Ujumbe wangu kwa wanasiasa wote waislam

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Naomba niwapa darasa kidogo waumini wenzangu wanaisiasa.

Hatujakatazwa kushiriki ktk siasa wala kuwatumikia wananchi kwa njia ya kisiasa.
Siasa ni moja ya kazi binaadam inampatia rizik zake.

1. Watoto kuwapa elimu ya shule na elimu ya dini. Wengi wenu tunawapa watoto elimu ya shule na kuwaacha kutowapa elimu ya dini.

Baada ya kuondoka dunia hii mtoto mwenye dini ndio atakusaidia. Atakuombea dua na atakutolea sadaka ambayo itakuaa na faida kubwa kwako. Mtoto wa shule ukifa tu atakimbilia mali na kuzivuruga. Ukiumwa tu mtoto wa shule bila madrsa atataka ufe atumie mali, huruma hana

2. Kuupa kipaumbele dini yako badala ya siasa. Kuisoma dini yako . Ukifa huzikwi na nyimbo za Chama. Ukifa unazikwa kiislam na dua kwa wingi. Hii inamaana dini ndio kila kitu

MIAISHA YA DUNIA NI MPITO TU. AKHERA NDIO KILA KITU

Sema: Starehe ya dunia ni ndogo, na Akhera ni bora zaidi kwa mwenye kuchamngu...” (Kurani 4:77)

“Na maisha ya dunia si chochote ila ni mchezo na pumbao. Lakini nyumba ya Akhera ni bora zaidi kwa walio mcha Mungu. basi hutaelewa?” (Quran, Al-An'aam: 32)
 
Naomba niwapa darsa kidogo waumini wenzangu wanaisiasa.
Hatujakatazwa kushiriki ktk siasa wala kuwatumikia wananchi kwa njia ya kisiasa.
Siasa ni moja ya kazi binaadam inampatia rizik zake.

MIAISHA YA DUNIA NI MPITO TU. AKHERA NDIO KILA KITU
Ukifa umekufa, hakuna chochote kinaweza kufanywa duniani kubadilisha hali yako huko utakapokuwa.
 
Elimu ya dini haina maana yoyote.

Uache kupeleka mtoto ajifunze computer badala yake umkomalie akariri hadithi zisizo na kichwa wala miguu?

Wa kwako mpeleke huko kwenye elimu ya dini.

Mbinguni nenda wewe, kwani mtu mwingine asipoenda wewe unaumiia nini?
 
Waislamu bwana hahahahha
 
Elimu ya kiroho labda itasaidia waache uporaji huu unaotishia ustawi wa hili Tafa.

Maana Wanasiasa na Watumishi wa Umma wamekuwa ni wezi wa kutisha kabisa.
 
Watoto hawana hata muda kwa kwenda madrasa kwa wanavyo banwu kutok saa 12 jioni akirudi bize na kazi za shule bado tuition jmosi na. Jpil. Hadi likizo wanaenda shule..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…