Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Hivi serikali kivuli kazi yake ni nini? Mpaka sasa walikuwa na mkakati mbadala gani?
Wapinzani wataendelea kuikosoa na kuielimisha Serekali ila kiburi cha serikali ya Ccm mavuno yake ndio hayo.Hela wanazotumia kununua Wapinzani zingeweza kununua vivuko hata viwili.
 
Miilii bado ipo maelezo yanasema kuna wengine wamekandamizwa na mizigo kwa chini tusubiri tuone
 
Hukumuona chakubanga anatafuta kuonekana ili apate cha kusema?
 
Ujumbe huu umfikie chakubanga
Sasa nn maana ya rambi rambi? Hii serekali inataka kujiongezea mzigo wa dhambi kila siku!! 7rambirambi ni kwa ajili ya kuwafariji wafiwa hiyo ya kujenga ukuta kwani serekalini hakuna MFUKO WA MAAFA?
 
Upo sahihi mkuu ila tunashangaa kwa hawa wakubwa kutumia akili ya sungura
Bwana Mkubwa, naona umefungua kinywa mapema mno. Sidhani kama watu watachanga tena. Rambirambi huliwa na wafiwa. Laiti ungelisema zitawasomesha hata mayatima walioachwa. Ni mawazo yangu tu jamani mnisamehe kwa domo kaya hili
 
Narudia tena, mimi sio wakupinga kila kitu kama cdm. Kuendelea kuopolewa ndio wamefika 300? mhe waziri kaongea kulingana na idadi ya maiti na manusura, sasa mbunge wenu hao watu 300 kawatoa wapi?. Asubiri idadi ifike ili aonge figure.

Subiri tume itakuja na majibu. Utapata majibu ya kwanini kimezama, mbunge ameongea sababu nyingine na ajali imeletwa na sababu tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…