Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unamjua anaishi vipi huko aliko? Pengine anajuta kwanini hakuwa muislam( Wallah aalam)Mwanasiasa ambae alikuwa Atheist alikuwa ni Hayati Kingunge Ngombale Mwiru na alikuwa hana kashfa ya kuliibia Taifa tofauti na hawa wanaojifanya kuwa wana Dini na mafundisho na wanaapa kwa kutumia Vitabu vya Dini.
Anakula Bata tu, ukifa umekufa Mura.Sasa unamjua anaishi vipi huko aliko? Pengine anajuta kwanini hakuwa muislam( Wallah aalam)
Endelea kufikiri hivyo. Fikra za kukuAnakula Bata tu, ukifa umekufa Mura.
Kwanza ni upuuzi tu, watu wapige shule haswaBora hata wasiwape hiyo elimu maana watoto wakijazwa hayo mafundisho hawakawii kijiripua ili wawahi bikra 72,nani anataka huo ujinga,wengi wanazidi kushtuka.
Naunga mkono hojaMods pelekeni huu uzi jukwaa la dini
Nyinyi mumesoma tz imekuwa maskiniKwanza ni upuuzi tu, watu wapige shule haswa
Ndio nyinyi Sunday schoolNaunga mkono hoja
Udini umekujaa, Tundu Lissu kaingiaje kwenye hoja ya dini yenu? Au huyo anaeongoza pamoja na madrasa yake ni jipya lipi alilonalo kuliko hao wengine?Unatawaliwa na muislam alienda madrsa. Tundu Lissu muulize vipi alienda sem na alienda madrsa bora yupi?
Leta ushahidi wa Mtu aliyekufa halafu akarudi kuhadithia?Endelea kufikiri hivyo. Fikra za kuku
Muulize lissu ukhti aliesoma madrasa na yule aliesoma seminary nani bora? Hio ndio hoja. Mbona umekasirika hivyo?Udini umekujaa, Tundu Lissu kaingiaje kwenye hoja ya dini yenu? Au huyo anaeongoza pamoja na madrasa yake ni jipya lipi alilonalo kuliko hao wengine?
Shikeni huo Uarabu wenu, wala hakuna mtu mwenye shida na dini inayofundisha watu ugaidi na kujilipua mabomu.
kwahyo mudi aliwambia chanzo cha joto ni kupumua kwa jehanam😂Naomba niwapa darasa kidogo waumini wenzangu wanaisiasa.
Hatujakatazwa kushiriki ktk siasa wala kuwatumikia wananchi kwa njia ya kisiasa.
Siasa ni moja ya kazi binaadam inampatia rizik zake.
1. Watoto kuwapa elimu ya shule na elimu ya dini. Wengi wenu tunawapa watoto elimu ya shule na kuwaacha kutowapa elimu ya dini.
Baada ya kuondoka dunia hii mtoto mwenye dini ndio atakusaidia. Atakuombea dua na atakutolea sadaka ambayo itakuaa na faida kubwa kwako. Mtoto wa shule ukifa tu atakimbilia mali na kuzivuruga
2. Kuupa kipaumbele dini yako badala ya siasa. Kuisoma dini yako . Ukifa huzikwi na nyimbo za Chama. Ukifa unazikwa kiislam na dua kwa wingi. Hii inamaana dini ndio kila kitu
MIAISHA YA DUNIA NI MPITO TU. AKHERA NDIO KILA KITU
Sema: Starehe ya dunia ni ndogo, na Akhera ni bora zaidi kwa mwenye kuchamngu...” (Kurani 4:77)
Mfuasi wa gwaji boy. Anakulisha sumu ktk mahubiri yakeUdini umekujaa, Tundu Lissu kaingiaje kwenye hoja ya dini yenu? Au huyo anaeongoza pamoja na madrasa yake ni jipya lipi alilonalo kuliko hao wengine?
Shikeni huo Uarabu wenu, wala hakuna mtu mwenye shida na dini inayofundisha watu ugaidi na kujilipua mabomu.
