Benjamin Netanyahu amewatahadharisha na kuwasihi raia wa Lebanon 🇱🇧 akiwaomba kushikamana na kutumia wakati huu kuiondosha Hezbollah, Netanyahu amesema kwamba kundi hilo la kigaidi limekuwa likifadhiliwa na Iran ili kulinda interests za Iran mashariki ya kati ikiwa ni pamoja na kuishambulia kijeshi Israel 🇮🇱.
Anaomba walebanoni watumie wakati huu kuifanya Lebanon 🇱🇧 iwe kitovu cha amani mashariki ya kati kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.
Soma Pia: Benjamin Netanyahu: Ukitupiga tunakupiga, hakuna sehemu ndani ya Iran ambayo hatuwezi kufika
View: https://x.com/netanyahu/status/1843694164690846055?t=vWVZnHVLdy0g5URP0Hk3bw&s=19
Anaomba walebanoni watumie wakati huu kuifanya Lebanon 🇱🇧 iwe kitovu cha amani mashariki ya kati kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.
Soma Pia: Benjamin Netanyahu: Ukitupiga tunakupiga, hakuna sehemu ndani ya Iran ambayo hatuwezi kufika
View: https://x.com/netanyahu/status/1843694164690846055?t=vWVZnHVLdy0g5URP0Hk3bw&s=19