niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,606
- 5,295
Huyo dogo ni punga jipya. Bora amedanja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😂 Watu / familia zinapitia mengi Sana Kuna Bwana pia alimfumania mke wake, akaishia kuzimia yeye, badae akasema kilichomuuma Sana sio kumfania mke ila tu MKAO aliokua amekalishwa mke wake na uyo bwanaKatibu alipewa ndogo Nini?
DJ Walete 😀😀Nje kwenyewe wala sigawi kiviiile
Hapa nina miezi ya kutosha hakijaliwa hata
Na ndio kosa kubwa Sana tunalolifanyaKosa kubwa kwa sis wanaume ni kumpenda mwanamke kupitiliza
Tatizo lilianzia hapa
Katoka kujiita wa kisasa huko na kwamba tusimfananishe na wahubiri wetuMtumishi Anapopitia Majaribu Makali Haa Acha Tuone
Kuna member anasema imekutwa kwenye sent items za Mwendazake2. Monica asingeisambaza mtandaoni pia
lazima ugongeweHakuna kanuni ya kumtuliza mwnamke hawa watu mara nyingi huwa wanapagawa zaidi na kile ambacho mwanaume wake hana na ukweli ni kwamba hakuna binadamu mwenye kila kitu.. ukiwa na kazi utagongewa na jobless ukiwa jobless utagongewa na mwenye kazi, ukiwa mfupi utagongewa na mrefu ukiwa mrefu utagongewa na mfupi, ukiwa na pesa utagongewa na masikini ukiwa masikini utagongewa na mwenye pesa, ukiwa maarufu utagongewa na ambae sio maarufu usipokua maarufu utagongewa na mtu maarufu, ukiwa na kitambi utagongewa na mwenye six pscks ukiwa na six packs utagongewa na mwenye kitambi
Hapana Mkuu unajua hii kupigiwa au kupiga siyo kwamba imeanza leo hata zamani haya mambo yalikuapo sana tu, sema wazee wetu walikua waelewa sana kwenda mpaka watoto mkstambua itakua huyo mama hana adabu sana sema kwasasa ni hizi simu zinaharibu zaidi maana kila kitu ni simu hivyo ukitaka kuumia fatilia sana,, lakini nashukuru mke wangu aliamua kukaa kwenye mstari na ilibidi yule kijana amtukane sana maana kitu cha kuchukua picha ya mtu na kuposti bila ridhaa yake ni udhalilishaji mkubwa mno, mbaya zaidi ni mke wa mtu hapa ningeamua kufanya ubaya nadhani hata huyu kijana asingeweza kujua ni nani kamfanyia, maana nilijua nikimfanyia hivi huyu moja kwa moja na mwanamke ningefanya na zaidi mie niliangalia upande mwingine wa sarafu kwamba hivi mimi sijawahi fanya hivyo nikajiona nimefanya sana tu, ndio maana nikaamua kuachana na maamuzi mabaya zaidi ya kumkanya. Lakini sijui vijana tunaelekea wapi kwangu mimi hata iweje kama mwanamke wa mtu nikiona anataka kuzidi lazima nimwambie ache na zaidi huwasisitiza kuheshimu waume zao haijalishi kuna nini kwangu na sikubaliani na mwanamke wa mtu kunipenda... Hivyo ukiamua kujisimamia kwa hivyo utakua mshauri mkuu wa mke wa mtu huku ukiwa unatembea nae tena vizuri tu.Bila shaka kuna jambo lilimkuta
Je tutaenda kwenye msiba wa katibu?
[emoji1][emoji1][emoji1]Kweli naamini uzuri wa mtu upo machoni pa muangaliaji. Mimi namuelewa sana mke wa masanja.
Kanisa la Masanja linaitwa FEEL FREE CHURCH. Maana yake ni kwamba linakaribisha mtu yeyote wa tabia yeyote. Linaruhusu watu kujiunga na tabia zao. Namshangaa huyu Bwana kujiua ilhali akijua Mchungaji Masanja anaruhusu tabia za aina yeyote? Kwa ufupi Masanja angechukulia poa hata kama angejua mama mchungaji anaombwa uroda na katibu.Katoka kujiita wa kisasa huko na kwamba tusimfananishe na wahubiri wetu
Mimi sijaelewa, kajiua kwa sababu gani? Au kapendwa na Monika hadi kujiua?!Sawa kufa kwa kujiua Ni kuchagua fungu lako
Hapa naona Nia ovu ya kutaka kumhabiria masanja na dhehebu lake ,
Pengine jamaa alimtamani kweli mama mchungaji, lakini alipotolewa nje na kugundulika ,
Akaona amharibie ndoa yake na kanisa
SanaHizi tamthilia za Kifilipino wanazoangalia vijana wetu zinawatesa sana! [emoji2365][emoji2365][emoji2365]