Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

Pia hawa mastaa na matajiri huwa na mambo mengi ya ushirikina asije kuwa kamtoa Kafara huyo katibu!!! Ili.ku boost biashara zake
 
Trust no woman! Kwamba mke wangu anasali sana ananena kwa Lugha hawezi tafunwaa. [emoji23][emoji23] Maisha haya.
Ngoja tuendelee kuzichakata tu maana hata usipo chakata, mkeo jua anachakatwa.
 
Alafu kulikuwa na tetesi before kwamba mke wa Masanja alikuwaga demu wa Mpoki zaman kabla ya Masanja kumuoa. sijajua ukweli wake upoje.
Duh inaonekana mke kaolewa na jamaa kisa pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…