Wapinzani wataendelea kuikosoa na kuielimisha Serekali ila kiburi cha serikali ya Ccm mavuno yake ndio hayo.Hela wanazotumia kununua Wapinzani zingeweza kununua vivuko hata viwili.Hivi serikali kivuli kazi yake ni nini? Mpaka sasa walikuwa na mkakati mbadala gani?
Mimi mchango wangu nitapeleka kwa wafiwa husika maana ukara siyo mbaliInavyojulikana ni kuwa rambirambi ni kwa ajili ya wafiwa ili kuwapunguzia machungu na kuwafuta machozi!
Haya mengine inabidi serikali iyabebe na kuyafanyia kazi!View attachment 875701
Hukumuona chakubanga anatafuta kuonekana ili apate cha kusema?Haya ndio tulikuwa tunayasema na sasa yanaanza kutimia!
Kwahiyo watu wasipochanga hayo hayatafanyika?
Hivi nani ni mshauri wa hawa watu?!
Nini wajibu wa serikali katika matukio ya aina hii?
Bajeti ya kitengo cha maafa chini ya waziri mkuu inafanya kazi gani?
Ndio maana wengine tunawafurahia sana watu kama Zitto na Lissu kwa jinsi wanavyowasema wenye mamlaka.
Watanzania amkeni hasa wale wanaodhani wapinzani wana chuki tu na hii serikali.
Kweli kama ni serikakali ya wanyonge, basi watanzania Mungu katupendelea!
Acheni kulumbana kilichobakia ni kujipanga lisijirudie tena tukio la kizembe namna hiyoWatu wanakiri kabisa kuwa ilikuwa kawaida kufanya uzembe ulioleta janga kama hili!
Sasa nn maana ya rambi rambi? Hii serekali inataka kujiongezea mzigo wa dhambi kila siku!! 7rambirambi ni kwa ajili ya kuwafariji wafiwa hiyo ya kujenga ukuta kwani serekalini hakuna MFUKO WA MAAFA?
Nikupambana kuhakikisha haijirudii tena hali hiyoWatu wanakiri kabisa kuwa ilikuwa kawaida kufanya uzembe ulioleta janga kama hili!
Wengine JF tumo darasani, hata kama hatukubaliani lakini wakati wa mapambano tunatumia kila silaha iliyoko JF ikibidi ya watu usiokubaliana nao?Haaaaaa. Umezibuka.
Hujasahau tuu?
Bwana Mkubwa, naona umefungua kinywa mapema mno. Sidhani kama watu watachanga tena. Rambirambi huliwa na wafiwa. Laiti ungelisema zitawasomesha hata mayatima walioachwa. Ni mawazo yangu tu jamani mnisamehe kwa domo kaya hili
Huyo tushamzoweaSasa bado hajasema yule kubwa lao !
teh teh teh changeni fweza za kujenga mnara.
Wanawachosha sana watu wao waliopewa kazi ya kuwatetea kila wanapofunua vinywa vyao!!
Mnara wa kumbukumbu ni sehemu ya heshima kwa marehemu na faraja kwa ndugu
Yani wafiwa wanafarijiwa kwa kujenga mnara kwa michango waliyochangiwa kama pole??
Narudia tena, mimi sio wakupinga kila kitu kama cdm. Kuendelea kuopolewa ndio wamefika 300? mhe waziri kaongea kulingana na idadi ya maiti na manusura, sasa mbunge wenu hao watu 300 kawatoa wapi?. Asubiri idadi ifike ili aonge figure.Sasa kama bado wanaendelea na zoezi la kuopoa maiti atathibitishaje kabla ya zoezi kukamilika? Halafu huo ujinga wa kusema kwamba CDM wanapinga kila kitu sijui mmeutoa wapi?
CCM waliambiwa kwamba kuna hatari iko siku iko kivuko kitazama wakapinga, leo aliyewaambia ukweli ambao ndio umetokea ndio mnamwita mpingaji, nyie vipi?
Ww si ndio robot uliyowekwa kujibia humu?Mimi sio serikali, kaiulize yenyewe.
Mlitaka rambi rambi ikanunulie pombe?
Umeisoma kauli ya PM?
Kwa hiyo watu wasipochanga huo ukuta hautajengwa?
Naye he has to take resposilityUtashangaa atatumbiliwa mkuu kutoka kusini tuu