Pole sanaMkuu acha tu. Natamanigi sana kuandika thread kuhusu love life yangu, ila naishiaga kufuta kutokana na hisia ninazopata. Mwanaume kama huna hela kazi ya kumlinda mpenzi wako muachie Mungu. Alaf kama upo mbali nae, acha kujifanya unapiga piga simu kila muda, maana unamsumbua mpenzi wa watu.
Qmamake mapenzi sometimes ni nyoko.
Kuna mwanamke alikuwa ananifanyia hivyo, mapenzi ya kibongo bana. Nikawa nampigia after 10 mins unakuta namba iko busy, ile feeling dah! My first heartbreak was severe 🤕
[emoji16][emoji16][emoji16]Niambie tu.
[emoji16][emoji16]tatzo lenu mkiambiwa mnakuaga na jeuri Bora niendelee kukomaaJitoe muhanga umwambie
Ni nzuri kukwepa maneno ila unajua long distance huchangia 80% ya mahusiano kufa. Kuna msemo flani ambao huwa una reflect ukweli..."Kadri Umbali machoni unavyoongezeka na umbali moyoni unaongezeka"
Key ni mawasiliano mazuri ila kama pia hapo patakuwa panasua sua ujue mambo yataharibika soon. Kiuhalisia sio kwamba mpenzi wako hashiki simu ila tu priority inakuwa sio wewe maana ukipeleleza utagundua kuna mtu ametumia good morning texts. Kuna kipindi nili track simu nikawa naona mume mwenzangu akitumiwa picha na kupigiwa simu lunch, usiku tena mida ya saa 3 hapo.
Ikifika saa 4 mie napigiwa simu brief ya kuagwa kuwa amechoka anataka kupumzika. Aisee mapenzi ya kibongo kumanyoko.Ila nashukuru the pains taught me to be tough!
[emoji16][emoji16]tatzo lenu mkiambiwa mnakuaga na jeuri Bora niendelee kukomaa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] apo ñdo ntakua nime jiingza mwenye jela ya mapenzi rasmiVunja ukimya ruka PM kwake usimuogope
[emoji16][emoji16] mtihani uhoMwambie tu, kumpenda mtu hakuvunji katiba ya jamuhuri...hutafungwa bali utajiweka huru!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka sanaNiambie tu hakuna shida me mwenyewe nimeshaoza kwako
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] apo ñdo ntakua nime jiingza mwenye jela ya mapenzi rasmi
I feel itKuna mwanamke alikuwa ananifanyia hivyo, mapenzi ya kibongo bana. Nikawa nampigia after 10 mins unakuta namba iko busy, ile feeling dah! My first heartbreak was severe 🤕
Pole sana, mwanamke huwa anapenda vitu asivyovielewa, akikuzoea sana anakuona wa kawaida hata kama anakupenda, usiwe soft ever. Timiza majukumu kama mwanaume akizingua usilie wala usimuombe ila mwambie, asipo elewa lala mbele. Mimi bado ni old school nataka heshima na uaminifu visipokuwepo naendelea na mambo mengine.Broz, yani hayo yote nimepitia kwa uchungu sana. Hadi nikaamua kuwa na attitude ya kibaharia.
Sahizi naweza nikachuna full day long simpigii manzi simu. IDC at all bro! Akijiskia kunitafuta atanitafuta najitahidi kuwa busy na mambo yangu tu. Ile hali ya kujiliza liza kwa wanawake nimeiacha sijui ndo kuwa sugu au kukua ila najua kila mtu anawajibu wa kumtafuta mwenzie.
Kama mtu ataamka asubuhi apige mswaki bila kukosa sidhani kama kuna ugumu wa kupiga au kutuma good morning text kwa mtu unayemthamini. Nakupigia leo na kesho then keshokutwa nauchuna. Wanawake can be crazy. Hamna kitu nakithamini kama mawasiliano maana moyo wa mapenzi uko hapo kila mtu lazima awe active.
I can imagineNi nzuri kukwepa maneno ila unajua long distance huchangia 80% ya mahusiano kufa. Kuna msemo flani ambao huwa una reflect ukweli..."Kadri Umbali machoni unavyoongezeka na umbali moyoni unaongezeka"
Key ni mawasiliano mazuri ila kama pia hapo patakuwa panasua sua ujue mambo yataharibika soon. Kiuhalisia sio kwamba mpenzi wako hashiki simu ila tu priority inakuwa sio wewe maana ukipeleleza utagundua kuna mtu ametumia good morning texts. Kuna kipindi nili track simu nikawa naona mume mwenzangu akitumiwa picha na kupigiwa simu lunch, usiku tena mida ya saa 3 hapo.
Ikifika saa 4 mie napigiwa simu brief ya kuagwa kuwa amechoka anataka kupumzika. Aisee mapenzi ya kibongo kumanyoko.Ila nashukuru the pains taught me to be tough!
Na ukiona mwanamke anafata na kutegema mawazo ya rafiki zake, jua fika hamna mtu hapo kuna kenge tu, unajua lazima mtu ukomae ujue nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi. Mtu asiyeweza kutumia akili zako unakuwa nae wa nini.Ukishaona mkizinguana kidogo marafiki wanahisika sana basi jua hao ndio wanaojenga au kubomoa mahusiano yako. Sometimes unaweza kosea kidogo lakini kwa influence ya marafiki ukaonekana hufai tena umekosa pakubwa mno ndio maana me sipendi kabisa kuwa na ukaribu na marafiki wa mpenzi wangu watanichora tu maana hao huwa wanajua kila kinachoendelea kwa rafiki yao japo sio wote.
Na ukiona mwanamke anafata na kutegema mawazo ya rafiki zake, jua fika hamna mtu hapo kuna kenge tu, unajua lazima mtu ukomae ujue nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi. Mtu asiyeweza kutumia akili zako unakuwa nae wa nini.
Hasara kubwa kwa kizazi chetu ni mlipuko wa mitandao, Luna magroup huko WhatsApp unakuta mwalimu mwenyewe ndoa au mahusianoHakuna haja ya kuwa nae maana maamuzi hufanya na kamati kuu ya marafiki badala ya kufanya maamuzi na wewe mwanaume wake.
Hasara kubwa kwa kizazi chetu ni mlipuko wa mitandao, Luna magroup huko WhatsApp unakuta mwalimu mwenyewe ndoa au mahusiano
yamemshinda sasa kama baby wako ni mburukenge anaingia mazima. Mwisho wa siku lazima uwe na misingi yako kama mwanaume na uwe na msimamo.
Acha bas mm nko na hang hang tuuamerudi ila yuko busy na kampeni 😢😢