Ujumbe wa Netanyahu kwenda kwa mamlaka ya Lebanon na watu wake

Ujumbe wa Netanyahu kwenda kwa mamlaka ya Lebanon na watu wake

Myahudi arudi kwao walikofukuzwa na kuuliwa na wazungu wapi mkuu?
Endeleeni kumezeshwa huo uongo huko madrasa halafu mnaanzisha vita ambayo mwisho wa siku mtamhalalishia Israel kuchukua na kujimilikisha maeneo yenu kwani hamtaweza kumlipa fidia atakapokuwa ameyateka kwa gharama ya vita.
Mauaji ya Holokosti (1941-1945):
Mauaji ya Holokosti yalizidisha wito wa Wayahudi kurejea Palestina, kwani wengi walikosa mahali pa kuishi na walikabiliwa na hatari kubwa barani Ulaya. Wengi waliuawa au walikimbilia maeneo mengine.

Kuanzishwa kwa Israel (1948): Baada ya Vita vya Pili vya Dunia, Wayahudi walijitahidi sana kuanzisha taifa lao katika Palestina. Katika mwaka wa 1948, taifa la Israel lilitangazwa, hatua ambayo ilileta mgawanyiko mkubwa katika eneo hilo, ikiwa ni pamoja na kuhamishwa kwa Wapalestina wengi.

MNANYESHWA SUMU SANA J2.MKIRISTO GANI WEWE ZERO BRAIN?
 
Muamuzi wa vita ya Hezbollah ni Iran. Bila kusitisha vita Gaza hakuna amani hapo Israel watu Kila siku wanshinda kwenye mahandaki Jana tu wamerusha rocket zaidi ya 80 huko Haifa. Hamas wenyewe Jana wamewashambulia Israel. Na hata Leo wakazi wa Gaza wameanza kurud kwenye makazi yao yaliyobomolewa.
OK. Hebu chukulia hii scenario kwamba una mbwa wako mkali halafu umeenda naye porini na kwa bahati mbaya ukakutana na simba. Mbwa wako akarudi na kukimbilia miguuni pako. Utaendelea kumsakizia mbwa wako eti kamata simba? Somo: Wewe ni Iran; mbwa ni Hezbollah; simba ni Israel.
 
Mauaji ya Holokosti (1941-1945):
Mauaji ya Holokosti yalizidisha wito wa Wayahudi kurejea Palestina, kwani wengi walikosa mahali pa kuishi na walikabiliwa na hatari kubwa barani Ulaya. Wengi waliuawa au walikimbilia maeneo mengine.

Kuanzishwa kwa Israel (1948): Baada ya Vita vya Pili vya Dunia, Wayahudi walijitahidi sana kuanzisha taifa lao katika Palestina. Katika mwaka wa 1948, taifa la Israel lilitangazwa, hatua ambayo ilileta mgawanyiko mkubwa katika eneo hilo, ikiwa ni pamoja na kuhamishwa kwa Wapalestina wengi.

MNANYESHWA SUMU SANA J2
Mkuu; Yan Karne hii; ado kuna baadhi ya watu na akili zao wanadiriki kusema "hapa kwangu" na tena "hapa kwangu" ? Nani alikuja hapa duniani na ardhi??? i.e. Mtu aliyezaliwa ameshika walau kiganja (fumbate) cha ardhi?? Nani aliyekwisha ondoka hapa duniani walau hata na kipande cha udongo ambao ni mali yake alokuja nayo???
 
Benjamin Netanyahu amewatahadharisha na kuwasihi raia wa Lebanon 🇱🇧 akiwaomba kushikamana na kutumia wakati huu kuiondosha Hezbollah, Netanyahu amesema kwamba kundi hilo la kigaidi limekuwa likifadhiliwa na Iran ili kulinda interests za Iran mashariki ya kati ikiwa ni pamoja na kuishambulia kijeshi Israel 🇮🇱.

Anaomba walebanoni watumie wakati huu kuifanya Lebanon 🇱🇧 iwe kitovu cha amani mashariki ya kati kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.



View: https://x.com/netanyahu/status/1843694164690846055?t=vWVZnHVLdy0g5URP0Hk3bw&s=19
Hana jipya huyo alidhani ataingia Lebanon kama mchezo kavunjiwa vifaru 50 na wameisha uliwa askari zake zaidi ya 41 ma officer wacha vikuku. Sa kaona anze kufitinisha wa Lebanon wapigane vita kama vile alivyo fanya 1982 haha.

Askari zake walingia na bendera kupiga selfie huko south Lebanon wamebebwa na Helicopter wote ni maiti na wengine vilema.
 
Yaani yeye na jeshi lake wameshindwa kuwamaliza Hezbollah alafu huo mzigo wanataka kuwapa wananchi wawasaidie ..hakika hiki ni kituko
 
Hana jipya huyo alidhani ataingia Lebanon kama mchezo kavunjiwa vifaru 50 na wameisha uliwa askari zake zaidi ya 41 ma officer wacha vikuku. Sa kaona anze kufitinisha wa Lebanon wapigane vita kama vile alivyo fanya 1982 haha.

