Ujumbe wa Netanyahu kwenda kwa mamlaka ya Lebanon na watu wake

Ujumbe wa Netanyahu kwenda kwa mamlaka ya Lebanon na watu wake

Kila siku kwenye Media yeye apambane awaondoe huko kwenye mashimo walipojificha. Nasio apige majengo ya raia. Au na Hezbollah hawana sare?.

Waruhusu Palestine kua taifa huru, hapatakua na vita, vinginevyo hawatokaa kwa amani hapo middle east. Wapalestine & Hezbollah hawana cha kumpoteza. Wataua viongozi wao wote lakini watakuja wengine hata kwa majina mengine. Yeye apambane tu mpaka awafute.
Mwambie mayahudi warudi kwao waliokofukuzwa na kuuliwa na wazungu kabla ya kukimbilia Palestina
 
Mfano Nasralah, kambi yake ya handaki ilikuwa chini ya majengo ya taasisi za kiraia.

Walipotamani kumuondoa ilibidi wafumbe macho, ili kuondoa tatizo ni kupukutisha majengo yaliyopo juu ili kumfikia 'bwana mkubwa'.
Hii ndio njia pekee ya kudeal na hao wahuni. unapeleka moto na masikio unaziba wataelewa tu
 
Mfano Nasralah, kambi yake ya handaki ilikuwa chini ya majengo ya taasisi za kiraia.

Walipotamani kumuondoa ilibidi wafumbe macho, ili kuondoa tatizo ni kupukutisha majengo yaliyopo juu ili kumfikia 'bwana mkubwa'.
Na ndo ukweli upo hapa
 
Mfano Nasralah, kambi yake ya handaki ilikuwa chini ya majengo ya taasisi za kiraia.

Walipotamani kumuondoa ilibidi wafumbe macho, ili kuondoa tatizo ni kupukutisha majengo yaliyopo juu ili kumfikia 'bwana mkubwa'.
Mkiristo wa jf umejaa prooganda
 
Halafu IDF ikitoa maelekezo ya raia kuhama(Kusogea) ili kupisha kichapo, Hezbollah nao wanasogea pamoja na silaha zao(wanahamisha silaha) na hao raia. Silaha nyingine Hezbollah wanazitorosha kuelekea Syria kupitia border Masnaa. Ndo mana Masnaa border crossing eneo limetinduliwa.
Safi sana, na hiki ndicho kinachowa- cost magaidi ya Hezbollah
 
Aache longolongo, arushe hata jiwe hapo Teheran aone shughuli yake.
Hezbollah calls for truce
Hezbollah's deputy leader Naim Qassem said he backed attempts to secure a truce.
For the first time, the end of war in Gaza was not mentioned as a pre-condition to halting the combat in Lebanon.

He said he backed moves by speaker of parliament Nabih Berri, a Hezbollah ally, to secure a halt to the fighting.

Naim Qassem

Naim Qassem AP
Mdogo-mdogo nyani anatema bungo.
 
Mwambie mayahudi warudi kwao waliokofukuzwa na kuuliwa na wazungu kabla ya kukimbilia Palestina
Myahudi arudi kwao walikofukuzwa na kuuliwa na wazungu wapi mkuu?
Endeleeni kumezeshwa huo uongo huko madrasa halafu mnaanzisha vita ambayo mwisho wa siku mtamhalalishia Israel kuchukua na kujimilikisha maeneo yenu kwani hamtaweza kumlipa fidia atakapokuwa ameyateka kwa gharama ya vita.
 
Wakikubali tu hii wamekwisha wataanza migogoro ya wenyewe kwa wenyewe na neta atakuwa anachekea pembeni.

Ni ngumu sana raia wote kuafikiana na kuwa kitu kimoja.
 
Hezbollah calls for truce
Hezbollah's deputy leader Naim Qassem said he backed attempts to secure a truce.
For the first time, the end of war in Gaza was not mentioned as a pre-condition to halting the combat in Lebanon.

He said he backed moves by speaker of parliament Nabih Berri, a Hezbollah ally, to secure a halt to the fighting.

Naim Qassem

Naim Qassem AP
Mdogo-mdogo nyani anatema bungo.

Live translation kwenye TV Bi Nyau akiangalia ilikuwa hii:

Naibu wa Nasrallah aihutubia dunia kuweka mustakabala wa vita Lebanon

Inasimama vita Gaza, inasimama vita Northern Israel.

Tafsiri ya kwako umeilokota wapi?
 
Hezbollah calls for truce
Hezbollah's deputy leader Naim Qassem said he backed attempts to secure a truce.
For the first time, the end of war in Gaza was not mentioned as a pre-condition to halting the combat in Lebanon.

He said he backed moves by speaker of parliament Nabih Berri, a Hezbollah ally, to secure a halt to the fighting.

Naim Qassem

Naim Qassem AP
Mdogo-mdogo nyani anatema bungo.
Muamuzi wa vita ya Hezbollah ni Iran. Bila kusitisha vita Gaza hakuna amani hapo Israel watu Kila siku wanshinda kwenye mahandaki Jana tu wamerusha rocket zaidi ya 80 huko Haifa. Hamas wenyewe Jana wamewashambulia Israel. Na hata Leo wakazi wa Gaza wameanza kurud kwenye makazi yao yaliyobomolewa.
 
Back
Top Bottom