AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
Hakuna kitu kama hiko. Hawa viumbe hawajui wanataka nini. Hao matajiri wanaoingoza duniani wake zao WA naomba talaka eday.Kuna watu huwa wanasema ukiwa na pesa pia na umaarufu ndani yake mke wako hawezi chepuka. Asa imekuwaje jambo hilo kwenda tofauti ?