kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,668
- 9,809
atakuwa anafuatilia kwa masimulizi ya msikitini ma ustaz wanampiga kamba.😂 😂 😂 😂 Mkuu hivi unafuatalia kinachoendelea huko kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakuwa anafuatilia kwa masimulizi ya msikitini ma ustaz wanampiga kamba.😂 😂 😂 😂 Mkuu hivi unafuatalia kinachoendelea huko kweli?
Mwambie mayahudi warudi kwao waliokofukuzwa na kuuliwa na wazungu kabla ya kukimbilia PalestinaKila siku kwenye Media yeye apambane awaondoe huko kwenye mashimo walipojificha. Nasio apige majengo ya raia. Au na Hezbollah hawana sare?.
Waruhusu Palestine kua taifa huru, hapatakua na vita, vinginevyo hawatokaa kwa amani hapo middle east. Wapalestine & Hezbollah hawana cha kumpoteza. Wataua viongozi wao wote lakini watakuja wengine hata kwa majina mengine. Yeye apambane tu mpaka awafute.
Hii ndio njia pekee ya kudeal na hao wahuni. unapeleka moto na masikio unaziba wataelewa tuMfano Nasralah, kambi yake ya handaki ilikuwa chini ya majengo ya taasisi za kiraia.
Walipotamani kumuondoa ilibidi wafumbe macho, ili kuondoa tatizo ni kupukutisha majengo yaliyopo juu ili kumfikia 'bwana mkubwa'.
Na ndo ukweli upo hapaMfano Nasralah, kambi yake ya handaki ilikuwa chini ya majengo ya taasisi za kiraia.
Walipotamani kumuondoa ilibidi wafumbe macho, ili kuondoa tatizo ni kupukutisha majengo yaliyopo juu ili kumfikia 'bwana mkubwa'.
Na bado kwao ni goyim tu huna maana yoyote!... we took Nasrallah himself; and Nasrallah's replacement; and replacement of his replacement...
Leo umemuamini Biden kama sio unafiki ni ninii
Acha IDF ipige inapojiskiaAchana nao, IDF wamehurubiri hii kitu hadi wamechoka
Mkiristo wa jf umejaa proogandaMfano Nasralah, kambi yake ya handaki ilikuwa chini ya majengo ya taasisi za kiraia.
Walipotamani kumuondoa ilibidi wafumbe macho, ili kuondoa tatizo ni kupukutisha majengo yaliyopo juu ili kumfikia 'bwana mkubwa'.
Ngoja tumalizane na hawa vijana wenu. Safari hii mwenge hauvuki kijijiAache longolongo, arushe hata jiwe hapo Teheran aone shughuli yake.
Safi sana, na hiki ndicho kinachowa- cost magaidi ya HezbollahHalafu IDF ikitoa maelekezo ya raia kuhama(Kusogea) ili kupisha kichapo, Hezbollah nao wanasogea pamoja na silaha zao(wanahamisha silaha) na hao raia. Silaha nyingine Hezbollah wanazitorosha kuelekea Syria kupitia border Masnaa. Ndo mana Masnaa border crossing eneo limetinduliwa.
Ahahah umenifanya nitabasamuNgoja tumalizane na hawa vijana wenu. Safari hii mwenge hauvuki kijiji
Hezbollah calls for truceAache longolongo, arushe hata jiwe hapo Teheran aone shughuli yake.
Leo umemuamini Biden kama sio unafiki ni ninii
Myahudi arudi kwao walikofukuzwa na kuuliwa na wazungu wapi mkuu?Mwambie mayahudi warudi kwao waliokofukuzwa na kuuliwa na wazungu kabla ya kukimbilia Palestina
Ujumbe mzuri kabsa
Hicho cheo kitakosa mtu... we took Nasrallah himself; and Nasrallah's replacement; and replacement of his replacement...
Hezbollah calls for truce
Hezbollah's deputy leader Naim Qassem said he backed attempts to secure a truce.
For the first time, the end of war in Gaza was not mentioned as a pre-condition to halting the combat in Lebanon.
He said he backed moves by speaker of parliament Nabih Berri, a Hezbollah ally, to secure a halt to the fighting.
![]()
Naim Qassem AP
Mdogo-mdogo nyani anatema bungo.
Muamuzi wa vita ya Hezbollah ni Iran. Bila kusitisha vita Gaza hakuna amani hapo Israel watu Kila siku wanshinda kwenye mahandaki Jana tu wamerusha rocket zaidi ya 80 huko Haifa. Hamas wenyewe Jana wamewashambulia Israel. Na hata Leo wakazi wa Gaza wameanza kurud kwenye makazi yao yaliyobomolewa.Hezbollah calls for truce
Hezbollah's deputy leader Naim Qassem said he backed attempts to secure a truce.
For the first time, the end of war in Gaza was not mentioned as a pre-condition to halting the combat in Lebanon.
He said he backed moves by speaker of parliament Nabih Berri, a Hezbollah ally, to secure a halt to the fighting.
![]()
Naim Qassem AP
Mdogo-mdogo nyani anatema bungo.