Mtu haoneshi dalili hata baada ya siku 14 kupitaHospitali tajwa wagonjwa wamepunguaje bila kupimwa?! Kipimo si Kibovu jamani!?
Dunia wanatusaidia nini?Sawa mkuu,lakini ingekuwa vyema kuwaeleza watanzania na dunia kuwa mmetumia strategies zipi kuupunguza
Bora useme na weweKwa hiyo Rais hashirikishi akili? We jamaa una akili vizuri?
Wewe kuandika tu hujui "kalibuni kwa maoni" hiyo sio typing error ni kwamba akili yako imeshindwa kutofautisha R na L, sasa tuambie kati ya Rais na wewe nani hashirikishi akili yake?
Madereva ni sehemu ya watu waliopimwa mpakani kabla ya kuvuka. Na gari inaruhusiwa kupita na dereva tu. Kama na mautingo wakipimwa itakuwa aibu kubwa. Kifupi hatuna uwezo wa kupima watu wetu na wachache waliokuwa wakipimwa vipimo vimesimamishwa. Takwimu yoyote baada ya hapo ni batili. Na kwa mtifuano wa fukuzafukuza wizara ya afya, ni wanajeshi tu wanaweza kustahimili teuzi za enzi hii.Inawezekana pia.
Kwanini madereva tu ndo wawe wataambukizwa corona?.
Vipi raia wao wa kawaida?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya tujenge hoja sasa maana naona umeshindwa kujenga hoja.Unatuambia bila aibu kuwa rais wetu hatumii akili?? Wewe ndiye huna akili.
Unamdhalilisha rais wetu na nchi yetu,
Kama unawaamini zaidi wazungu hamia kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Waache wazungu na vibaraka wao wajifungieTumieni hata akili za ukoo mzima kumtafakari na kumchambua Rais, sitojifungia ndani kama nilivyofanya wiki mbil za mwisho wa mwezi wa 3 na mbili za mwezi wa 4 kwa kuongozwa na kina BBC na akina Kigogo. Nimetoka na nitatoka hadi niambiwe tofauti na Rais wangu!. Kujitia hofu zisizo na sababu kwa maslahi ya Mpumbavu mmoja au kikundi NO.
Waenezaji wa hofuMwambie basi arudi ikulu.. utapoteza ndugu zako kwa uiinga wakati yeye na familia yake wanakunywa chai ya jasho lako.
Kaburini hakuna mjadala, ukitoka imetoka.
Kumbuka kwa sasa
1. Hakuna kupima corona
2. Mtu akifa hakuna kupima corona
3. Ukifa utazikwa na ndugu zako na sababu ya kifo utajua wewe na ndugu zako.
4. Hakuna kulazwa hospitali kwa mgonjwa yeyote mwenye dalili za corona.
Chunga maisha yako na ndugu zako. Kaburini hakuna ukada wala ccm.
Kwa hiyo tujifungie ndani hadi lini??Na mwisho wa kujiondoa akili ni kufukiwa na city.Corona inaua tena haraka sana
Habari ya mda huu wanajanvi!
Bila kupoteza mda, kutokana na kauli iliyo tolewa na muheshimiwa Rais juu ya maendeleo ya ugonjwa wa Corona hapa nchini.
Kwa mtu mwenye mtazamo mpana kimsingi ni kauli inayo pelekea mtu ajiulize maswali mengi na pengine yasiwe na majibu:-
Ikiwa Rais yeye mwenyewe kwa kinywa chake alikili kuwa mashine za kupimia virusi vya Covid-19 zina matatizo, imewezekanaje akazipata takwimu hizo za wagonjwa wa Corona?
Amewezaje kuziamini takwimu hizo kama ni sahihi?
Ikiwa maendeleo dhidi ya udhibiti wa ugonjwa wa Corona nchini ni mazuli, inakuwaje madereva wa magari ya mizigo kutokea upande wa Tanzania wakutwe na maambukizi ya virusi vya Covid-19?
Inamaana Kenya, Uganda, Rwanda, Zambia wanahuhadaa ulimwengu kuwa idadi kubwa ya watanzania wameathirika na virusi vya Covid-19. Wanafanya hivyo kwa faida ya nani?
Muheshimiwa Rais anapofikilia kutoa maamuzi juu ya ufunguzi wa vyuo nchini, anahuakika gani kuwa maambukizi yameisha mitaani. Ametumia mbinu gani kuwapima wananchi wote nakuthibitisha hilo?
Linapo kuja swala la kufunguwa vyuo hapa nchini Rais atambue kwamba kuna wanafunzi wanaotokea nnje ya nchi na wanasoma hapa nchini.
Kimsingi Rais anatowa maamzi kwa kupaniki na bila ya kushirikisha akili yake. Rais anataka kila mtu akubaliane na mawazo yake.
Kuwa Rais hakukufanyi wewe uonekane una akili nyingi na mitazamo mipana kuliko wananchi wote unao waongoza. Hata mtu wa mwisho darasani kwenye mitihani anaweza akapewa dhamana ya kuwa kiongozi.
Kalibuni kwa maoni...
Not everyone is willing to take the risk!
Mkuu wakikujibu nitagi.Leo Rais katutangazia kwamba ugonjwa wa corona una pungua Tanzania na kutoa data. Pia amesema mtoto wake aliugua na sasa amepona.
Juzi juzi alituambia wapimaji wana tumiwa na mabeberu na mashine zina pima hata sample za mbuzi na kutoa majibu ya positive. Na sasa maabara iko kwenye uchunguzi.
Sasa nauliza, hivi matokeo ya vipimo amepimia maabara hiyo hiyo au?
