna watu hawana kiburi ila huwa na mwisho mbaya sana nao kwahio maisha hayana formula muda mwingine
that was painfoolPainfully
View attachment 1729106
Unajuaje kuwa hana uhakika na anacho kiamini? Sele mibangi imemvuruga yuleBasi mwache Sele aamini anachoamini kwa sabab wewe mwenyewe huna uhakika na unachokiamini
Ukiona binadamu hajawahi kutoka chozi kwaajili ya wengine jua huyo ana shida sehemuPainfully
View attachment 1729106
Bangi mbaya
ningekuambia mkuu tatizo nna mambo mengi ya msingi.Wewe unayejua embu tuambie aliuliwaje? Nani aliyehusika? Ilikuwa lini na muda gani? Kauliwa kisa nini?
Mmhhhh!!!!!!???Kama uko na watoto au wazazi plies hii video kasikilizie chumbani kwakoView attachment 1729458