sio kweli kuna wanawake wasanii wafanya biashara wakubwa namakahaba ukahaba kwengine ni kazi wengine sitareheKama serikali itaweza kumaliza tatizo la ajira na hata la ukahaba litaisha.
Kwani makahaba wanavunja Sheria gani ya nchi? Kama mna nia ya kupambana na ukahaba tungeni Sheria maalum ya kutamka ukahaba kwa namna yoyote iwe ni kosa la jinai.Habari wana jukwaa...
Ukahaba unaweza kupungua ila kuisha kabisa sina uhakika. Ila huu ukahaba wa waziwazi ndo tabu kiukweli.
Chanzo cha habari (Jamvi Tv) kimeripoti kuwa serikali imeshindwa kuthibiti biashara ya ukahaba .. serikali imeshindwa vipi? Au wateja ndo hao hao.
Serikali si washikaji wenzetu.
Swala dogo sana kukomesha ukahaba kwanza kuna njia mbili hapa naziona.
Nchi iongozwe kwa misingi ya dini ya kiislamu.
Au wafunge bar, casino,club, saloon zenye huduma ya massage nadhani hapa watakuwa wamefika hata asilimia 70.
Serikali haiwezi kusema imeshindwa kuthibiti ukahaba ilo nakataa kabisa sema kwakuwa wanunuzi nao wako serikalini inakuwa ngumu sana kuwa na mikakati thabiti.
π Jiulize hao makahaba pindi wanapokamatwa mbona wanaonga pesa na wanatolewa. Afu kufanya kazi ya ukahaba ni upungufu wa MAARIFA afu akili chenga.
π Wasichana wanatoka mikoani kuja dar kufanya shughuri za ukahaba mwingine anakuja kujificha bar kuwa yeye ni mhudumu wa bar kumbe anauza sangara.
Wanakataa kuuza karanga wanaona wauze miili yao .
π naomba tujadili hili maana uku vingunguti tabata wanauza wazi wazi.
Yaani ulivyoanza tu kutaja mambo ya dini nimekuona wa hovyo nimeacha kusoma.Habari wana jukwaa...
Ukahaba unaweza kupungua ila kuisha kabisa sina uhakika. Ila huu ukahaba wa waziwazi ndo tabu kiukweli.
Chanzo cha habari (Jamvi Tv) kimeripoti kuwa serikali imeshindwa kuthibiti biashara ya ukahaba .. serikali imeshindwa vipi? Au wateja ndo hao hao.
Serikali si washikaji wenzetu.
Swala dogo sana kukomesha ukahaba kwanza kuna njia mbili hapa naziona.
Nchi iongozwe kwa misingi ya dini ya kiislamu.
Au wafunge bar, casino,club, saloon zenye huduma ya massage nadhani hapa watakuwa wamefika hata asilimia 70.
Serikali haiwezi kusema imeshindwa kuthibiti ukahaba ilo nakataa kabisa sema kwakuwa wanunuzi nao wako serikalini inakuwa ngumu sana kuwa na mikakati thabiti.
π Jiulize hao makahaba pindi wanapokamatwa mbona wanaonga pesa na wanatolewa. Afu kufanya kazi ya ukahaba ni upungufu wa MAARIFA afu akili chenga.
π Wasichana wanatoka mikoani kuja dar kufanya shughuri za ukahaba mwingine anakuja kujificha bar kuwa yeye ni mhudumu wa bar kumbe anauza sangara.
Wanakataa kuuza karanga wanaona wauze miili yao .
π naomba tujadili hili maana uku vingunguti tabata wanauza wazi wazi.
Labda faida ni nyingi kuliko hasaraHabari wana jukwaa...
Ukahaba unaweza kupungua ila kuisha kabisa sina uhakika. Ila huu ukahaba wa waziwazi ndo tabu kiukweli.
Chanzo cha habari (Jamvi Tv) kimeripoti kuwa serikali imeshindwa kuthibiti biashara ya ukahaba .. serikali imeshindwa vipi? Au wateja ndo hao hao.
Serikali si washikaji wenzetu.
Swala dogo sana kukomesha ukahaba kwanza kuna njia mbili hapa naziona.
Nchi iongozwe kwa misingi ya dini ya kiislamu.
Au wafunge bar, casino,club, saloon zenye huduma ya massage nadhani hapa watakuwa wamefika hata asilimia 70.
Serikali haiwezi kusema imeshindwa kuthibiti ukahaba ilo nakataa kabisa sema kwakuwa wanunuzi nao wako serikalini inakuwa ngumu sana kuwa na mikakati thabiti.
π Jiulize hao makahaba pindi wanapokamatwa mbona wanaonga pesa na wanatolewa. Afu kufanya kazi ya ukahaba ni upungufu wa MAARIFA afu akili chenga.
π Wasichana wanatoka mikoani kuja dar kufanya shughuri za ukahaba mwingine anakuja kujificha bar kuwa yeye ni mhudumu wa bar kumbe anauza sangara.
Wanakataa kuuza karanga wanaona wauze miili yao .
π naomba tujadili hili maana uku vingunguti tabata wanauza wazi wazi.
We ndo naona unaupungufu wa maarifa pamoja na dada zako...hao wauza mbunye.. kila mtu akiwa na shida ndo auze mbunye dada ako unapenda afanye kazi hiyo hata kama kakosa ajira. ... wangapi wadada wanatafuta hela tofauti na kuuza mwili wao. We naona uko na akili finyu sana.Una upungufu wa maarifa Yaani badala ya serikali imalize umaskini unataka wafuatilie wauza mbususu , hawauzi kwa kutaka wengi wao , wanauza kwa sababu ya njaa tu na shida .
Serikali itoe ajira au ieke modalities za kuvuta wawekezaji watoe ajira ,umalaya utapungua asilimia 98%
Fact sana bro umenenaππππUkahaba unasababishwa na malezi mabaya kwa watoto, uvivu, upagani, kukosa malezi, mtoto kukuzwa na mzazi anaejihusisha na ukahaba, umasikini na kutaka kujipatia utajiri wa haraka. Inasikitisha sana mabinti na wanawake kujiuza mtandaoni, korido na kwenye maduka ya vinywaji. Vijana wa kiume acheni ushoga na kampeni yenu ya kataa ndoa
zina wafanya wanakuwa na matumbo makubwa.Nipo Tandika mtaa wa Soweto , nawaona wadada wamekaa katika sturi kimuonekano wa nje wanaonekana wamechoka Sana hakika Mkuyenge unazeesha Sana na Papuchi zinaua maana wazee wa Mtaa wamekufa wote na wamebaki vijana tu wa mwaka 2000+
Wanawake bado mna safari ndefu Sana na mna roho ngumu hivi mnawezaje kuhimili bakora tofauti tofauti za watoto wa mwaka 2000+ maana wazee wote wamekufa kwa kuendekeza Papuchi.
Basi nahitimisha kwa kusema hii Kazi ni ngumu Sana maana wadada wamechoka hatari na wazee wote wamekufa