Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,971
- 4,085
Makahaba wanaojielewa siku hizi hawajiuzi huko bar, sjui casino wajanja wamehama huko.
Kwa taarifa yako makahaba saivi wanajiuza online kwenye magroup ya whasap, telegram na mitandao mingine.
Yaani mtu kalala kwake akipata mteja wanakutana Lodge imeisha.
Kwa taarifa yako makahaba saivi wanajiuza online kwenye magroup ya whasap, telegram na mitandao mingine.
Yaani mtu kalala kwake akipata mteja wanakutana Lodge imeisha.