Askari zake walingia na bendera kupiga selfie huko south Lebanon wamebebwa na Helicopter wote ni maiti na wengine vilema.
Msaada wa marekani haumtoshi sasa anataka msaada kwa raia wa Lebanon
 
Jamaa kaongea kitemi balaa! Lebanon wamemwelewa vibaya sana.
Yaani mbinu ya kiuoga mnaitetea kweli nyie kondoo ..apigane yeye na jeshi lake huo msala asiwape raia
 
OK. Hebu chukulia hii scenario kwamba una mbwa wako mkali halafu umeenda naye porini na kwa bahati mbaya ukakutana na simba. Mbwa wako akarudi na kukimbilia miguuni pako. Utaendelea kumsakizia mbwa wako eti kamata simba? Somo: Wewe ni Iran; mbwa ni Hezbollah; simba ni Israel.
Japo ujaniambia mm ila mfano wa kitoto kabisa huu .siezi chukulia hivo
 
Hezbollah wanajificha nyuma ya akina nani kama sio nyuma ya Raia(watoto na wanawake)?Halafu wakiuawa mnasema IDF inaua watoto na wanawake kumbe ingekuwa sahihi zaidi kusema Hezbollah inawatoa kafara watoto na wanawake.
Waone, wanaogopa kichapo
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-07-20-10-18-898.jpg
    Screenshot_2024-10-07-20-10-18-898.jpg
    483.3 KB · Views: 1
😂 😂 😂 😂 Mkuu hivi unafuatalia kinachoendelea huko kweli?
Nafuatilia kwenye vyanzo huru,umewaona taifa teule wamejificha nyuma ya umoja wa mataifa hapo!?
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-07-20-10-18-898.jpg
    Screenshot_2024-10-07-20-10-18-898.jpg
    483.3 KB · Views: 1
Mkuu, huwa unafuatilia hii vita kupitia mediaipi? Sshivi wako 60 Km ndani ya Lebanon na mahandaki yanafumuliwa kwa kwenda mbele.
60km kakudanganya nani!?..hizo nchi ni viuchochoro tu,ukiingia 60 km upo katikati ya nchi
 
Kila siku kwenye Media yeye apambane awaondoe huko kwenye mashimo walipojificha. Nasio apige majengo ya raia. Au na Hezbollah hawana sare?.

Waruhusu Palestine kua taifa huru, hapatakua na vita, vinginevyo hawatokaa kwa amani hapo middle east. Wapalestine & Hezbollah hawana cha kumpoteza. Wataua viongozi wao wote lakini watakuja wengine hata kwa majina mengine. Yeye apambane tu mpaka awafute.
Hatutaki mje na nyuzi za kulia lia
 
Hana jipya huyo alidhani ataingia Lebanon kama mchezo kavunjiwa vifaru 50 na wameisha uliwa askari zake zaidi ya 41 ma officer wacha vikuku. Sa kaona anze kufitinisha wa Lebanon wapigane vita kama vile alivyo fanya 1982 haha.

Askari zake walingia na bendera kupiga selfie huko south Lebanon wamebebwa na Helicopter wote ni maiti na wengine vilema.
1728424886988.jpeg
 
1728425094330.png


Ngoma inataka kupakuliwa iingie Beirut no need bullet Laser beam
 
Israel wameshalaaniwa. Wanapenda sana vita.

Ni hulka ya shetani kupigana na kuchukiana.

Washindwe kwa jina la Yesu wa Nazareth Myahudi mpenda vita kama Mayahudi mengine
Wewe ni mkristo usiyejitambua
Wala hujui asili ya ukristo wako
 
Israel wameshalaaniwa. Wanapenda sana vita.

Ni hulka ya shetani kupigana na kuchukiana.

Washindwe kwa jina la Yesu wa Nazareth Myahudi mpenda vita kama Mayahudi mengine
Kobazi mna shida ninyi, leo unajifanya mkristo.
 
Benjamin Netanyahu amewatahadharisha na kuwasihi raia wa Lebanon 🇱🇧 akiwaomba kushikamana na kutumia wakati huu kuiondosha Hezbollah, Netanyahu amesema kwamba kundi hilo la kigaidi limekuwa likifadhiliwa na Iran ili kulinda interests za Iran mashariki ya kati ikiwa ni pamoja na kuishambulia kijeshi Israel 🇮🇱.

Anaomba walebanoni watumie wakati huu kuifanya Lebanon 🇱🇧 iwe kitovu cha amani mashariki ya kati kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.

Soma Pia: Benjamin Netanyahu: Ukitupiga tunakupiga, hakuna sehemu ndani ya Iran ambayo hatuwezi kufika



View: https://x.com/netanyahu/status/1843694164690846055?t=vWVZnHVLdy0g5URP0Hk3bw&s=19

Si waseme tu wanamamluki wa kiararbu ndani ya lebanon ila ni ngumu kuwarlturn raia vs hizbullah na mbaya zaidi baada ya kutarget viongozi wakuu public opinion siku zote inamfavor anayeonekana kuonewa.
 
Back
Top Bottom