Sasa tuhuma hii atathibitisha nani?Taarifa hii inasambaa kwa kasi sasa hivi baada ya kuripotiwa kuwa katibu wa kanisa la Masanja mkandamizaji amejinyonga na kuacha ujumbe wa kwamba asamehewe kwani alikuwa anatembea kimapenzi na mke wa mchungaji Masanja.
Ujumbe huo umeshitua wengi kwani mke wa Masanja ni mtulivu sana.View attachment 2374737
Huku ni kuchafuana tuTaarifa yako imekaa kimbeya mbeya. Sana
Watakao amini wote ni wajinga pia.1. Jamaa ni mjinga sana kujiua.
Yani Marehemu ni mpumbavu sana.
2. Eti kujiua kwa sababu alikuwa anatembea na mke wa Masanja ni uongo sana.
Yani wametegea huyo bwege amejiua ndio waanze kuzusha.
TAZANIA INA WAJINGA WENGI SANA.
Wewe hujawahi mtamani houseboy wako? Akili zenu mnazijua wenyeweMasanja kila leo USA halafu anasafiri peke yake. Ndo maana anachapiwa mkewe. Monaco itakuwa kapata mwingine wa kumkuna ndo maana akamwaga katibu eti kisa kaoa. R.I.P katibu.
Wakati mama mchungaji akimtega mchungaji, na hawa wengine wakajikuta wametegeka........hii kitaalamu tunaita collateral effect.MAMA MCHUNGAJI UNAVAA KIMITEGO UNATEGEMEA NINI?
KANISANI MNAVAA OVYO MBONA MKIENDA KWENYE INTERVIEW ZA KUOMBA KAZI MNAVAA KIHESHIMA?
KIZAZI CHA ZINAA NYIE TUKIWASHAURI MNATUONA WASHAMBA!
😂😂😂Wakati mama mchungaji akimtega mchungaji, na hawa wengine wakajikuta wametegeka........hii kitaalamu tunaita collateral effect.
KashesheKuna watu huwa wanasema ukiwa na pesa pia na umaarufu ndani yake mke wako hawezi chepuka. Asa imekuwaje jambo hilo kwenda tofauti ?
Lazima sababu ya kifo isemwe. Ulitaka watu wapate shida ya kujua sababu?Kulikua na sababu gani ya kuamua kuharibu huku nyuma na yeye keshaamua kujiua?
NakaziaOne idiot amewahi motoni.