Ujumbe wa Netanyahu kwenda kwa mamlaka ya Lebanon na watu wake

Hayo unayoyaita majengo ya kiraia ndipo wanapojificha hao Hezbollah
Halafu IDF ikitoa maelekezo ya raia kuhama(Kusogea) ili kupisha kichapo, Hezbollah nao wanasogea pamoja na silaha zao(wanahamisha silaha) na hao raia. Silaha nyingine Hezbollah wanazitorosha kuelekea Syria kupitia border Masnaa. Ndo mana Masnaa border crossing eneo limetinduliwa.
 
Kuliuwa joka unaponda kichwa! Kala vichwa hasa! Has never happened in the recent past.
 
Kiongozi wa magaidi kajiteka wengine hawataki kuteuliwa kua viongozi w magaidi. Israel akipata jina la kiongozi mpya anaua kabla hajaja ofisini.
All the best
Kuna kazee flani leo kutoka kundi la Hezbollah, kamesimama kuwatia shime wapiganaji wa Hezbollah na kuhimiza mapambano yaendelee,
Sijui usalama wake kaamua kuutoa rehani?

Maana Israel kapukutisha viongozi wakuu wa Hezbollah zaidi ya 10 kwa muda mfupi kwa mbinu zote za kijeshi na kigaidi yeye anatumia tu kuangamizia viongozi
Kuliuwa joka unaponda kichwa! Kala vichwa hasa! Has never happened in the recent past.
Lakini wapo sahihi.

Maana viongozi hao si ndiyo walifanya vikao na kukubaliana kuleta hayo mabalaa, sasa wanavuna walichokipanda.

Ni mwendo wa kuliwa tu vichwa hukohuko wanakoona wao kuwa wapo mafichoni😁😁
 

Huku si ndiyo kulia lia?

Anamwitisha nani sasa? Anadhani huko kuna waisiraeli wa Buza?

Apambane na hali yake.
 
Na bado wameshindwa kuingia lebanon,kichapo mpakani, wanajificha nyuma ya umoja wa mataifa
Hezbollah wanajificha nyuma ya akina nani kama sio nyuma ya Raia(watoto na wanawake)?Halafu wakiuawa mnasema IDF inaua watoto na wanawake kumbe ingekuwa sahihi zaidi kusema Hezbollah inawatoa kafara watoto na wanawake.
 
Kwqn mwaka 1948 Nan aliwazuia kuwa huru?
 
Israel wameshalaaniwa. Wanapenda sana vita.

Ni hulka ya shetani kupigana na kuchukiana.

Washindwe kwa jina la Yesu wa Nazareth Myahudi mpenda vita kama Mayahudi mengine
Nan Huwa anawatuma mumshambulie , nyiny kushambulia ni ruksa ila wao hawatakiw kujibu SI ndio hoja Yako ? Wakijibu wao wanapenda sana vita , ila waarab mpk huku afrika wanatuletea migogoro hawajui kuishi Kwa amani , au waarabu wa huku afrika nao ni waisrael ?
 
Hayo unayoyaita majengo ya kiraia ndipo wanapojificha hao Hezbollah
Mfano Nasralah, kambi yake ya handaki ilikuwa chini ya majengo ya taasisi za kiraia.

Walipotamani kumuondoa ilibidi wafumbe macho, ili kuondoa tatizo ni kupukutisha majengo yaliyopo juu ili kumfikia 'bwana mkubwa'.
 
He is a dead man walking
 
Mkuu, huwa unafuatilia hii vita kupitia mediaipi? Sshivi wako 60 Km ndani ya Lebanon na mahandaki yanafumuliwa kwa kwenda mbele.
Huyo anasubir akitoka kuswali tarawei masheikh wampe taarifa za Lebanon ndio aje kuzimwaga humu
 
Nanukuu:
"Israel kapukutisha viongozi wakuu wa Hezbollah zaidi ya 10 kwa muda mfupi" Mkuu; Rekebisha hiyo takwimu. Viongozi waliopukutishwa ni 17+ sio 10.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…