shabanmbarak
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 1,178
- 1,150
huko Kenya ,sudan kusini na Uganda chanzo cha ukame ni nin?Magufuli alikuwa baba haambiliki na taarifa za wataalamu alisema fake wametumwa na mabeberu wanatuonea wivu, madhara yake twaona vuli imekata na miji ka Dar na pwani joto limezidi kupita kiasi huo msitu ulikuwa sehemu ya kupumulia Tanzania, hafu umeme wenyewe bwawa kujaa ni kudra za Mungu. Kiukweli kukata huo msitu ulikuwa ubinafsi wa kiwango Cha sgr ni hatari kuwa na viongozi wasioambilika na wasiojali vizazi vijavyo.
Itengwe siku ya kitaifa ya kufukua kaburi lake na kuichapa maiti yake. Alijuwa mshamba na limbukeni mkubwa huyu.Magufuli alikuwa baba haambiliki na taarifa za wataalamu alisema fake wametumwa na mabeberu wanatuonea wivu, madhara yake twaona vuli imekata na miji ka Dar na pwani joto limezidi kupita kiasi huo msitu ulikuwa sehemu ya kupumulia Tanzania, hafu umeme wenyewe bwawa kujaa ni kudra za Mungu. Kiukweli kukata huo msitu ulikuwa ubinafsi wa kiwango Cha sgr ni hatari kuwa na viongozi wasioambilika na wasiojali vizazi vijavyo.
Tulionya hili tukasemwa vibaya sana..Magufuli alikuwa hashauriki. Miti 2.7 Milioni ilikatwa kwenye pori la akiba la Selous kupisha ujenzi wa mradi wa umeme wa JNHEP. Idadi hiyo ya miti ikiwekwa ardhini ni sawa na eneo lote la mkoa wa Dar es Salaam
View attachment 2399516
Hilo huwa ni lijinga tokea tumboni mwa mama yake,kuli jibu nikupoteza muda wako tuu.Mito mikubwa Ulaya kama Rhine na Danube ilikauka mwaka huu sababu ya ukame. Ina uhusiano na hiyo miti iliyokatwa Selous?
Jaribuni kufuta ujinga.
Za kuambiwa changanya na zakoMagufuli alikuwa hashauriki. Miti 2.7 Milioni ilikatwa kwenye pori la akiba la Selous kupisha ujenzi wa mradi wa umeme wa JNHEP. Idadi hiyo ya miti ikiwekwa ardhini ni sawa na eneo lote la mkoa wa Dar es Salaam
View attachment 2399516
KibarakaMagufuli alikuwa baba haambiliki na taarifa za wataalamu alisema fake wametumwa na mabeberu wanatuonea wivu, madhara yake twaona vuli imekata na miji ka Dar na pwani joto limezidi kupita kiasi huo msitu ulikuwa sehemu ya kupumulia Tanzania, hafu umeme wenyewe bwawa kujaa ni kudra za Mungu. Kiukweli kukata huo msitu ulikuwa ubinafsi wa kiwango Cha sgr ni hatari kuwa na viongozi wasioambilika na wasiojali vizazi vijavyo.
... uko sahihi kabisa Mkuu ila pamoja na hayo, kama nchi ni lazima tuchukue hatua kukabiliana nalo. Kinyume chake tunaendelea kuharibu mazingira kwa kasi ya kutisha kana kwamba likishakuwa tatizo la kidunia basi ruksa kuharibu ya kwetu kwa sababu ni tatizo la kila mahali. Haikubailiki.Mabadiliko ya tabia ya nchi ni tatizo la kidunia mkuu, sio Tz tu.
... huko wana vyanzo vyao vya ukame ila sio justification ya sisi ku-create vyanzo vipya vya tatizo! Utasikia wengine wakijaribu kuhalalisha tatizo eti mbona hata huko China mabwawa yamekauka kwa kukosa mvua kana kwamba China na kwingineko duniani kukiwa na matatizo ya kimazingira ni justification kwetu kuharibu ya kwetu! Thinking za ajabu kabisa.huko Kenya ,sudan kusini na Uganda chanzo cha ukame ni nin?
yani huyo ni mjinga kabisa .nchi imekabidhiwa kwa machifu halafu anasingizia marehemuHivi shuleni ulienda kusomea ujinga?
Utasikia Magufuli alifika hadi huko Rhine na Danube.Mito mikubwa Ulaya kama Rhine na Danube ilikauka mwaka huu sababu ya ukame. Ina uhusiano na hiyo miti iliyokatwa Selous?
Jaribuni kufuta ujinga.
Huko vijiweni kunawaharibu akili TAFUTENI shughuli za kufanya.Magufuli alikuwa hashauriki. Miti 2.7 Milioni ilikatwa kwenye pori la akiba la Selous kupisha ujenzi wa mradi wa umeme wa JNHEP. Idadi hiyo ya miti ikiwekwa ardhini ni sawa na eneo lote la mkoa wa Dar es Salaam
View attachment 2399516
Kweli JPM alikuwa Jiwe, alikata miti hadi Kenya
Hawa ndio walewaleee mkuu vibaraka vya mabeberu wanaosema eti Afrika tupo overpopulated tunazaliana sana wakati dunia nzima sisi ndio tupo wachache kuliko races nyingine
Wewe mpumbavu Ngorunde ndiyo umeandika nini sasa? Hoja inajibiwa kwa hoja. Nimesema kukata miti 2.7 Milioni kuna athari kwenye mazingira. Wewe unakuja kuandika pumba hapa
Mlaumu jk aliuza gesi saivi Tena tunauziwa gesi yetu na tuliyemuuzia. Na ndio jpm kuona nishati ya Bei nafuu Ni kukufua umeme wa maji la nyerere.gesi ingekuwepo cheap nadhani hayo yasingewezekana. Kajk Ni kabinafsi balaa