Hakuna mtu anataka mwanae akafundishwe ugaidi.Ndio nyinyi Sunday school
Maryam, mama yake Isa (YESU) ni miongoni mwa wanawake wanaoheshimika miongoni mwa Waislamu. Mwenyezi Mungu alimfanya kuwa msafi na akamchagua kutoka miongoni mwa wanawake wote. Isa (AS) alishuhudia usafi na wema wa mama yake akiwa angali mtoto mchanga. “(Mtoto) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii. Na amenijaalia ni mwenye kubarikiwa popote pale niwapo. Na ameniusia Sala na Zaka maadamu ni hai, Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu. Na amani iko juu yangu siku niliyo zaliwa, na siku nitakayo kufa, na siku nitakayo fufuliwa kuwa hai." ( Aya ya 30-33 ).Hakuna mtu anataka mwanae akafundishwe ugaidi.
Badala ya kufanya yaliyomema na kuendana na njia ya Mungu nyiye mnasubiri dua za watoto wenu baada ya kufariki!! Dini nyingine zinawafanya watu wawe kama misukule.Naomba niwapa darasa kidogo waumini wenzangu wanaisiasa.
Hatujakatazwa kushiriki ktk siasa wala kuwatumikia wananchi kwa njia ya kisiasa.
Siasa ni moja ya kazi binaadam inampatia rizik zake.
1. Watoto kuwapa elimu ya shule na elimu ya dini. Wengi wenu tunawapa watoto elimu ya shule na kuwaacha kutowapa elimu ya dini.
Baada ya kuondoka dunia hii mtoto mwenye dini ndio atakusaidia. Atakuombea dua na atakutolea sadaka ambayo itakuaa na faida kubwa kwako. Mtoto wa shule ukifa tu atakimbilia mali na kuzivuruga
2. Kuupa kipaumbele dini yako badala ya siasa. Kuisoma dini yako . Ukifa huzikwi na nyimbo za Chama. Ukifa unazikwa kiislam na dua kwa wingi. Hii inamaana dini ndio kila kitu
MIAISHA YA DUNIA NI MPITO TU. AKHERA NDIO KILA KITU
Sema: Starehe ya dunia ni ndogo, na Akhera ni bora zaidi kwa mwenye kuchamngu...” (Kurani 4:77)
Maryam, mama yake Isa (YESU) ni miongoni mwa wanawake wanaoheshimika miongoni mwa Waislamu. Mwenyezi Mungu alimfanya kuwa msafi na akamchagua kutoka miongoni mwa wanawake wote. Isa (AS) alishuhudia usafi na wema wa mama yake akiwa angali mtoto mchanga. “(Mtoto) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii. Na amenijaalia ni mwenye kubarikiwa popote pale niwapo. Na ameniusia Sala na Zaka maadamu ni hai, Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu. Na amani iko juu yangu siku niliyo zaliwa, na siku nitakayo kufa, na siku nitakayo fufuliwa kuwa hai." ( Aya ya 30-33)Elimu yenyewe kama hii ina faida gani?View attachment 2826970
Halafu muache wizi kwa mababu na mabibi wa wayahudi,babu zao na bibi zao mnawataka lakini wajukuu hamuwataki,acheni hizo.Maryam, mama yake Isa (YESU) ni miongoni mwa wanawake wanaoheshimika miongoni mwa Waislamu. Mwenyezi Mungu alimfanya kuwa msafi na akamchagua kutoka miongoni mwa wanawake wote. Isa (AS) alishuhudia usafi na wema wa mama yake akiwa angali mtoto mchanga. “(Mtoto) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii. Na amenijaalia ni mwenye kubarikiwa popote pale niwapo. Na ameniusia Sala na Zaka maadamu ni hai, Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu. Na amani iko juu yangu siku niliyo zaliwa, na siku nitakayo kufa, na siku nitakayo fufuliwa kuwa hai." ( Aya ya 30-33 ).