Madereva ni sehemu ya watu waliopimwa mpakani kabla ya kuvuka. Na gari inaruhusiwa kupita na dereva tu. Kama na mautingo wakipimwa itakuwa aibu kubwa. Kifupi hatuna uwezo wa kupima watu wetu na wachache waliokuwa wakipimwa vipimo vimesimamishwa. Takwimu yoyote baada ya hapo ni batili. Na kwa mtifuano wa fukuzafukuza wizara ya afya, ni wanajeshi tu wanaweza kustahimili teuzi za enzi hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo unayajua wewe, tunachojua sisi ni kwamba Corona imepungua makali yake hapa nchini na muda sio mrefu shughuli zote zitarudi kama kawaida.
Kijana, Raisi wa nchi sio mtu mmoja ni taasisi kubwa sana na yenye nguvu na uwezo. Taasisi ya uraisi inautaalamu wa kila aina, ina uwezo wa kupata taarifa zote muhimu ya jambo lolote kwa wakati wowote. Endelea kujifunza utaelewa nina maana gani.Habari ya mda huu wanajanvi!
Bila kupoteza mda, kutokana na kauli iliyo tolewa na muheshimiwa Rais juu ya maendeleo ya ugonjwa wa Corona hapa nchini.
Kwa mtu mwenye mtazamo mpana kimsingi ni kauli inayo pelekea mtu ajiulize maswali mengi na pengine yasiwe na majibu:-
Ikiwa Rais yeye mwenyewe kwa kinywa chake alikili kuwa mashine za kupimia virusi vya Covid-19 zina matatizo, imewezekanaje akazipata takwimu hizo za wagonjwa wa Corona?
Amewezaje kuziamini takwimu hizo kama ni sahihi?
Ikiwa maendeleo dhidi ya udhibiti wa ugonjwa wa Corona nchini ni mazuli, inakuwaje madereva wa magari ya mizigo kutokea upande wa Tanzania wakutwe na maambukizi ya virusi vya Covid-19?
Inamaana Kenya, Uganda, Rwanda, Zambia wanahuhadaa ulimwengu kuwa idadi kubwa ya watanzania wameathirika na virusi vya Covid-19. Wanafanya hivyo kwa faida ya nani?
Muheshimiwa Rais anapofikilia kutoa maamuzi juu ya ufunguzi wa vyuo nchini, anahuakika gani kuwa maambukizi yameisha mitaani. Ametumia mbinu gani kuwapima wananchi wote nakuthibitisha hilo?
Linapo kuja swala la kufunguwa vyuo hapa nchini Rais atambue kwamba kuna wanafunzi wanaotokea nnje ya nchi na wanasoma hapa nchini.
Kimsingi Rais anatowa maamzi kwa kupaniki na bila ya kushirikisha akili yake. Rais anataka kila mtu akubaliane na mawazo yake.
Kuwa Rais hakukufanyi wewe uonekane una akili nyingi na mitazamo mipana kuliko wananchi wote unao waongoza. Hata mtu wa mwisho darasani kwenye mitihani anaweza akapewa dhamana ya kuwa kiongozi.
Kalibuni kwa maoni...
Not everyone is willing to take the risk!
Thank youTunapoteza uelekeo kujadili mtu badala ya Corona. Sijawahi kumsikia mh.Rais akizuia kujifungia unao uhuru wa kujifungia kama utaona inakusaidia lakini pia tafakari haya:-The number of deaths in the world in the last two months of 2020
14,687 : Corona virus
69,602 : Common cold
140,584 : Malaria
153,696 : suicide
193,479 : road accidents
240,950 : HIV loss
358,471 : alcohol
716,498 : smoking
1,177,141 : Cancer
Then do you think Corona is dangerous?
Or
is the purpose of the media campaign to settle the trade war between China and America
or
to reduce financial markets to prepare the stage of financial markets for mergers and acquisitions
or
to sell US Treasury bonds to cover the fiscal deficit in them
Or
Is it a Panic created by Pharma companies to sell their products like sanitizer, masks, medicine etc.
Do not Panic & don't kill urself with unecessary fear:I am posting this to balance your newsfeed from posts that caused fear and panic.
338,724 People are sick with Coronavirus at the moment, of which 81,093 are in China. With a population of over 1.1 billion. This means that if you are not in or haven't recently visited China, this should eliminate 94% of your concern.
If you do contract Coronavirus, this still is not a cause for panic because:
81% of the Cases are MILD
14% of the Cases are MODERATE
Only 5% of the Cases are CRITICAL
Which means that even if you do get the virus, you are most likely to recover from it.
Some have said, “but this is worse than SARS!”. SARS had a fatality rate of 10% while COVID-19 has a fatality rate of 2%
Moreover, looking at the ages of those who are dying of this virus, the death rate for the people UNDER 50 years of age is only 0.2%
This means that: if you are under 50 years of age and don't live in China - you are more likely to win the lottery (which has a 1 in 45,000,000 chance)
Sunday 22nd March in Italy 793 died.
Let’s take one of the worst days so far, the 10th of February, when 108 people in CHINA died of Coronavirus.
On the same day:
26,283 people died of Cancer
24,641 people died of Heart Disease
4,300 people died of Diabetes
Suicide took 28 times more lives than the virus did.
Mosquitoes kill 2,740 people every day, HUMANS kill 1,300 fellow humans every day, and Snakes kill 137 people every day. (Sharks kill 2 people a year)
TAKE MULTI VITAMINS AND DO THE DAILY THINGS TO SUPPORT YOUR IMMUNE SYSTEM , PROPER HYGIENE AND DO NOT LIVE IN FEAR.
Sent using Jamii Forums mobile app