Ujumbe wangu kwa wanasiasa wote waislam

Ujumbe wangu kwa wanasiasa wote waislam

Mwanasiasa ambae alikuwa Atheist alikuwa ni Hayati Kingunge Ngombale Mwiru na alikuwa hana kashfa ya kuliibia Taifa tofauti na hawa wanaojifanya kuwa wana Dini na mafundisho na wanaapa kwa kutumia Vitabu vya Dini.
 
Mwanasiasa ambae alikuwa Atheist alikuwa ni Hayati Kingunge Ngombale Mwiru na alikuwa hana kashfa ya kuliibia Taifa tofauti na hawa wanaojifanya kuwa wana Dini na mafundisho na wanaapa kwa kutumia Vitabu vya Dini.
Sasa unamjua anaishi vipi huko aliko? Pengine anajuta kwanini hakuwa muislam( Wallah aalam)
 
Unatawaliwa na muislam alienda madrsa. Tundu Lissu muulize vipi alienda sem na alienda madrsa bora yupi?
Udini umekujaa, Tundu Lissu kaingiaje kwenye hoja ya dini yenu? Au huyo anaeongoza pamoja na madrasa yake ni jipya lipi alilonalo kuliko hao wengine?

Shikeni huo Uarabu wenu, wala hakuna mtu mwenye shida na dini inayofundisha watu ugaidi na kujilipua mabomu.
 
Udini umekujaa, Tundu Lissu kaingiaje kwenye hoja ya dini yenu? Au huyo anaeongoza pamoja na madrasa yake ni jipya lipi alilonalo kuliko hao wengine?

Shikeni huo Uarabu wenu, wala hakuna mtu mwenye shida na dini inayofundisha watu ugaidi na kujilipua mabomu.
Muulize lissu ukhti aliesoma madrasa na yule aliesoma seminary nani bora? Hio ndio hoja. Mbona umekasirika hivyo?
 
Naomba niwapa darasa kidogo waumini wenzangu wanaisiasa.

Hatujakatazwa kushiriki ktk siasa wala kuwatumikia wananchi kwa njia ya kisiasa.
Siasa ni moja ya kazi binaadam inampatia rizik zake.

1. Watoto kuwapa elimu ya shule na elimu ya dini. Wengi wenu tunawapa watoto elimu ya shule na kuwaacha kutowapa elimu ya dini.

Baada ya kuondoka dunia hii mtoto mwenye dini ndio atakusaidia. Atakuombea dua na atakutolea sadaka ambayo itakuaa na faida kubwa kwako. Mtoto wa shule ukifa tu atakimbilia mali na kuzivuruga

2. Kuupa kipaumbele dini yako badala ya siasa. Kuisoma dini yako . Ukifa huzikwi na nyimbo za Chama. Ukifa unazikwa kiislam na dua kwa wingi. Hii inamaana dini ndio kila kitu

MIAISHA YA DUNIA NI MPITO TU. AKHERA NDIO KILA KITU


Sema: Starehe ya dunia ni ndogo, na Akhera ni bora zaidi kwa mwenye kuchamngu...” (Kurani 4:77)
kwahyo mudi aliwambia chanzo cha joto ni kupumua kwa jehanam😂
 
Udini umekujaa, Tundu Lissu kaingiaje kwenye hoja ya dini yenu? Au huyo anaeongoza pamoja na madrasa yake ni jipya lipi alilonalo kuliko hao wengine?

Shikeni huo Uarabu wenu, wala hakuna mtu mwenye shida na dini inayofundisha watu ugaidi na kujilipua mabomu.
Mfuasi wa gwaji boy. Anakulisha sumu ktk mahubiri yake
 
Hakuna mtu anataka mwanae akafundishwe ugaidi.
Maryam, mama yake Isa (YESU) ni miongoni mwa wanawake wanaoheshimika miongoni mwa Waislamu. Mwenyezi Mungu alimfanya kuwa msafi na akamchagua kutoka miongoni mwa wanawake wote. Isa (AS) alishuhudia usafi na wema wa mama yake akiwa angali mtoto mchanga. “(Mtoto) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii. Na amenijaalia ni mwenye kubarikiwa popote pale niwapo. Na ameniusia Sala na Zaka maadamu ni hai, Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu. Na amani iko juu yangu siku niliyo zaliwa, na siku nitakayo kufa, na siku nitakayo fufuliwa kuwa hai." ( Aya ya 30-33 ).
 
Naomba niwapa darasa kidogo waumini wenzangu wanaisiasa.

Hatujakatazwa kushiriki ktk siasa wala kuwatumikia wananchi kwa njia ya kisiasa.
Siasa ni moja ya kazi binaadam inampatia rizik zake.

1. Watoto kuwapa elimu ya shule na elimu ya dini. Wengi wenu tunawapa watoto elimu ya shule na kuwaacha kutowapa elimu ya dini.

Baada ya kuondoka dunia hii mtoto mwenye dini ndio atakusaidia. Atakuombea dua na atakutolea sadaka ambayo itakuaa na faida kubwa kwako. Mtoto wa shule ukifa tu atakimbilia mali na kuzivuruga

2. Kuupa kipaumbele dini yako badala ya siasa. Kuisoma dini yako . Ukifa huzikwi na nyimbo za Chama. Ukifa unazikwa kiislam na dua kwa wingi. Hii inamaana dini ndio kila kitu

MIAISHA YA DUNIA NI MPITO TU. AKHERA NDIO KILA KITU


Sema: Starehe ya dunia ni ndogo, na Akhera ni bora zaidi kwa mwenye kuchamngu...” (Kurani 4:77)
Badala ya kufanya yaliyomema na kuendana na njia ya Mungu nyiye mnasubiri dua za watoto wenu baada ya kufariki!! Dini nyingine zinawafanya watu wawe kama misukule.
 
Elimu yenyewe kama hii ina faida gani?
20231124_110348.png
 
Elimu yenyewe kama hii ina faida gani?View attachment 2826970
Maryam, mama yake Isa (YESU) ni miongoni mwa wanawake wanaoheshimika miongoni mwa Waislamu. Mwenyezi Mungu alimfanya kuwa msafi na akamchagua kutoka miongoni mwa wanawake wote. Isa (AS) alishuhudia usafi na wema wa mama yake akiwa angali mtoto mchanga. “(Mtoto) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii. Na amenijaalia ni mwenye kubarikiwa popote pale niwapo. Na ameniusia Sala na Zaka maadamu ni hai, Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu. Na amani iko juu yangu siku niliyo zaliwa, na siku nitakayo kufa, na siku nitakayo fufuliwa kuwa hai." ( Aya ya 30-33)

WAKIRISTO SOMENI MAANDIKO HAYA KUTOKA QURAN
 
Maryam, mama yake Isa (YESU) ni miongoni mwa wanawake wanaoheshimika miongoni mwa Waislamu. Mwenyezi Mungu alimfanya kuwa msafi na akamchagua kutoka miongoni mwa wanawake wote. Isa (AS) alishuhudia usafi na wema wa mama yake akiwa angali mtoto mchanga. “(Mtoto) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii. Na amenijaalia ni mwenye kubarikiwa popote pale niwapo. Na ameniusia Sala na Zaka maadamu ni hai, Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu. Na amani iko juu yangu siku niliyo zaliwa, na siku nitakayo kufa, na siku nitakayo fufuliwa kuwa hai." ( Aya ya 30-33 ).
Halafu muache wizi kwa mababu na mabibi wa wayahudi,babu zao na bibi zao mnawataka lakini wajukuu hamuwataki,acheni hizo.
 
Back
Top Bottom